Neema Kipanya: Masoud Kipanya ana Watoto 15 na Wake 4

Kwani kuna sheria imekukwa ili wachukuliwe hatua?
 
Mlo mmoja lazima debe la mahindi liishe, hasa kwa sisi tunaoishi mjini kwa kununua chakula
15 magunia ya mahindi hapo lazimi umilika hekari za Ardhi za kutosha kwa ajili ya kilimo na uajiri watu wa kukulimia na kusimamia shamba sio kununua sokoni au dukani au supermarket
 
Sasa usilinganishe ukilaza wako na wengine na wala usiwashangae wengine kuwa na wake wengi na watoto wengi na bado wakatoboa! Kama watoto wako ni vilaza na hawawezi ku-cope masomo ya baadaye ni wao! Acha watu waoe na wazae kadri wanavyojaliwa na siyo kuwaona kama hawana akili!
 
Legend kabisa
 
Hayo matatizo yatakuja tu iwapo unaishi maisha ya kuungaunga. Ila kama una maisha ya uhakika; wala hakuna tatizo lolote lile
Eti injinia hersi azae watoto 15 halafu uanze kumuhurumia, si uzwazwa huo
 
Angekuwa ni sampuli ya akina Kitenge kwa huo ukubwa wa familia angeshauza utu wake kwa watawala ili corridor la chooni liwe busy.
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…... hayaa banaaa unajua alipata majanga.. hadi baada ya miaka miwili kwa usalama wake ndio anaruhusiwa... goja niendelee kupiga jaramba kwanzaaa... maama wengine kutupia nje mwiko
Jamani pole yake..msijali afya yake muhimu atakaa sawa na kila kitu kita flow...nawaombea heri...kingine big up sana kwa mentality hiyo...
 
Hizi imani primitive zinadhalilisha wanawake
 
Sisi wakristo tumekosea wapi?
Tunakua na mke mmoja halafu tunaendeshwa Kama gari bovu. Wengi wetu tukipata mshahara wote tunakabidhi. Kibaya zaidi hata haki ya ndoa mpaka mke apende.
Wakati huo huo Masoud ana wanne akimnanihii huyu leo, kesho Yuko kwa mwingine, na huyu akileta za kuleta anahamia number three, nako akiona anapika makande anajiendea zake namba foo ambaye ndio mziwanda, eeh bado mpya mpya. Kilomita bado hazijasoma kivile.
Sasa sisi jitu Lina miaka arobaini halafu wivu asilimia Mia moja, muda wote anavizia simu yako, uroda anatoa Kama mshahara wa kibarua, Mara moja kwa wiki.
 
Muulize Dr Mwaka , utakusimulia.Mengine mepesi kweli ?
Without generalization life remains a mystery....

Ni kupambana tu na kilichoko mbele yako....

Life's too short we never abandon it's cherishness [emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…