Ndugu zangu wa Jimbo la Iringa Mjini, mpeni Ubunge ASAS Uchaguzi wa 2025

Kwani hujui bungeni wanafanya nn Ni chuki tu inakutesa
Wewe mbwela, Abood kafanya lipi la maana Morogoro? Yumo mle kulinda maslahi yake tu!
Mo Dewji alikuwa mbunge Singida na hata siku moja hakuwahi kutoa kauli ya maana badala yake alitumia ubunge wake kupata title deeds za mashamba ya katani na kuzitumia kama collaterals kwenda kukopa kwenye mabenki nchi za nje!
 
Kwani Sasa kama chama hakini ofs na kinapata hela huoni Kama ni corruptive hcho kwahyo viongozi wapige tu....hebu waulize walijenga madarasa mangapi hata moja Hakuna kwa miaka 10
 
Siyo lazima mtu awe mbunge au kwenye siasa ili kuitumikia jamii.
Si sawa na kuwa na wabunge wanaokaa miaka 10 hakuna legacy yyte waliyoifanya..wamekuta Jimbo lipo vilevile wameliacha lipo vilevile Sasa hao wa nn.... Iringa mjn sahz imeanza kupendeza hapo nyuma ulikuwa worse.
 
Kwa hiyo kwa Tanzania mtu yeyote akigawa maziwa yaliyo expire kwa shule mbili tatu anapewa ubunge.
Chuki na wivu vinakutesa...na ndo tabia ya ss watanzania hatutakagi kuona mtu anamafanikio tunaweza kuumwa na kuumwa kabisa kisa wivu... you're stupid
 
Si lazima awe asas Ila mtu yoyte mwenye maono Kama asas, mtu mwenye focus ya maendeleo, mtu anaye weza kufanya Jambo fulani likaacha alama katika Jimbo la IRINGA mjn ...miaka 10 hakuna kitu kilichofanyika lakini bado unamtaja msigwa😄😄 ww utakuwa syo wa Iringa Ila uchadema unakutesa..nyie chadema mmetuharibia Sana Iringa hakuna mlichokifanya
 
Umeshiba mtindi ni kutujambia tu humu jf
Mnamatatizo nyie chadema....mmejaa chuki Sana, mmepata madaraka hakuna mlichokifanya, huoni ruzuku kidogo mnakodi chopa wakati hata ofs hamna hzo ni siasa za kitapeli...na iringa mjn ilikuwa hvohvo mtu anajisifia kujaza watu kwenye mikutano badala ya aonyeshe alichokifanya 🚮🚮
 
Sasa si Bora huyo amepigania hata stend imeisha ..huyo mwenzenu alifanya nn🤣 mwambie awaonyeshe hata ofs moja ya kjj aliyo Jenga kwa miaka 10 yote...mwambie awaonyeshe hata kituo Cha afya kimoja alichojenga au hamasisha watu wachange wajenge kwa miaka 10... Hakuna kitu
 
Ww weka Namba ya simu, boss wako asas akupigie
 
Wabongo bwana, ukijenga nyumba nzuri kijjn utasikia huko mjni huyo ni freemason Ila ukiwanunulia bia wanakunywa hahaaaaaa
 
Watu wengine buana!
Huo ubunge umsaidie nini nje ya biashara na utajiri wake?
Jifunzeni ya Morogoro mjini na Mbunge wake tajiri anavyo nunua viwanja vyote mjini kwa shari na halali.
Matajiri wote aidha ni wafanasiasa Kwa namna Moja au nyingine..

Asas ni mnec wa ccm Mkoa ,inamsaidiaje?
 
Kodi zetu ndio kazi yake hiyo kujenga hiyo miundombinu lakini zinalipa na wajanja na Samia anawaangalia tu !
 
Ujinga mtupu. Atawafanya Wahehe wawe kama wale wajinga wa Morogoro. Kwani hakuna wazawa wanaoweza kuwa wabunge?
Wana pesa za kumshinda Asas? Mbona Mo alikuwa mbunge wa Singida baadae akaamua tuu kuacha?
 
ifikie mahali tuache kuwapa watu ubunge kisa ni matajiri
 
Kodi zetu ndio kazi yake hiyo kujenga hiyo miundombinu lakini zinalipa na wajanja na Samia anawaangalia tu !
Hela za Sabodo mlifanyia nn? Hela za join mlifanyia nn....hebu oneni Jimbo la njombe mjn stend mpya haina hata miaka mi5 lakini ishazungukwa na makazi kibao kwasabu ya sera nzuri ya mbunge wa ccm...yy focus ni kuifanya njombe iwe manispaa nyny mmebaki mnazungusha mikono tu 😄
HONGERA SANA JESCA KWA KUUPAMBA MJ NA ROUND ABOUT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…