Ndugu zetu wa Kagera kwanini mkoa wenu unaongoza kwa umasikini?

Ndugu zetu wa Kagera kwanini mkoa wenu unaongoza kwa umasikini?

Majigambo, tabia ya kudharauliana na ubaguzi miongoni mwao inatosha kabisa kuwa ndio sababu kuu za mkoa huo kuwa nyuma kimaendeleo !! Hata Hayati Mwalimu Nyerere alilizungumzia hilo la ubaguzi miongoni mwao ilihali wote wanaongea lugha moja ya kihaya !!!
Taja mkoa wako kwanza tujue unaizidi nini Kagera
 
Tatizo ni kwamba wengi wakitoka huko vijijini na kufanikiwa mjini hawawewezi kurudi kwao kwa hofu ya kupigwa vipapai (kurogwa).

Hii ipo pia kwa wakinga, wameikamata kariakoo lakini ukienda makete panatia huruma, wengi wanaogop kupigwa vipapapai.

kwa waasukuma pia nako ni hivyo hivyo ukienda geita, simiyu na shinyanga.
Ukweli mtupu watu wakitoka hawarudi nyuma ila wanao matajiri hizo jamii Wana manyumba hapa DSM ,Arusha ,mwanza
 
Inasikitisha kujua hili la kwamba Kagera ni mkoa masikini kuliko yote Tanzania.

1. Ina wasomi wengi sana
2. Ardhi nzuri
3. Ziwa kubwa
4. Mipaka ya nchi yetu mingi

Pamoja ya yote hayo ni swali ya kujiuliza wenyewe watu wa huko bila kuweka lawama kwa serikali. Ukiangalia vizuri Kagera na Kilimanjaro zinafanana sana lakini ki maendeleo ni paka na panya. Acheni kulaumu na kusubiri serikali na jiulizeni tatizo hasa kwenye jamii yenu ni nini?

1. Je, usomi hasa wa juu kwa watu wengi wa huko umesaidia ? Au umeongeza majigambo yasio ya msingi na kupunguza fursa
2. Tabia ya kulalamika kama vile Chato ndiyo sababu ya umasikini wenu. Je hii tabia inasaidia nini hasa? Kabla ya Magufuli bado mlikuwa masikini sana
3. Je, mnaheshimu au kudharau vijiji vyenu na mkoa wenu?

Tatizo la wahaya huwa hawarudi kwao zaidi ya kukimbilia Ulaya
 
Inasikitisha kujua hili la kwamba Kagera ni mkoa masikini kuliko yote Tanzania.

1. Ina wasomi wengi sana
2. Ardhi nzuri
3. Ziwa kubwa
4. Mipaka ya nchi yetu mingi

Pamoja ya yote hayo ni swali ya kujiuliza wenyewe watu wa huko bila kuweka lawama kwa serikali. Ukiangalia vizuri Kagera na Kilimanjaro zinafanana sana lakini ki maendeleo ni paka na panya. Acheni kulaumu na kusubiri serikali na jiulizeni tatizo hasa kwenye jamii yenu ni nini?

1. Je, usomi hasa wa juu kwa watu wengi wa huko umesaidia ? Au umeongeza majigambo yasio ya msingi na kupunguza fursa
2. Tabia ya kulalamika kama vile Chato ndiyo sababu ya umasikini wenu. Je hii tabia inasaidia nini hasa? Kabla ya Magufuli bado mlikuwa masikini sana
3. Je, mnaheshimu au kudharau vijiji vyenu na mkoa wenu?

