Netanyahu aipiga mkwara mzito Iran na nchi zote za mashariki ya kati

Benjamin Netanyahu alikataa na akakana mbele ya kadamnasi Israel haihusiki na kifo cha Rais wao.
Kwa akili yako ya madrasa feki ulitarajia Netanyahu akubali kuwa Israel inahusika? Hizo Quran mnazosoma mkiwa na njaa zinawapotosha mpk mnadhani kuwa kwa kuwa mtume S.A. W alikuwa mwarabu basi kila mwarabu ni mtume. Pambaaafu.
 
Hata pagers wamekataa sio wao
 
Safari hii Mashariki ya Kati imekutana na Jeuri na Kiburi Babu Netanyahu. Anadungua bila kuwapa nafasi ya kutubu, huenda Sinwar kafa pia maana Gaza imepoa sana
 
Kijibwa kina shida kinabweka na kutia mikwara kikijua bwana zake us na wamagharibi wapo nyuma watamsaidia kwa kila kitu
 
Wewe Mvaa kobazi na kipedoWa Rufiji, Mbona Povu limekutoka kiasi icho? Nenda Gaz Au Lebanon UkawasaidieWavaa kobazi Wenzio Ambayo Wanapelekewa Moto Wa kufa Mtu na Mazayuni, Israel ni Taifa Taka TIFU MKUU
 
Ni wajinga tuu ndo wanaokubali kuwa IsRAEL ni taifa la Mungu, kwamba haya mataifa mengine ni ya nan labda...? africa amkeni
 
Ni kweli Israel haikuivamia Iran, lakini nikuulize Kiongozi Mkuu wa HAMAS na Rais wa Iran walibaki salama? Ahahahahaha!!!
Aaaahhii mnatia kinyaa wapumbavu mmejaa humu majukwaa mengine ya wajinga wenzenu hamuyaoni ?

Mnanipa uvivu hata kuandika.
 
Unaongea mihemko huongei fact.
Endelea na mihemko yako.
Halafu una habari kama jana Netanyahu wako viongozi waliinuka na kumpuuza alipoanza kuhutubia UNGA!?
I've always seen you my brother, and because of that, I can't argue with you now! I respect you brother! I don't have a word about you, this is because of the respect you have built for yourself!

Naburudisha moyo tu mkuu kupondana na wabongo wenzangu ambapo nchi yetu tunahitaji kuijenga ili nasi tusogee huko

Kwa sasa wacha tuwe shabiki wa wenzetu huko, mimi napendelea kushabikia Israel na USA

Bila shaka wewe ni Iran, China na Russia kama sjakose

Huna baya Kosugi

Hata hivyo, bado sisi ni wale wale watz mkuu
 
Wewe Mvaa kobazi na kipedoWa Rufiji, Mbona Povu limekutoka kiasi icho? Nenda Gaz Au Lebanon UkawasaidieWavaa kobazi Wenzio Ambayo Wanapelekewa Moto Wa kufa Mtu na Mazayuni, Israel ni Taifa Taka TIFU MKUU
Wewe ni mwendawazimu mimi sio daktari siwezi kukutibu
 
Kuna propaganda nyingine inabidi ucheke tu 😂 aisee wewe mtu ni bigwa wa propaganda. Haya maneno Yako hata hizbullah wakiyasoma lazima wacheke aisee..!!
 
Vita ni alliances , iran anajua kabis akisogeza pua yake israel, usa and co wata msaidia israel, na iran anaeweza kummunga mkono ni russia ambaye nae ana vita yake na ukraine
 
Vita ni alliances , iran anajua kabis akisogeza pua yake israel, usa and co wata msaidia israel, na iran anaeweza kummunga mkono ni russia ambaye nae ana vita yake na ukraine
Kama israel hatotoka pale basi ni vita milele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…