Kwa akili yako ya madrasa feki ulitarajia Netanyahu akubali kuwa Israel inahusika? Hizo Quran mnazosoma mkiwa na njaa zinawapotosha mpk mnadhani kuwa kwa kuwa mtume S.A. W alikuwa mwarabu basi kila mwarabu ni mtume. Pambaaafu.Benjamin Netanyahu alikataa na akakana mbele ya kadamnasi Israel haihusiki na kifo cha Rais wao.
Hata pagers wamekataa sio waoAcha uongo wa KIFALA wewe.
Benjamin Netanyahu alikataa na akakana mbele ya kadamnasi Israel haihusiki na kifo cha Rais wao.
Wewe mswahili wa peramiho unalazimisha eti wamehusika.
Lete ushahidi hapa kama unao.
Iran imeshaishambulia Israel mara kibao direct and indirect na hakuna kitu Israel ilifanya.
Unakumbuka makombora 300 Iran alorusha kuelekea Israel!?
Je Israel alifanya nini baada ya hapo!??
Mnabwabwaja kama mmelewa chang'aa bana.
Nini hiki?kuhararisha
Sawa mkuu.Vijana wa namna yako nawajua wengi!
Subiri vita ianze jawabu kamili utalipata mwenyewe.
Amechanganyikiwa huyo msamehe bure. Wanamgambo wa Israel (kama wao wasemavyo) wanawachanganya.Kiongozi wa Hamas alijiua ?
Anajifanyisha mastrees huyo. Aende Gaza au Lebanon akaonyesha uwezo wake.Maalim mbina jamaa hajakutukana?Punguza mastrees ustaadh
Bado,wako kuvaa pensi nyanya kwanzaWamelipa..?
Wewe Mvaa kobazi na kipedoWa Rufiji, Mbona Povu limekutoka kiasi icho? Nenda Gaz Au Lebanon UkawasaidieWavaa kobazi Wenzio Ambayo Wanapelekewa Moto Wa kufa Mtu na Mazayuni, Israel ni Taifa Taka TIFU MKUUWewe mpumbavu sana hiyo taarifa ya mimi kusema Iran ilirusha makombora Israel na yalifika nimeijuaje kama sio wenyewe walitangaza watashambulia na walishambulia au umeanza kufuatilia habari za kimataifa leo ?
Nenda jukwaa la mapishi huko ndiko kuna kufaa sio humu
Aaaahhii mnatia kinyaa wapumbavu mmejaa humu majukwaa mengine ya wajinga wenzenu hamuyaoni ?Ni kweli Israel haikuivamia Iran, lakini nikuulize Kiongozi Mkuu wa HAMAS na Rais wa Iran walibaki salama? Ahahahahaha!!!
I've always seen you my brother, and because of that, I can't argue with you now! I respect you brother! I don't have a word about you, this is because of the respect you have built for yourself!Unaongea mihemko huongei fact.
Endelea na mihemko yako.
Halafu una habari kama jana Netanyahu wako viongozi waliinuka na kumpuuza alipoanza kuhutubia UNGA!?
Wewe ni mwendawazimu mimi sio daktari siwezi kukutibuWewe Mvaa kobazi na kipedoWa Rufiji, Mbona Povu limekutoka kiasi icho? Nenda Gaz Au Lebanon UkawasaidieWavaa kobazi Wenzio Ambayo Wanapelekewa Moto Wa kufa Mtu na Mazayuni, Israel ni Taifa Taka TIFU MKUU
Kuna propaganda nyingine inabidi ucheke tu 😂 aisee wewe mtu ni bigwa wa propaganda. Haya maneno Yako hata hizbullah wakiyasoma lazima wacheke aisee..!!Hao wakithubutu wanapata aibu ya karne.
Syria naye amepanga kurudisha eneo lake na taarifa rasmi zinasema takribani wanajeshi elfu arobaini kutoka Yemen, Taliban, Iraq na Syria wenyewe wapo hapo mpakani na Israel. Wanasubiri kosa la kiutebdaji alifanye Israel.
Netanyahu akithubutu kuingiza jeshi kwenye mipaka ya Lebanon hiyo ni vita kamili. Na jeshi la Israel limesha prove ni mdebwedo kwenye vita yake na Hamas.
Na kinachofanyika sasa hivi Iran ananunua silaha za kuzamisha meli Russia na kumpatia Yemen. Ikiwa vita ikiaanza Yemen atakuwa anadili na meli za kijeshi za Bwana Nato hapo baharini.
Hivyo mazingira kwa Israel na mabwana zake si rahisi kihivyo!
Hata Burundu kama itasaidiwa na NATO, USA, UK watawapiga hata Mrusi. Lkn Isreal yeye peke yake hata JKT wananguvu
Utaandika nini wakati cha kuandika HAUNA? Ahahahahaha!!Aaaahhii mnatia kinyaa wapumbavu mmejaa humu majukwaa mengine ya wajinga wenzenu hamuyaoni ?
Mnanipa uvivu hata kuandika.
Vita ni alliances , iran anajua kabis akisogeza pua yake israel, usa and co wata msaidia israel, na iran anaeweza kummunga mkono ni russia ambaye nae ana vita yake na ukraineUnajua impact ya Iran akiingia mazima ?Kwa asili ya mabomu ya sasa ni kuleta maafa makubwa ya kufuta nchi husika kabisa kwa sababu teknolojia imekuwa ...Kumbuka yale ya Japan , hao ni binadamu kuna step wanaangalia .
Hezbollah na Hamas hawana teknolojia ila wanapigana kwa mgongo wa Iran ,...Ikitokea Iran ikaishambulia Israel basi tambu USA, UK , FRANCE wanaingia mazima kwa wakati mmoja kumshambulia ....Iran inatumia makundi madogo kama Hezbollah na Hamas
Kama israel hatotoka pale basi ni vita milele.Vita ni alliances , iran anajua kabis akisogeza pua yake israel, usa and co wata msaidia israel, na iran anaeweza kummunga mkono ni russia ambaye nae ana vita yake na ukraine
Hhahah na kufuga ndevu na chuki za kiselemalaBado,wako kuvaa pensi nyanya kwanza