Wachagga mnahangaika sana kuinanga Kagera wakati huko kwenu maendeleo yameganda pale pale watu hawafanyi kazi wanasubiri ela za ndugu zao wa mikoani.
Kagera ukiacha changamoto za miundombinu bukoba mjini sehemu nyingine kuko vizuri
 
Nimesoma kilimanjaro advance, hawa jamaa mnawazidi utalii tu, ila kimaisha wanawakaribia sana kuanzia hali ya hewa, mandhari, tena makazi wapo vizuri haswa, mm niliishia kamachumu, yaan nyumba nilizokuta kule hadi nilishangaa maana sikutarajia kabisa, kuhusu kilimo hicho hawajuhi sana wao ni zero grazing hawani muda wa kulima mashamba eti, yaani mgomba humo humo, papai, magimbi, mahindi, mihogo humo humo[emoji119]

Hawa jamaa maendeleo wanayo, sielewagi kw nn mnawananga hivi[emoji23][emoji23], mm niliendaga mwaka jana kwkwl maeneo niliyotembelea walikuwa vizuri hasa makazi wamejitahid kama mnawazidi labda stendi, hadi nilimuuliza jamaa tulienda naye, inakuwaje wanakuwa wa mwisho

Jamaa wakati umeme wa tanesco unakata, wao hawana habari, niliambiwa wanatumia wa Uganda Owen fall [emoji23][emoji23], kila bidhaa tukinunua ni made in Uganda, hapa ndo nikasema kwl inawezekana Serikali iliwatenga hawa jamaa [emoji23]
Umesema ekweli ila wakija wakujiita wa kaskazini watasema wewe ni muhaya unajisifia
 
Tatizo la wahaya huwa hawarudi kwao zaidi ya kukimbilia Ulaya
True, nikienda US, Jiji la New York, in order to save money, huwa nafikia Mt. Vernon kwa bibi mmoja wa Kihaya, yuko US amezeekea hapo. Anasaidia sana Watanzania kuishi maisha ya natural habitat ya Bongo life ndani ya jiji la New York.

Nadhani ikifanywa sensa ya diaspora wa Tanzania wenye decent jobs ughaibuni, Wahaya wataongoza.
P
 
True, nikienda US, Jiji la New York, in order to save money, huwa nafikia Mt. Vernon kwa bibi mmoja wa Kihaya, yuko US amezeekea hapo. Anasaidia sana Watanzania kuishi maisha ya natural habitat ya Bongo life ndani ya jiji la New York.

Nadhani ikifanywa sensa ya diaspora wa Tanzania wenye decent jobs ughaibuni, Wahaya wataongoza.
P
Wahaya wanapenda sn Ulaya
 
Mimi naona watu wengi humu wana wananga kwa sababu ya stendi na soko labda, lakini huduma nyingine mpo vizuri sana, mwezi wa 12 mwaka jana tulienda na jamaa yetu kizigo kamachumu, aisee nyumba nzuri tulizokuta kule na hali ya hewa sikuamini kama ndo wanapowananga humu Jf, tulikaa wiki tu ila tulifurahia sana, ndizi, magimbi, mihogo yaani ilikuwa shangwe matata, haya masimango wanayowasema humu mm sikuyaona.
Ni watu wasio na fikra pana. Soko ama liwe stand hii ni miradi mikubwa na ndo miradi kichocheo, haijengwi na na wananchi bali serikali ikiamua.

Kama sahivi wameamua itajengwa na ndo kupeleka maendeleo kwa wananchi. Na si hayo tu,

Wanaweka RC wanajeshi kila siku ili iweje, mbona kwingine wanapeleka watu wa maana wenye CV zao na madegree yao wanaojua kupambanua mambo sasa iweje washika mitutu Kagera enzi zote as if kuna vita ama ni darful. Sasa wanataka wananchi ndo wateue RC, hilo ni jukumu lao kweli?

Vyuo na taasisi za serikali tunaziona kwa mikoa ya wengine ila Kagera ahaa! Sasa wananchi waache kujenga vibanda vyao vya kuishi wakajenge ofisi za serikali?

Kilimo ndo hicho, mkoa unategemea kilimo kwa 70% lakini eti leo ndo wanaanza kujikosha, wananchi wakulima ndo wangenunua kahawa yao wenyewe ama serikali ilitakiwa kutafuta wanunuzi kwa wakulima wake. Leo sasa aliyeleta bei mpya ni wakulima ama serikali, siku zote ilikuwa wapi na walitegemea nini
nini kwa mkoa?

