We mganga wa jadi, mbona unaandika ki kafiri tena...tafadhali andika staily ile kutoka upande wa kushoto kwenda kulia.Ama kwa hakika wewe ni Mkristo. Kukosa kwako busara kwenye komenti yako kunathibitisha how much of a Christian ur.
Unaweza vipi ku show disrespectfulness kwa watu wa imani tofauti na yako kiasi hicho?
Wise up bro
Ahsante kwa kushiriki , karudie kusoma post ya kwanza mkuuKwamba hamna waislamu wenye PhD ? Pia angalia walioko kweny system na wale ambao hawajulikani kabisa..
Acha kujifanya muisilamu haukusaidii chochote. Unaweza kujenga hoja kama mkristo na ukaeleweka usitake kujifanya ni muisilamu ili upate kuungwa mkono na hao wakristo wenzako.Hili suala la Bandari naona baadhi yenu mmelibeba katika namna fulani ya UDINI, kila nikimuangalia kiongozi wangu wa KIISLAM akisimama mahali analizungumzia katika upande wa UDINI...
BAKWATA ndio muwakilishi..Ila tuangalia je anasymbolize waislamu kwa kweli au tawi la serikali kwamba hawapo huru .Ahsante kwa kushiriki , karudie kusoma post ya kwanza mkuu
Unachotetea ni kitu kingine kabisa , hilo huwezi kuzungumzia huku public ukaeleweka na watu , hao ndio wanaotambulika sasa upende ukatae kasoro tunazijua sisi sio wengineBAKWATA ndio muwakilishi..Ila tuangalia je anasymbolize waislamu kwa kweli au tawi la serikali kwamba hawapo huru .
Ama kwa hakika wewe ni Mkristo. Kukosa kwako busara kwenye komenti yako kunathibitisha how much of a Christian ur.
Unaweza vipi ku show disrespectfulness kwa watu wa imani tofauti na yako kiasi hicho?
Wise up bro
Mtu si anajua viongozi wote kasome uundwaji wa BAKWATA hata humu nyuzo zipo ...Angalia migogoro yao kutwa inajulikana mpaka viongozi wakubwa wanaingilia kati.Unachotetea ni kitu kingine kabisa , hilo huwezi kuzungumzia huku public ukaeleweka na watu , hao ndio wanaotambulika sasa upende ukatae kasoro tunazijua sisi sio wengine
Kalale kwanza mkuuMtu si anajua viongozi wote kasome uundwaji wa BAKWATA hata humu nyuzo zipo ...Angalia migogoro yao kutwa inajulikana mpaka viongozi wakubwa wanaingilia kati.
Ni wengi tu hapa majina huwezi kufahamu huyu muislam au laamuslims are unified upon this matter kutetea dini badala ya hoja, tuseme nini juu yao? Taja muslim yoyote unayemfahamu humu ambaye hukosoa hili suala kwa hoja bila mahaba ya dini. Watu wanatoa hoja, wao wanakosoa dini, unataka tusemeje?
Acha wapambane na BAKWATA hiyo imeanzishwa na Nyerere baada ya kuawa organization ya kwanza ya watu weny misimamo.Kalale kwanza mkuu
Naona umekuja kujimwambafai na kuonesha ni namna gani waislamu hawajasoma na wakristo wamesoma. Haya kojowa ukalale.
Angalia mlevi alivovaa shati
Hii Imeenda kabisa.We mganga wa jadi, mbona unaandika ki kafiri tena...tafadhali andika staily ile kutoka upande wa kushoto kwenda kulia.
Uhakika uko wapi Mkuu nasi tuuone?Mimi huwa nashangazwa sana na watu wanaoleta mada kwa kutumia uongo wao ni "Waislamu", why wanadanganya!
Nnahakika wewe Feld Marshal Tantawi si muislamu, tena 100%
Moderator futeni huu uzi