The Great Haya
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 1,773
- 1,660
Taja mkoa wako kwanza tujue unaizidi nini KageraMajigambo, tabia ya kudharauliana na ubaguzi miongoni mwao inatosha kabisa kuwa ndio sababu kuu za mkoa huo kuwa nyuma kimaendeleo !! Hata Hayati Mwalimu Nyerere alilizungumzia hilo la ubaguzi miongoni mwao ilihali wote wanaongea lugha moja ya kihaya !!!
Ukweli mtupu watu wakitoka hawarudi nyuma ila wanao matajiri hizo jamii Wana manyumba hapa DSM ,Arusha ,mwanzaTatizo ni kwamba wengi wakitoka huko vijijini na kufanikiwa mjini hawawewezi kurudi kwao kwa hofu ya kupigwa vipapai (kurogwa).
Hii ipo pia kwa wakinga, wameikamata kariakoo lakini ukienda makete panatia huruma, wengi wanaogop kupigwa vipapapai.
kwa waasukuma pia nako ni hivyo hivyo ukienda geita, simiyu na shinyanga.
Tatizo la wahaya huwa hawarudi kwao zaidi ya kukimbilia UlayaInasikitisha kujua hili la kwamba Kagera ni mkoa masikini kuliko yote Tanzania.
1. Ina wasomi wengi sana
2. Ardhi nzuri
3. Ziwa kubwa
4. Mipaka ya nchi yetu mingi
Pamoja ya yote hayo ni swali ya kujiuliza wenyewe watu wa huko bila kuweka lawama kwa serikali. Ukiangalia vizuri Kagera na Kilimanjaro zinafanana sana lakini ki maendeleo ni paka na panya. Acheni kulaumu na kusubiri serikali na jiulizeni tatizo hasa kwenye jamii yenu ni nini?
1. Je, usomi hasa wa juu kwa watu wengi wa huko umesaidia ? Au umeongeza majigambo yasio ya msingi na kupunguza fursa
2. Tabia ya kulalamika kama vile Chato ndiyo sababu ya umasikini wenu. Je hii tabia inasaidia nini hasa? Kabla ya Magufuli bado mlikuwa masikini sana
3. Je, mnaheshimu au kudharau vijiji vyenu na mkoa wenu?
Maswali magumu mikoa 10 maskini zaidi Tanzania - Nukta Habari
Rukwa ndiyo unaoongoza kwa kuwa na takriban nusu au asilimia 45 ya watu wake ambao hawawezi kumudu mahitaji ya msingi wakati Dar es Salaam ukiwa na watu wachache wasiokuwa na uwezo huo kwa asilimia nane tu.nukta.co.tz
Sijui nani aliwaloga yaani wanapenda sifa snNgoja wasomi leo wabishane hapa 😅😅😅😅 ila ndugu zangu wahaya kwa sifa
Tatizo wao wanazikiwa popote paleUkweli mtupu watu wakitoka hawarudi nyuma ila wanao matajiri hizo jamii Wana manyumba hapa DSM ,Arusha ,mwanza
Nina marafiki wahaya nawakubali zile sifa zao zimekuwa Kama comedy kwangu we acha nawakubali sana😅😅😅Sijui nani aliwaloga yaani wanapenda sifa sn
Wachagga mnahangaika sana kuinanga Kagera wakati huko kwenu maendeleo yameganda pale pale watu hawafanyi kazi wanasubiri ela za ndugu zao wa mikoani.Inasikitisha kujua hili la kwamba Kagera ni mkoa masikini kuliko yote Tanzania.
1. Ina wasomi wengi sana
2. Ardhi nzuri
3. Ziwa kubwa
4. Mipaka ya nchi yetu mingi
Pamoja ya yote hayo ni swali ya kujiuliza wenyewe watu wa huko bila kuweka lawama kwa serikali. Ukiangalia vizuri Kagera na Kilimanjaro zinafanana sana lakini ki maendeleo ni paka na panya. Acheni kulaumu na kusubiri serikali na jiulizeni tatizo hasa kwenye jamii yenu ni nini?
