Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,194
Mkuu hatari mungu atuepushe kwa hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hatari mungu atuepushe kwa hili
Naona vijana hufunguwa majukwaa mbalimbali ya kutafuna papuchi, au utahalamu wa style mbambali za migegedo na ufundi mwingine mwingi wa kupinduka pinduka kama samaki baharini.
ujumbe
ikiwa kama vijana, cheza vibaya unalo, HIV imekuwa kama moja ya qualification status, hatuogopi na kama tumejisahau kuwa ukimwi upo, in fact , kama huna maambukizi huwezi feel! ila ndugu zetu wengine walio pata maambukizi kwa sababu mbalimbali wao wanafeel na wananielewa nini nazungunza! ngono zembe, ni hatari, siku hizi HIV Tester zipo katika maduka ya madawa, nenda ukajipime na mwenza wako, usienda na mtu bila kupima, tuacheni michezo ya kujichezeaa kamali katika maisha yetu.
tujihadhali, ukimwi bado upo,
Ana hela vibaya mnoo, hanywi pombe, havuti fegi, anakula vizuri, hana mke ( alifariki)...ila dudu sasa analitembeza vibaya vibaya na mademu hawajui kama yuko kwenye chain ( haonyeshi), kibaya zaidi hawajali...wanaangalia mpunga tuu!
Ila wadada wa dar kwa kujilipua mmhhh!
Sent using Jamii Forums mobile app
Extrovert unafurahisha na kiswahili chako 😂😂😂😂Acha jombaa ale head za wadangaji! Maana wao wakilipiwa misosi mahotelini na kubebwa kwenye ma VX wanaona wamemaliza maisha. Jamaa anawanawa tu nae dah. Hatari faya! Sema kama jamaa anakula minjingu naskiaga inakuwa iko mzuka yani. Haambukizi tena!
Mi nilifanya za JHPIEGO mkoa flani, asee acha Ngoma ni disaster huko! Na lile baridi kule dah mungu aturehemuBraza kak tuulize sisi tunaofanya data clack warter reed tupo vituon tunaingiza takwim we kam upo porin shauri yako kwan vituo nya afya ujui ama
We unaongea tu. Dawa utazinywa bila kupenda. Tuombe mungu atujalie mwisho mwema tu.Nikiumwa huu ugonjwa najimaliza tu, siwapi nafasi virusi wanitese.
Nakumbuka nilipo enda kupima kwenye kusubiri majibu nilienda msalani kama mara tatu kwa nusu saa nikawa najiuliza namna hii sijapewa majibu nikipewa wallah nakufa kwa presha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ilikua terehe za ishirini na kidogo mwezi wa March mwaka 2017, nadhani ilikua Jumatano, nikiwa Mkoani Tabora! Nikaenda kupima dah, nilikauka koo kabisa kabisa, maji hayapiti, halafu Dr alikua Kijana mdogo tu, kanipima kaacha kipimo mezani na mimi niko kwenye kiti, nilitamani nikichukue nikimbie.....sitakaa nisahau, sitakaa nisahau. Ni siku ambayo nilikonda kwa dakika kumi nikapoteza kilo kama sita, nakumbuka nilikua na 84kg kuja kupima nikajikuta nina 78kg, Dah kuzirudisha hizo sasa ilinichukua miezi....umbea wa kutaka kuoima huu!! Nawashauri mkapime, usimpime mtu kwa macho
Hahah kwanin mama! KikojeeExtrovert unafurahisha na kiswahili chako 😂😂😂😂
Yaani kama hauko serousHahah kwanin mama! Kikojee
Hio hakunaga, unapewa majibu cold heartedly. Last time checking ilikuwa hospitali flani ya serikali. Dokta aliposema hongera niko safi ila nichukue tahadhari zaidi hakukuwa na story zaidi nikatembea na Yesu!Namwambia kujipima home!...hospital miyeyusho sana yaan wale manesi hawana customer care!
Watu wanatokaga mle wanaangua vilio kama nini!
Nasikia wakikupima siku hizi hupewi admonition wala at least well recommendation about a certain disease!...Ni unamwagiwa majibu hapo ukajiju[emoji848]...too bad
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani dah itabidi kumuhimiza tu juu ya hiliHahaha mwambie wifi awe makini akishindwa atumie hata Kinga 😅😅😅
Duuuh...maskini alihisi we ndo umepata uhakika kabisa, kwahiyo utaenda simulia!Ukimwi upo jamani. Kuna siku Nilikwenda pale Sinza palestina kumwona Dr mmoja. Sasa office ya yule Dr inaangaliana na lille Jengo waathirika wanachukua Dawa. Nilimkuta jirani yangu anawapa elimu wenzake kutosahau kunywa dawa. Tena anasema "binti yangu huwa ananikumbusha baba dawa maana nilishamweleza awe ananikumbusha "Mara paapu tukakutanisha macho mweh alibadili somo akaanza kuongea vitu vingine tu. Tena pale mtaani walikuwa wanasema kaungua yule
Siku ile ndo niliamini
Jamani HIV is real. Chezeni salama
.
😀😀😀 unaona nazingua eeh! Nipo serious banaYaani kama hauko serous
Napenda unaongea kiswahili cha kitaa zaidi😀😀😀 unaona nazingua eeh! Nipo serious bana
Ujinga wa ndomu utatumia day1,2,3 kuanzia 4 unaanza kuisahau unatest mitambo ya flesh to flesh!Asikudanganye mtu kondomu haisadii chochote bhana, inasaidia kwa Makahaba tu, wale ndio wanatumia kondomu kila siku lakini sisi wengine....ukimaliza unasali na kutubu!!!
Sisi wengine hatupendi hayo makitu kavu.Bora kupima kablaUjinga wa ndomu utatumia day1,2,3 kuanzia 4 unaanza kuisahau unatest mitambo ya flesh to flesh!