Hivi kwa mtoto ambae combination haijabalance, Three ya 25 (naamini anaweza asichaguliwe advance shule za serikali), Private school wanaweza kumpokea?
 
Kwahiyo mkuu unatoka ukoo wa wasomi hongera Sana.
 
Shule za kata zinachosha, ndio maana wanafunzi wanaandika matusi. Serikali izimulike hizi shule kwa jicho la tatu. Hizi shule zimekuwa makaburi ya kuzikia elimu ta watoto wa wakulima.
 
Shule za kata zinafelisha watoto, imagine unakuta shule ina zero 100. Serikali iifanyie kazi hili swala
 
Wazo la kuanzisha Shule za kata ni zuri sanaa, na mimi ni moja ya zao hilo. Shida iliyopo ni kwamba zinatumika ku-accomodate wanafunzi wengi ambao hawajui wanafuata nini shuleni. Jaribu kufuatilia suala hili fungua matokeo ya shule nyingi za kata, utagundua wanafunzi wengi sanaa waliopata Div IV na Div 0 ni wale waliosoma Masomo ya Arts tuu. Lakini ukichunguza Div I hadi Div III , zilizo nyingi zinatoka kwenye masomo ya Sayansi au masomo ya Biashara
Shule za kata zinachosha, ndio maana wanafunzi wanaandika matusi. Serikali izimulike hizi shule kwa jicho la tatu. Hizi shule zimekuwa makaburi ya kuzikia elimu ta watoto wa wakulima
 
Shule za kata zinachosha, ndio maana wanafunzi wanaandika matusi. Serikali izimulike hizi shule kwa jicho la tatu. Hizi shule zimekuwa makaburi ya kuzikia elimu ta watoto wa wakulima.
Tafsiri yake wale wanaochukua masomo ya Sayansi au masomo ya biashara huwa wengi wao wanajitambua nini wamefuata shuleni. Si kwamba kwenye masomo ya Sanaa hawapo, la haha wapo ila ni kwa idadi ndogo sanaa. Na hao wanasoma hayo masomo ya Sayansi au Biashara unakuta ni wale waliotazamia kuingia shule za ufundi, mkoa au wilaya.
 
Babangu alikuwa miongoni mwa wanafunzi wa Ilboru walioshiriki saidia fundi kwenye kuujenga uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha mwaka 1976. Babangu mdogo naye kasoma Ilboru. Hizi akili zangu nyingi ni za kurithi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…