Neema Kipanya: Masoud Kipanya ana Watoto 15 na Wake 4

Wanabeba mimba wanawake lakini hapa wanaolalamika wengi wanaume wenzetu, na utakuta kwenye maada za kataa ndoa wanaunga mkono kwa nguvu zote,
Hii kataa ndo campaign inatokana na uchoyo, ubinafsi na uvivu wa wavulana wengi wa .com
 
Kuwa na watoto wengi Wala sio urijali, uanaume wako unatakiwa uonekane kwenye malezi na matunzo ya mtoto, anapata hiyo jeuri kwa sababu pesa anayo ya kutosha
....kumbe issue ni "pesa".....

Kama hauna hata huyo mmoja ni mzigo.....
 
Bado kuna kijana wa miaka 35 anawatoto 13 na anawake wawili na bado ana mke mjamzito uyo masudu bado
 
Mental cases lacking the ability to bond with another human won't understand a parent-child relationship. Mtoto Hana faida? Kwani ni mfugo/bidhaa??
 
Tunajiona wapi? Mimi na nani? Kutegemea mahali ulipo kama ulivyosema na ndivyo ilivyo kwenye hali yako ya uchumi na uwezo wa kulea familia watu wanakaa alafu wanaachiwa ndugu zao kulea na kusomesha nonsense

Fanya kadri ya uwezo wako , una uwezo oa wanne sawa , hauna tulia na mmoja
 
Watoto 15 tu na wake wanne ndo unamsifia hivyo mpaka unadiriki kusema apewe maua yake?

Kweli wanaume wa darslam mna matatizo.
 
Mbona wachache hao mi ningekua yeye sahivi ningekua na watoto 20 kila mwanamke watoto 5

Ni vile tu mambo bado ngum ndo maana ndoto ni mke mmoja na watoto 3 waliopishana miaka 3 maana kulipa ada siyo kazi ndogo
 
Umeanza ujinga wako sasa [emoji1787][emoji1787]

Kwani kuna mwanaume mwenye uhakika na mtoto anayemuita baba ?!![emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Kwa hiyo kila akipatikana mtoto ,basi tupime DNA ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
😆😆😆Sio kila mtoto akipatatikana apimwe DNA! Watoto 15 ni wengi sana na si rahisi kucontrol kuchomekewa.... Msimsifie saaaana akija jua alichomekewa atakuufwaaa walah
 
[emoji38][emoji38][emoji38]Sio kila mtoto akipatatikana apimwe DNA! Watoto 15 ni wengi sana na si rahisi kucontrol kuchomekewa.... Msimsifie saaaana akija jua alichomekewa atakuufwaaa walah
[emoji1787][emoji1787]

Wala hatokufa....

Juzi jirani yangu amemrudisha nyumbani mkewe aliyempeleka kwao 2021.....

Mke amerudi nyumbani na katoto ka miezi 10.....jamaa ananiambia hakuwahi kukutana na mkewe toka kipindi hicho....ila akamalizia KITANDA HAKIZAI HARAMU...na huyo mtoto ni Mali yake kwa kuwa hakumpa talaka mkewe[emoji1787]

Duniani kila mmoja na mtazamo wake [emoji1787]
 
ukiwa na wake 4 labda uwe mchawi, ili uwe unawapiga busha wanaokuchapia. kwasababu uhalisia kibiolojia ni kwamba, mwanaume mmoja hawezi kuwatosheleza wanawake 4. hata wanawake hao wakijifanya wanatosheka, kuna uwezekano mkubwa hawajui hata kutosheka kukoje. imagine, kwa wale wanaoijua ngono, una wake 4, mwezi una wiki 4, hivyo kila wiki utakuwa unalala kwa mmoja, na mwingine atasubiri hadi wiki 3 zipite ndio akutane na wewe. anakukusanyia nyege za wiki 3 wakati wewe ndio unatoka zamu ya mzunguko umekamuliwa vilivyo na mwingine aliyekusubiri kwa wiki 3 and the cycle goes on and on. utazidiwa tu au utapiga isivyokamilifu afu ataondoka nazo, ukiwa kwenye mzunguko wa wiki tatu zijazo utasaidiwa tu hata ufanyeje. hata ujifariji vipi lazima usaidiwe, uzuri ni kwamba hautajua ila kusaidiwa utasaidiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…