Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,263
Opportunist......kuna muda membe namuelewa, kuna muda membe simuelewi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Opportunist......kuna muda membe namuelewa, kuna muda membe simuelewi!
Jamaa anajua jeshi lita msaidia maana kawapa ajira nyingi za kisiasa.. Hatambui kwamba hao alio wapa ajira ni wachache sana ukilinganisha na wingi waoTuombe Mungu aepushie mbali, sisi wawekezaji tuna mengi ya kupoteza
hakikaOpportunist......
Mkuu kwani enzi ya kubadilishia gia angani kisa mamvi hiyo sheria ilikaaje? Tuanzie hapo ndio tuje kutegua kitendawili hiki.Ina maana ile sheria ya kumtaka mgombea awe amehudumu kwenye chama mwaka mmoja imekiukwa?
Ina maana ile sheria ya kumtaka mgombea awe amehudumu kwenye chama mwaka mmoja imekiukwa?
Mbona wamemruka lisu na huku yeye ndo aliokuwa anafata kwa kujibu wa ratiba?
Huyu atamsaidia Rais Tundu Lisu kwenye masuala ya kimataifa akiwa kama mshauri mkuu wa Rais Lisu kwenye eneo hilo.Benard Membe na Makamu wa Rais (wagombea) wa ACT-Wazalendo wamekidhi vigezo vya kuteuliwa na kugombea
Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu Semistolces Kaijage kwa mamlaka aliyopewa, amemteua Bernard Membe kuwa Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Omary Mohamed kuwa mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais kupitia Chama cha ACT Wazalendo
Naona UVCCM waliokuwa wamejificha kwenye makabati wameanza kutoka kama mijusi inatafuta jua…Amerukwa vipi Lissu?
Akiongea baada ya kupitishwa na tume Membe amesema endapo tume watafanya mchezo nchi itachafuka.
Anasema ketendo Cha Kila kitu kufanywa kwa matakwa ya mtu mmoja kisa tu Ni Rais wa nchi kinaweza leta machafuko na Wala hayatazuilika kirahisi.
Amesema yeye ametembea nchi nyingi kama mwangalizi wa uchaguzi ila haya yanayofanyika Tanzania Ni kuhatarisha amani ya taifa letu pendwa..
Amesema ni wajibu wa Kila mtu kutenda haki ili watanzania wapate kiongozi wa matakwa yao.
Sio kuchaguliwa kiongozi.
Huwa tunailaumu CCM inatumia ujinga wa wananchi kuendelea kuitawala hii nchi.Someni ujumbe wa Mheshimiwa Lissu
View attachment 1547665
Kila moj abebe msalalba wake, kama ana makosa, akatwe tuWhy Lisu on hold? Wanataka kumkata Lisu, this was long said by observers!
Opportunist......
Maendeleo hayana vyama!