1. Je, usomi hasa wa juu kwa watu wengi wa huko umesaidia ? Au umeongeza majigambo yasio ya msingi na kupunguza fursa
2. Tabia ya kulalamika kama vile Chato ndiyo sababu ya umasikini wenu. Je hii tabia inasaidia nini hasa? Kabla ya Magufuli bado mlikuwa masikini sana
3. Je, mnaheshimu au kudharau vijiji vyenu na mkoa wenu?
Maswali magumu mikoa 10 maskini zaidi Tanzania - Nukta Habari
Rukwa ndiyo unaoongoza kwa kuwa na takriban nusu au asilimia 45 ya watu wake ambao hawawezi kumudu mahitaji ya msingi wakati Dar es Salaam ukiwa na watu wachache wasiokuwa na uwezo huo kwa asilimia nane tu.nukta.co.tz
Wamelaaaniwa sijuiNina marafiki wahaya nawakubali zile sifa zao zimekuwa Kama comedy kwangu we acha nawakubali sana😅😅😅
Umesema ekweli ila wakija wakujiita wa kaskazini watasema wewe ni muhaya unajisifiaNimesoma kilimanjaro advance, hawa jamaa mnawazidi utalii tu, ila kimaisha wanawakaribia sana kuanzia hali ya hewa, mandhari, tena makazi wapo vizuri haswa, mm niliishia kamachumu, yaan nyumba nilizokuta kule hadi nilishangaa maana sikutarajia kabisa, kuhusu kilimo hicho hawajuhi sana wao ni zero grazing hawani muda wa kulima mashamba eti, yaani mgomba humo humo, papai, magimbi, mahindi, mihogo humo humo[emoji119]
Hawa jamaa maendeleo wanayo, sielewagi kw nn mnawananga hivi[emoji23][emoji23], mm niliendaga mwaka jana kwkwl maeneo niliyotembelea walikuwa vizuri hasa makazi wamejitahid kama mnawazidi labda stendi, hadi nilimuuliza jamaa tulienda naye, inakuwaje wanakuwa wa mwisho
Jamaa wakati umeme wa tanesco unakata, wao hawana habari, niliambiwa wanatumia wa Uganda Owen fall [emoji23][emoji23], kila bidhaa tukinunua ni made in Uganda, hapa ndo nikasema kwl inawezekana Serikali iliwatenga hawa jamaa [emoji23]
True, nikienda US, Jiji la New York, in order to save money, huwa nafikia Mt. Vernon kwa bibi mmoja wa Kihaya, yuko US amezeekea hapo. Anasaidia sana Watanzania kuishi maisha ya natural habitat ya Bongo life ndani ya jiji la New York.Tatizo la wahaya huwa hawarudi kwao zaidi ya kukimbilia Ulaya
Wahaya wanapenda sn UlayaTrue, nikienda US, Jiji la New York, in order to save money, huwa nafikia Mt. Vernon kwa bibi mmoja wa Kihaya, yuko US amezeekea hapo. Anasaidia sana Watanzania kuishi maisha ya natural habitat ya Bongo life ndani ya jiji la New York.
Nadhani ikifanywa sensa ya diaspora wa Tanzania wenye decent jobs ughaibuni, Wahaya wataongoza.
P
Ni watu wasio na fikra pana. Soko ama liwe stand hii ni miradi mikubwa na ndo miradi kichocheo, haijengwi na na wananchi bali serikali ikiamua.Mimi naona watu wengi humu wana wananga kwa sababu ya stendi na soko labda, lakini huduma nyingine mpo vizuri sana, mwezi wa 12 mwaka jana tulienda na jamaa yetu kizigo kamachumu, aisee nyumba nzuri tulizokuta kule na hali ya hewa sikuamini kama ndo wanapowananga humu Jf, tulikaa wiki tu ila tulifurahia sana, ndizi, magimbi, mihogo yaani ilikuwa shangwe matata, haya masimango wanayowasema humu mm sikuyaona.
Hizi data huwa zina lengo fulani nyuma ya pazia si kweli kwamba Kagera ni mkoa maskini hata kidogo, ni ngumu kuamini haya bila mtu kuingia na kuzunguka Kagera, niliwaza kuwa labda mapato yanayo kusanywa kutoka Kagera basi hayaendi ipasavyo serikalini hivyo kuonyesha mkoa ni maskini. Ki ukweli watu wa Kagera haswa wilaya za Bukoba, Missenyi, Karagwe, Muleba, Kyerwa na Ngara wanayo maendeleo tena makubwa sana ukilinganisha na kwingineko, watu wamejenga nyumba za kisasa nk, hata vijijini ndani ndani, ukitembea mikoa mingine kama Shinyanga, singida, tabora, kigoma, nk utashangaa hizo taarifa huwa wanamaanisha nini5. Naniliu za wananiliu wao ndio wenye naniliu tamu kuliko naniliu za wananiliu wengine wote wanaofanya ile biashara ya naniliu, hivyo ilipaswa wananiliu wao ndio wawe manaliu matajiri kuliko wananiliu wengine wote!. Swali la kujiuliza hizo fedha za biashara ya naniliu, wanazifanyia nini hadi waongoze kwa Umasikini?!.
My Take
I don't believe this data, yaani Singida, Dodoma, Pwani, Lindi na Mtwara ni matajiri kuliko Kagera!.
