Pamoja na kututibua kwenye korosho sio mbaya,kuna tuvimeo tulibaki ila hatuwez kumnyima kabisa,kura tunampa nia ya kututoa anayo kabisa.Arusha na Moshi je Nireteeeeeeeniiiiiiiiiiiu Gwaaaaaaa..... nae vipi na kule kusini pia.
Kwani mimi ni msemaji wa jeshi?Huyu wakusini wewe hujitambui unabisha bila kufuatilia unabisha hakuna migambo wa alshababi mtwara wanaua watu
Jike upo?Acha uongo wewe dada! Uko UK ya Kawe utayajuaje? Uwanja ulitapika siyo kama ilivyokuwa kwa Beberu Jeusi Lissu?
Huo ni uhalifu kama uhalifu mwingine na walio na mamlaka wapo kazini na sio kuropoka ropoka kila unaloliona.Huyu wakusini wewe hujitambui unabisha bila kufuatilia unabisha hakuna migambo wa alshababi mtwara wanaua watu
Haya bhana wenye shangazi zenu.Pamoja na kututibua kwenye korosho sio mbaya,kuna tuvimeo tulibaki ila hatuwez kumnyima kabisa,kura tunampa nia ya kututoa anayo kabisa.
Nadhani itategemea jinsi mtu atakavyoamini " halali ni halali" kwa matokeo hayo.Mgombea wetu kasema atakuwa wa kwanza kusaini matokeo ikiwa atashindwa kihalali. Wenu je
Tarehe 23 atakuwa ArushaHaendi Kaskazini mkuu. Taarifa zinasema kuwa anafuata ripoti ya watu wa kipenyo na haendi Kaskazini yote kasoro Tanga wala haendi kusini yote.
Yani akitoka Tanga anaingia Dodoma ndani ndani huko hadi kwenye kufunga kampeni
Nina washanga wanaotaka tunda bila kupanda mti. Mti (haki) kwanza ndipo kuwe na tunda (amani).Tuendelee kuiombea haki itamalaki katika Taifa letu maana haki ndio tunda la amani, lakini haki pia huinua taifa.
MAGUFULI anatoboa tu haina haja ya makasiriko,upinzani hauna sera.RAIS NI MAGUFULI wenyewe wanajua na DUNIA inajua.Haya bhana wenye shangazi zenu.
Hahahaha. Shangazi walikua wawe wa kwanza kutandikwa vibao.
Anyways mitano mingine ya ngonjera itapendeza
Kauli Kama hii ndiyo huwa inawanyima kura ...kuwadharau watu baadala ya kuwanyenyekea wapiga kura ..Huko kusini ndo ulikotopea umasikini hivyo haishangazi akili yako
Kuanzia tarehe 20 atakuwa Mkoa wa Kilimanjaro baadae Arusha, Manyara na tarehe 26/10/2020 atakuwa Dodoma tayari kwa kupiga kura tarehe 28/10/2020.Jamaa yako anawaogopa Wamakonde na Wachagga. Mshamba sana jamaa yako
Magufuli atashinda KWA KISHINDO kikubwa sanaMAGUFULI anatoboa tu haina haja ya makasiriko,upinzani hauna sera.RAIS NI MAGUFULI wenyewe wanajua na DUNIA inajua.
Wajinga sana hao.Kauli Kama hii ndiyo huwa inawanyima kura ...kuwadharau watu baadala ya kuwanyenyekea wapiga kura ..
Wewe usitudanganye. Tarehe 19 Magufuli atakuwa Pwani na tarehe 22 atakuwa Tanga. Huko Kilimanjaro hiyo tarehe umeitoa wapi?Kuanzia tarehe 20 atakuwa Mkoa wa Kilimanjaro baadae Arusha, Manyara na tarehe 26/10/2020 atakuwa Dodoma tayari kwa kupiga kura tarehe 28/10/2020.
Na sio kila mweupe ni mzungu, Wengine ni WAZUNGUmzaji tu kama wewe...Lissu mjanja sana,anataka Magufuli aingie kichwa kichwa kwenye huo mtego ili wapige kura wa CCM waone potelea mbali hata wasipo mpigia mgombea wao maana yupo tayar kwa lolote lile.