NECTA yaacha Utaratibu wa Kutangaza Wanafunzi bora na Shule bora kwa Kidato cha 4

Elimu haitakiwi iwe hivyo Sasa ya kutafta u To

You just have to study hard
 

Wanaokosoa huu uamuzi wa NECTA hawana hoja za msingi, ni malofa.
 
Serikali haiji kuboresha mazingira ya shule zetu za kata kamwe maana hakuna ushindani
 
Shule gani?
 
Wapuuzi walikuwa wanabandika picha na matangazo hadi kwenye mabasi yao.
 
shule za secret-harsh zimefeli hawataki kusema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…