Usafiri si waliua meli ikawa hamna kwa miaka zaidi ya 15, walitaka wananchi wamudu vipi maisha yao?

Nchi hii basi tu, wabaya zaidi ni hawa watu wa jf waliopita shule lakini hata kuchambua mambo hawawezi na bado daily wanajaza saver. Hii siyo sawa kabisa.
 
Serikali wakidhani wanaibagua Kagera kuwakomoa wahaya inajidanganya yenyewe. Kagera ni Tanzania na itabaki kuendelezwa na serikali kama ambavyo sahivi wameona kuna haja hiyo, kama kule si Tanzania mbona leo wameamua kwenda kujikosha?

Na wahaya tunaelewa nchi hii tunabaguana na ndo maana wanaamua kwenda zao mbele ili kuacha ya Kagera kwa serikali kwasababu wanajua walikotoka, walipo na kwanini.

Na kama serikali haifanyi kitu basi wategemee wahaya wengi zaidi kwenda mbele huko diaspora na watakaobaki wao watahangaika na vibanda vyao vya kuishi tu na maisha yao huko vijijini wanakowekeza kama Ulaya, Sikh serikali ikiona ipo haja itakuja kuuchukua mkoa wake na ikionekana haina haja wauache tu alafu tuone itakuwa aibu ya nani.

Tutajenga vijiji vyetu view kama Ulaya lakini si kuisaidia serikali baguzi kujenga mkoa wake, kama vipi waufute kwasababu hata kuanzishwa kwake wahaya hawakuomba mkoa, Mungu ndo aliwaweka pale kama wengine walivyowekwa huko kwingineko
 
5. Naniliu za wananiliu wao ndio wenye naniliu tamu kuliko naniliu za wananiliu wengine wote wanaofanya ile biashara ya naniliu, hivyo ilipaswa wananiliu wao ndio wawe manaliu matajiri kuliko wananiliu wengine wote!. Swali la kujiuliza hizo fedha za biashara ya naniliu, wanazifanyia nini hadi waongoze kwa Umasikini?!.

My Take
I don't believe this data, yaani Singida, Dodoma, Pwani, Lindi na Mtwara ni matajiri kuliko Kagera!.

Enzi za mkoloni, baada ya mkoa wa Kilimanjaro kuongoza kwa utajiri wa Kahawa, unafuata Kagera, then Mbeya, sasa iweje wawe wanaongoza kwa Umasikini?!.
P
Hizi data huwa zina lengo fulani nyuma ya pazia si kweli kwamba Kagera ni mkoa maskini hata kidogo, ni ngumu kuamini haya bila mtu kuingia na kuzunguka Kagera, niliwaza kuwa labda mapato yanayo kusanywa kutoka Kagera basi hayaendi ipasavyo serikalini hivyo kuonyesha mkoa ni maskini. Ki ukweli watu wa Kagera haswa wilaya za Bukoba, Missenyi, Karagwe, Muleba, Kyerwa na Ngara wanayo maendeleo tena makubwa sana ukilinganisha na kwingineko, watu wamejenga nyumba za kisasa nk, hata vijijini ndani ndani, ukitembea mikoa mingine kama Shinyanga, singida, tabora, kigoma, nk utashangaa hizo taarifa huwa wanamaanisha nini
 
Bora wewe umesema kile ulicho kiona shida ni kwamba walio wengi wanabeba data za kwenye mitandao tu lakini hawajawahi hata kufika Kagera , ukweli huu mkoa umendelea sana kuliko mikoa mingi sana hapa nchini yamkini huwa kuna sababu zinazo chagiza jambo hili
 
Katerero, mto ngono

Nashauri serekali itume team ya watu wa kagera. Kwenda kilimanjaro ikajifunze maendeleo.
Hakuna jambo lolote mhaya anaweza kwenda kujifunza Kilimanjaro, njoo na ushaidi dhabiti ni jambo lipi watu wa Kagera watajifunza Kilimanjaro ambalo Kagera halipo?
 
