Netanyahu aipiga mkwara mzito Iran na nchi zote za mashariki ya kati

Ni kweli Iran🇮🇷 ilirusha makombora lakini je yalifanikiwa kufika yote Israeli? hayakudhibitiwa na Mifumo ya kudhibiti makombora?
 
Kama hichi ndo shekhe kawafundisha kwenye mawaidha,,,Hama msikiti. Shekhe bado mkavu😂😂😂
 
Zamani hakukuwa na Uadui huu wa Muisraeli na Mwarabu tena walikuwa wakiishi pamoja Mwarabu alikuwa akiabudu Masanamu yake na Muisraeli alikuwa akiabudu Uyahudi wake lakini ilipofika karne ya saba mambo yakabadilika baada Mwarabu kukopi Dini za Kikristo na Kiyahudi kisha kusema Dini yake mpya ndio "Orijinoo" na Wayahudi na Wakristo ni "Makafiri".

Amani ilipotelea hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…