Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ni sawa na kumshika nyati sehemu za siriNdiyo kuthibitisha WIZI WAO Mkuu. Kura za maccm TRANSPARENCY kama kawa lakini kura za uchaguzi Mkuu TRANSPARENCY kwenye kuhesabu ni SIFURI.
We nawe! Hovyoo!Vyovyote vile
Magufuli atapata zaidi ya 86%
Walaka wa shehe Ponda umependekeza kura za uchaguzi mkuuu zihesabiwe hadharani, wala kuzihamishia semu nyingine kwaajili ya kwenda kuhesabiwa lkn walimkamataMagufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM, ameagiza kwamba kura za maoni za ubunge, uwakilishi na udiwani zinazoanza leo zihesabiwe hadharani kama ilivyokuwa wakati kuhesabu kura za Wagombea Urais wa Zanzibar.
Yes Mkuu.Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM, ameagiza kwamba kura za maoni za Ubunge, uwakilishi na udiwani zinazoanza leo zihesabiwe hadharani kama ilivyokuwa wakati kuhesabu kura za Wagombea Urais wa Zanzibar.
Mkuu unataka kuua bemdi nini, hivyo ni kutaka kumshauri mwizi akaungame kwa yule aliyemwibia kwa muda mrefu na hata kuwahi kumdhuru!Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM, ameagiza kwamba kura za maoni za Ubunge, uwakilishi na udiwani zinazoanza leo zihesabiwe hadharani kama ilivyokuwa wakati kuhesabu kura za Wagombea Urais wa Zanzibar.
Unachotakiwa ni kuthibitisha je ni kweli zoezi linafanyika!Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM, ameagiza kwamba kura za maoni za Ubunge, uwakilishi na udiwani zinazoanza leo zihesabiwe hadharani kama ilivyokuwa wakati kuhesabu kura za Wagombea Urais wa Zanzibar.
Mkuu unataka kuua bemdi nini, hivyo ni kutaka kumshauri mwizi akaungame kwa yule aliyemwibia kwa muda mrefu na hata kuwahi kumdhuru!
Kwamba yeye hajipendi au?Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM, ameagiza kwamba kura za maoni za Ubunge, uwakilishi na udiwani zinazoanza leo zihesabiwe hadharani kama ilivyokuwa wakati kuhesabu kura za Wagombea Urais wa Zanzibar.
Tatizo anajuwa kwa upande wa ngazi hiyo akifanya hivyo asubuhi na mapema kwa heriKama anataka HAKI kwa wagombea wa maccm kwanini aminye HAKI hiyo kwa wagombea wa upinzani kwenye uchaguzi Mkuu? Au wao hawastahili HAKI ni wizi mbele kwa mbele!?