secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Cheki hii njemba ilivyopotezwa zygot hazinaga ubongo ha ha haaaa!Ina maana bingwa wa sheria hakuzisoma kanuni hizo. Uzuri amejaliwa kukosa aibu.
bado haujakomaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cheki hii njemba ilivyopotezwa zygot hazinaga ubongo ha ha haaaa!Ina maana bingwa wa sheria hakuzisoma kanuni hizo. Uzuri amejaliwa kukosa aibu.
Sawa, leta ratiba yake au kwa vile ni mjumbe anaruhusiwa kujipangia ratiba.Sheria imesema timu ya kampeni ya mgombea. Haijasema vyeo vyao. Hivyo awe Waziri Mkuu, Waziri, mkulima haijalishi ilimradi ameorodheshwa kuwa sehemu ya timu ya kampeni. Mbona rahisi kueleweka!
you Nailed it Master!Kila mgombea wa ubunge anaratiba ya kampeni ktk jimbo lake, sasa Kassim Majaliwa anatumia ratiba hiyo kwa jimbo husika kumwombea kura mgombea ubunge na rais! Anafanya hivyo kwa kuwa moja, ni mjumbe wa halmashauri kuu, pili, in mmoja kati ya timu ya mgombea urais!
Ukishindwa kuelewa naomba nikukumbushe, unajua Lissu alikuwa mgombea ubunge mwaka 2015 na alizunguka na Lowassa almost nchi nzima?
Tume imesema wabunge wanaruhusiwa kuwa na timu ya watu 20, unataka kutuambia Majaliwa ameorodheshwa kuwa mjumbe kwenye majimbo yote ya Tanzania.Kila mgombea wa ubunge anaratiba ya kampeni ktk jimbo lake, sasa Kassim Majaliwa anatumia ratiba hiyo kwa jimbo husika kumwombea kura mgombea ubunge na rais! Anafanya hivyo kwa kuwa moja, ni mjumbe wa halmashauri kuu, pili, in mmoja kati ya timu ya mgombea urais!
Ukishindwa kuelewa naomba nikukumbushe, unajua Lissu alikuwa mgombea ubunge mwaka 2015 na alizunguka na Lowassa almost nchi nzima?
Una akili nzito kuelewa mambo.....Ndio maana tunasema washabiki wa Lisu ni wajinga kama mgombea wao.
Ni kujishushia hadhi kubishana na nyie humu kwa vitu vilivyowazi kabisa.
Hapana hairuhusu hao wajumbe kufanya hivyo isipokua wawe na ratiba waliyo iwakiisha NEC.Swali linakuwa je NEC inaruhusu kila mjumbe kati ya wale 50 wazunguke peke yao bila utaratibu au ratiba maalumu.
Hii ni ratiba ya NEC ya leo ya Majaliwa iko wapi.Hapana hairuhusu hao wajumbe kufanya hivyo isipokua wawe na ratiba waliyo iwakiisha NEC.
Usikubali kunyweshwa mwavi huo....!you Nailed it Master!
Kwa kukusaidia mtukanaji usiye na hoja, kwa kukusaidia wazuri mkuu Linda hakuwepo 2010 na 2015, hata sumaye hakuwepo 2000 na 2005Una uhakika na hilo au ulikuwa bado unatawazwa kijijini kwenu?
Acha ufalaIna maana bingwa wa sheria hakuzisoma kanuni hizo. Uzuri amejaliwa kukosa aibu.
Nimekuelewa unachoelewa ila bado niulize hiyo ndo ratiba pekee inayotolewa na NEC?
Jibu wewe wa Chekechea maana hao ndo wasomi wa CCM na Serikali yake wenye kujua hata lugha za kigeni kuliko viongozi na wazazi wao wanachama wa CCM. Wa darasa la 7 hajui kusoma wala kuandika hata jina lake mpaka anamaliza Chuo Kikuu aanze kuzunguka na bahasha ya kaki na PhD yake aliyopata baada ya kumaliza bure elimu ya Awamu ya Tano. Bora bure elimu!Jibu unalotafuta hapo ni lile la wanafunzi wa darasa la pili. Aliyeko la saba anaelewa sana, ukimuuliza baba yako ni nani, akisema huyu ni mume wa mama inatosha. Yaonekana Lissu hakujua hilo na hakuitumia nafasi hiyo kwa uzembe. Sijui kwa nini hakujiuliza 2015 waliomsindikiza Lowasa walikuwa wanatafuta nini!
Na utakuwa uliishia darasa Hilo Hilo la nneNilipokuwa darsa la nne niliambiwa sheria ikikaa kimya, ujue inaruhusu. uko darasa la ngapi?
Nikisoma mabandiko yako husikia kichefuchefu! Bahati yako si mwanangu. Ningeishakuita zamani na kukukunyaga bakora kiasi cha kufa mtu. Aibu kubwa kwa mamayo na mzigo kwa babayo. Crimea commiting crime to thyself!leta vifungu vya sheria ya uchaguzi inayokiukwa na waziri mkuu.
Ukitembea na majibu yako, si rahisi kuelewa majibu ya wengine, Hata hivyo siku hazingandi, show inaelekea ukingoni!Tume imesema wabunge wanaruhusiwa kuwa na timu ya watu 20, unataka kutuambia Majaliwa ameorodheshwa kuwa mjumbe kwenye majimbo yote ya Tanzania.
Kuhusu Lissu na Lowassa unazungumzia kanuni zipi za 2015 au hizi mpya za 2020.
Leta yako unayoijua tuijadili.Nimekuelewa unachoelewa ila bado niulize hiyo ndo ratiba pekee inayotolewa na NEC?
Watu wasiozidi 50, sasa bwana Jiwe mbona anatembea na 100+ ?
Je, mgombea anaruhusiwa kuwa kwa kamati ya mgombea mwingine?
Na je waziri mkuu sheria inasemaje?
Nimekuambia wewe fala. Waziri Mkuu ameamuaje Bora ashindwe Ubunge wakati alishadhinda tayari bila kupingwa?Waziri mkuu ameamua bora ashindwe ubunge lakini rais ashinde. Ratiba ni kazi ya tume.
Mwisho nasema, swali la kijinga, linapewa majibu ya kijinga.