Nehemia Mchechu na Lawrence Mafuru warejea ulingoni, January Makamba awateua Wajumbe wa Bodi ya TANESCO

Huyu mchechu alivyokua D.G NHC alipiga madili ya Viwanja sana. Alikua ananunua viwanja kwa bei rahisi kupitia aliases then anaviuza kwa NHC kwa mabilioni, ama kweli safu nzima ya Mzee wa Msoga Itarudi yote. Yetu macho. Mama endelea kuupiga Mwingi.
Sio kweli alipokuwa D.G NHC alifanya kazi nzuri sana mpaka shirika likaanza kuludi katika hadhi yake ila siasa ikaingilia kati
 
Sio kweli alipokuwa D.G NHC alifanya kazi nzuri sana mpaka shirika likaanza kuludi katika hadhi yake ila siasa ikaingilia kati
Hadhi ya kujenga nyumba za wanyonge kuuza kwa bei ya millioni 400?

Kweli wewe ni genius.
 
Hayakuwashinda bali hawakutaka kuhamua Dodoma.

Hata huyu Chifu Hangaya hataki jukaa Dodoma, anapenda upepo wa bahari.
 
Story ndefu ambayo haina ukweli wowote. Ni porojo tu na chuki za kisiasa zinakusumbua. Kama huwezi kuona mema ya Kikwete ambaye katika miaka kumi ya utawala wake uchumi ulikuwa unakuwa kwa asilimia 7,kila mwaka aliajiri na kupanndisha mishahara. Alijenga tasisi za umma. Alijenga mabarabara ya lami nchi nzima. Kama huwezi kuona mema yake,kwa sababu unazozijua wewe,ni vigumu mno kukuelewesha.
 
Watu hupenda kufanya kazi na wanaowafahamu
Hili nadhan ni dunia nzima
Mfn mdogo tu kwenye soka huko kwa wenzetu huchukua wale ambao walicheza klabun kwa mafanikio na kuwafanya tena makocha wa tim
 
Sina haja ya kuongelea kama Macho unayo
Amerusha chombo kwenda Mars au??

Kama sivyo hakuna alichofanya ambacho hakijawahi kufanywa, kama unabisha sema ambacho amefanya na hakijawahi kufanyika cha namna hiyo..
 
Hapo hakuna kipya..

Mabwawa Nyerere pia alijenga, SGR ilianzia kwa JK na si yeye, ni kama tu vile Mkapa alivyoanzisha UDOM lakini ikajengwa na Kikwete. Flyover alianzisha Kikwete huyo Magufuli akiwa waziri, yeye kaja kukamilisha tu kama vile ambavyo Terminal Three na Daraja la Kigamboni alivyokuja kumalizia.

Nini kipya?? Nitajie vya kipekee sana ambavyo ni yeye binafsi tu ndio kaweza kufanya.
 
Hawa watu ni wapumbavu sana..wanaignore juhudi za viongozi waliopita waliojenga vitu vingi ili tu Jiwe aonekane..
 
😍
 
Hapo kuna kama majina manne makubwa yananitia mashaka sana na uadilifu wao kuanzia Mchechu,Mafuru,Maajar na Mzee Gachuma naona kama ni watu wa fursa zaidi,najua huyo mtoto wa Bakhressa hana njaa na hao wengine siwajui sana.
Hamna mwenye njaa hapo. Wengi walifanya kazi zao vizuri tu ila dictator alikuwa penda majungu sana
 
Hamna mwenye njaa hapo. Wengi walifanya kazi zao vizuri tu ila dictator alikuwa penda majungu sana
Unaweza kuwa na mapesa kedekede ukamiliki chochote unachotaka na bado ukawa mlafi.
Majungu yapo na wazandiki pia wapo,ni maoni yangu nawe unaweza kuamini tofauti.
 
Mahusiano mazuri na nchi gani,ndo maana huyo jamaa kakuita hauna akili,Ugomvi na Rwanda,Malawi,Kenya na Uganda mpaka wakaunda COW,Kikwete ni failure anachoweza ni kuua viongozi tu hana anachoweza
 
Mkuu umewasema wapi,lakn unaweza kututajia.
Suala la machinga huwa linatatuliwa kisiasa sana, ndo maaba hakuna mpango wowite,subiri 2024 na 2025,utaniambia,sababu sasa wanaondolewa kakn hawajasema wanawapeleka wapi?
 
Hamna mwenye njaa hapo. Wengi walifanya kazi zao vizuri tu ila dictator alikuwa penda majungu sana
Ikiwa hawana njaa basi hawaitaji tena pesa? Hujui wemye pesa huwa ndio wanataka zaidi pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…