NEMC yatoa angalizo tabia ya wenye mabasi 'kuchimba dawa' na kutupa taka Ovyo porini wakati wa safari

Vyoo vijengewe porin afu nani atakaa afanye usafi huko wakati vya mjini tu vinawashinda usafi.....

Solution mabus ya ruti za zaidi ya masaa 8 yawe na choo tu
 
Halmashauri zingejiongeza kuweka vyoo, bafu na migahawa, wangetengeneza kipato cha uhakika, Ila ndio hivyo, upigaji ndio unaopewa kupaumbele na sio uwekezaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…