Uchaguzi 2020 NEC yatoa ratiba ya mwisho: Lissu atafungia Dar, Magufuli Dodoma

Akae hukohuko anatukera tuleteeni Lissu huyo Msukuma asikanyage huku anatisha raia hatumtaki hana mvuto wowote, sura mbaya, kauli mbaya, lughà mbaya na mtu mbaya sidhani hata Mungu anampenda kama anavyodai mwenyewe maana ni mwongo wa kupindukia.
Huyo unayemzungumzia ni baba yako sio rais wangu .
 
Hajaenda

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Akae hukohuko anatukera tuleteeni Lissu huyo Msukuma asikanyage huku anatisha raia hatumtaki hana mvuto wowote, sura mbaya, kauli mbaya, lughà mbaya na mtu mbaya sidhani hata Mungu anampenda kama anavyodai mwenyewe maana ni mwongo wa kupindukia.
Ha ha ha aje akiwa maiti
 
2015 mh Magufuli alishinda kwa kura za Kanda ya ziwa,2020 upepo wa Kanda ya ziwa umeelekea kwa Lissu.
Kura milioni mbili alizomzidi lowassa Lissu anaweza zirudisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…