Nehemia Mchechu na Lawrence Mafuru warejea ulingoni, January Makamba awateua Wajumbe wa Bodi ya TANESCO

Nehemia Mchechu na Lawrence Mafuru warejea ulingoni, January Makamba awateua Wajumbe wa Bodi ya TANESCO

Acha upumbavu wewe, ina maana hao jamaa pekee ndio wanaojua management sana kuliko wengine? Mbona kuna watu wako exposed na wana ma elimu makubwa tu ni Diaspora kwanini wasitafutwe hao kama hatuviamini vichwa vyetu vya UDSM?

Kiufupi hapo kitakachofata ni upigaji tu sawa na mbwa kumteua fisi na simba kukabidhiwa ulinzi wa bucha! Subirieni mgao na bei ya luku kupanda kwa sababu za ajabu ajabu. Sahizi wameanza na kisingizio cha kuweka nguzo za zege najua tutafikia ambako umeme unakatwa tu kwa kisingizio mabwawa yamekauka hayana maji y kutosha wakati mvua zilikuwa nyingi tu ili watu wauze majenereta na kukaribisha kampuni za mfukoni za kufua umeme.
Taja hao watu wanaojua management na wenye exposure ambao hawajapewa nafasi acha bla bla!
 
Hapo kuna kama majina manne makubwa yananitia mashaka sana na uadilifu wao kuanzia Mchechu,Mafuru,Maajar na Mzee Gachuma naona kama ni watu wa fursa zaidi,najua huyo mtoto wa Bakhressa hana njaa na hao wengine siwajui sana.
Fikra hizi zilipendwa. Ulitaka uwekwe wewe kwa vigezo gani?
 
Hizo financial statements zina nini cha ajabu?

Nimekuuliza Nehemia ameikuta NHC ikiwa na hali gani? Madeni kiasi gani?

Unatufanya sie wajinga sio? Sote tunajua hali ya NHC kipindi Nehemia anaingia ilikuwaje na sote tunajua yeye ndo at least alianza kufanya miradi mipya.

Chuki zenu za kutaka kuweka watu wenu National Housing mkamtengenezea zengwe na kumuondoa Ila hamkuwahi kupata ushahidi dhidi yake kumpeleka mahakamani!

Hakuna kipindi uchumi wa nchi hii ulikwenda vizuri Kama kipindi cha JK. Na ndo mana hata sie kuingia katika uchumi wa kati kipindi cha Magufuli ilitokana na strong performance ya uchumi kipindi cha JK.

Muacheni JK apumzike, chuki zenu dhidi yake hazitawafikisha popote!

Samia ndo Rais, vyombo ni vyake na ana uwezo ya kufanya vetting na kupata ukweli wa mtu yeyote nchi hii. Anafanya maamuzi Kwa utashi wake na Kama anavyoshauriwa na vyombo vyake!

Kumsingizia JK kuendesha serikali ya Samia ni wivu na chuki zenu dhidi ya Samia na JK ndo zinawasababisha mfanye hayo!

Chuki zenu za kutaka kuweka watu wenu National Housing

Muacheni JK apumzike, chuki zenu dhidi yake hazitawafikisha popote

Kumsingizia JK kuendesha serikali ya Samia ni wivu na chuki zenu dhidi ya Samia na JK ndo zinawasababisha mfanye hayo!
Nikikosea kubashiri jinsia yako nitaenda Zanzibar kwa baiskeli.
 
Taja hao watu wanaojua management na wenye exposure ambao hawajapewa nafasi acha bla bla!
Nimesema wapo, huko alipowatoa Jakaya wakati yuko madarakani wapo wengi tu wanafanya kwenye agency za kimataifa. Mfano ni mkurugenzi wa TPB ambayo sasa inaitwa TCB amekuja kuifufua bank ya Posta ila jamaa ni mtanzania alikuwa anafanyia ishu zake mamtoni huko. Watu wa aina hio ndio tunawahitaji sio kila siku kurudisha sura zile zile tu.
 
Nimesema wapo, huko alipowatoa Jakaya wakati yuko madarakani wapo wengi tu wanafanya kwenye agency za kimataifa. Mfano ni mkurugenzi wa TPB ambayo sasa inaitwa TCB amekuja kuifufua bank ya Posta ila jamaa ni mtanzania alikuwa anafanyia ishu zake mamtoni huko.
Watu wazuri wenye uwezo watazingatiwa tu! Kama hajawekwa sehemu haimaanishi hatowekwa popote!

Kikubwa ni uzalendo kweli na utashi wa kuipeleka Tanzania mbele zaidi!

Ni vizuri kutaja direct kuliko kuishia kulalamika
 
Hongera zao kwa kweli labda tutaona mabadiliko,washughulikie kero ndogo ndogo kwanza ndio watengeneze mikakati mikubwa.Mimi nimeomba umeme since May 2021 mpaka leo sijawekewa nawaza hii ni hapa mbezi Beach wilaya ya kinondoni je mtu aliyeko kaliua na.mpanda inakuwaje ?Cha kwanza mameneja wote wawekewe Key Perfomamce indicators-KPIs na kupimwa nazo kila baada ya 90days moja ya KPI iwe
1.%ya wateja waliomba umeme na kufungiwa chinj ya siku 90.Benchmark iwe si chini ya asilimia 90 etc
 
Back
Top Bottom