Nimesoma kilimanjaro advance, hawa jamaa mnawazidi utalii tu, ila kimaisha wanawakaribia sana kuanzia hali ya hewa, mandhari, tena makazi wapo vizuri haswa, mm niliishia kamachumu, yaan nyumba nilizokuta kule hadi nilishangaa maana sikutarajia kabisa, kuhusu kilimo hicho hawajuhi sana wao ni zero grazing hawani muda wa kulima mashamba eti, yaani mgomba humo humo, papai, magimbi, mahindi, mihogo humo humo[emoji119]

Hawa jamaa maendeleo wanayo, sielewagi kw nn mnawananga hivi[emoji23][emoji23], mm niliendaga mwaka jana kwkwl maeneo niliyotembelea walikuwa vizuri hasa makazi wamejitahid kama mnawazidi labda stendi, hadi nilimuuliza jamaa tulienda naye, inakuwaje wanakuwa wa mwisho

Jamaa wakati umeme wa tanesco unakata, wao hawana habari, niliambiwa wanatumia wa Uganda Owen fall [emoji23][emoji23], kila bidhaa tukinunua ni made in Uganda, hapa ndo nikasema kwl inawezekana Serikali iliwatenga hawa jamaa [emoji23]
utalii tu! Sema UTALII Kwa herufu kubwaa. Utalii ndo umewasaidia kagera kupata umeme wa REA tunasubiri watalii waongezeke tukipata foreign currency wazaliwa wa kilimanjaro tutashauri kagera wajengewe stand na vyoo.
 
Nimesoma kilimanjaro advance, hawa jamaa mnawazidi utalii tu, ila kimaisha wanawakaribia sana kuanzia hali ya hewa, mandhari, tena makazi wapo vizuri haswa, mm niliishia kamachumu, yaan nyumba nilizokuta kule hadi nilishangaa maana sikutarajia kabisa, kuhusu kilimo hicho hawajuhi sana wao ni zero grazing hawani muda wa kulima mashamba eti, yaani mgomba humo humo, papai, magimbi, mahindi, mihogo humo humo[emoji119]

Hawa jamaa maendeleo wanayo, sielewagi kw nn mnawananga hivi[emoji23][emoji23], mm niliendaga mwaka jana kwkwl maeneo niliyotembelea walikuwa vizuri hasa makazi wamejitahid kama mnawazidi labda stendi, hadi nilimuuliza jamaa tulienda naye, inakuwaje wanakuwa wa mwisho

Jamaa wakati umeme wa tanesco unakata, wao hawana habari, niliambiwa wanatumia wa Uganda Owen fall [emoji23][emoji23], kila bidhaa tukinunua ni made in Uganda, hapa ndo nikasema kwl inawezekana Serikali iliwatenga hawa jamaa [emoji23]
Wewe ni kweli Kagera unaifahamu wengine wanashikilia maneno tu ya mitandao hawajui hata wanachoongea
 
Hizi data huwa zina lengo fulani nyuma ya pazia si kweli kwamba Kagera ni mkoa maskini hata kidogo, ni ngumu kuamini haya bila mtu kuingia na kuzunguka Kagera, niliwaza kuwa labda mapato yanayo kusanywa kutoka Kagera basi hayaendi ipasavyo serikalini hivyo kuonyesha mkoa ni maskini. Ki ukweli watu wa Kagera haswa wilaya za Bukoba, Missenyi, Karagwe, Muleba, Kyerwa na Ngara wanayo maendeleo tena makubwa sana ukilinganisha na kwingineko, watu wamejenga nyumba za kisasa nk, hata vijijini ndani ndani, ukitembea mikoa mingine kama Shinyanga, singida, tabora, kigoma, nk utashangaa hizo taarifa huwa wanamaanisha nini
Kuna watu maskini huko mikoa ya watu wamejificha nyuma ya matajiri wachache mfano mikoa yenye migodi ya madini raia huko wanateseka utasema bora Kagera Mara mia. Mchawi wa Kagera ni hii serikali kwa kutoupa mkoa kipaumbele cha uwekezaji mkubwa.
 
Back
Top Bottom