Nimesoma kilimanjaro advance, hawa jamaa mnawazidi utalii tu, ila kimaisha wanawakaribia sana kuanzia hali ya hewa, mandhari, tena makazi wapo vizuri haswa, mm niliishia kamachumu, yaan nyumba nilizokuta kule hadi nilishangaa maana sikutarajia kabisa, kuhusu kilimo hicho hawajuhi sana wao ni zero grazing hawani muda wa kulima mashamba eti, yaani mgomba humo humo, papai, magimbi, mahindi, mihogo humo humo[emoji119]
Hawa jamaa maendeleo wanayo, sielewagi kw nn mnawananga hivi[emoji23][emoji23], mm niliendaga mwaka jana kwkwl maeneo niliyotembelea walikuwa vizuri hasa makazi wamejitahid kama mnawazidi labda stendi, hadi nilimuuliza jamaa tulienda naye, inakuwaje wanakuwa wa mwisho
Jamaa wakati umeme wa tanesco unakata, wao hawana habari, niliambiwa wanatumia wa Uganda Owen fall [emoji23][emoji23], kila bidhaa tukinunua ni made in Uganda, hapa ndo nikasema kwl inawezekana Serikali iliwatenga hawa jamaa [emoji23]