Enzi za mkoloni, baada ya mkoa wa Kilimanjaro kuongoza kwa utajiri wa Kahawa, unafuata Kagera, then Mbeya, sasa iweje wawe wanaongoza kwa Umasikini?!.
P
Hakuna jambo lolote mhaya anaweza kwenda kujifunza Kilimanjaro, njoo na ushaidi dhabiti ni jambo lipi watu wa Kagera watajifunza Kilimanjaro ambalo Kagera halipo?Katerero, mto ngono
Nashauri serekali itume team ya watu wa kagera. Kwenda kilimanjaro ikajifunze maendeleo.
utalii tu! Sema UTALII Kwa herufu kubwaa. Utalii ndo umewasaidia kagera kupata umeme wa REA tunasubiri watalii waongezeke tukipata foreign currency wazaliwa wa kilimanjaro tutashauri kagera wajengewe stand na vyoo.Nimesoma kilimanjaro advance, hawa jamaa mnawazidi utalii tu, ila kimaisha wanawakaribia sana kuanzia hali ya hewa, mandhari, tena makazi wapo vizuri haswa, mm niliishia kamachumu, yaan nyumba nilizokuta kule hadi nilishangaa maana sikutarajia kabisa, kuhusu kilimo hicho hawajuhi sana wao ni zero grazing hawani muda wa kulima mashamba eti, yaani mgomba humo humo, papai, magimbi, mahindi, mihogo humo humo[emoji119]
Hawa jamaa maendeleo wanayo, sielewagi kw nn mnawananga hivi[emoji23][emoji23], mm niliendaga mwaka jana kwkwl maeneo niliyotembelea walikuwa vizuri hasa makazi wamejitahid kama mnawazidi labda stendi, hadi nilimuuliza jamaa tulienda naye, inakuwaje wanakuwa wa mwisho
Jamaa wakati umeme wa tanesco unakata, wao hawana habari, niliambiwa wanatumia wa Uganda Owen fall [emoji23][emoji23], kila bidhaa tukinunua ni made in Uganda, hapa ndo nikasema kwl inawezekana Serikali iliwatenga hawa jamaa [emoji23]
Wewe ni kweli Kagera unaifahamu wengine wanashikilia maneno tu ya mitandao hawajui hata wanachoongeaNimesoma kilimanjaro advance, hawa jamaa mnawazidi utalii tu, ila kimaisha wanawakaribia sana kuanzia hali ya hewa, mandhari, tena makazi wapo vizuri haswa, mm niliishia kamachumu, yaan nyumba nilizokuta kule hadi nilishangaa maana sikutarajia kabisa, kuhusu kilimo hicho hawajuhi sana wao ni zero grazing hawani muda wa kulima mashamba eti, yaani mgomba humo humo, papai, magimbi, mahindi, mihogo humo humo[emoji119]
Hawa jamaa maendeleo wanayo, sielewagi kw nn mnawananga hivi[emoji23][emoji23], mm niliendaga mwaka jana kwkwl maeneo niliyotembelea walikuwa vizuri hasa makazi wamejitahid kama mnawazidi labda stendi, hadi nilimuuliza jamaa tulienda naye, inakuwaje wanakuwa wa mwisho
Jamaa wakati umeme wa tanesco unakata, wao hawana habari, niliambiwa wanatumia wa Uganda Owen fall [emoji23][emoji23], kila bidhaa tukinunua ni made in Uganda, hapa ndo nikasema kwl inawezekana Serikali iliwatenga hawa jamaa [emoji23]
Kuna watu maskini huko mikoa ya watu wamejificha nyuma ya matajiri wachache mfano mikoa yenye migodi ya madini raia huko wanateseka utasema bora Kagera Mara mia. Mchawi wa Kagera ni hii serikali kwa kutoupa mkoa kipaumbele cha uwekezaji mkubwa.Hizi data huwa zina lengo fulani nyuma ya pazia si kweli kwamba Kagera ni mkoa maskini hata kidogo, ni ngumu kuamini haya bila mtu kuingia na kuzunguka Kagera, niliwaza kuwa labda mapato yanayo kusanywa kutoka Kagera basi hayaendi ipasavyo serikalini hivyo kuonyesha mkoa ni maskini. Ki ukweli watu wa Kagera haswa wilaya za Bukoba, Missenyi, Karagwe, Muleba, Kyerwa na Ngara wanayo maendeleo tena makubwa sana ukilinganisha na kwingineko, watu wamejenga nyumba za kisasa nk, hata vijijini ndani ndani, ukitembea mikoa mingine kama Shinyanga, singida, tabora, kigoma, nk utashangaa hizo taarifa huwa wanamaanisha nini