Netanyahu aipiga mkwara mzito Iran na nchi zote za mashariki ya kati

Netanyahu aipiga mkwara mzito Iran na nchi zote za mashariki ya kati

Netanyahu ni mwendawazimu hiyo my take yako ya kipuuzi Iran ilishaonesha hana anacho hofia na ndio maana ilirusha makombora katika nchi yake huyo Netanyahu kama yeye anajiamini na yeye angerusha makombora au kupeleka tu ndenge twake kumvamia mwenzake simple like that aache vitisho vya kitoto vya kijinga.
Ni kweli Iran🇮🇷 ilirusha makombora lakini je yalifanikiwa kufika yote Israeli? hayakudhibitiwa na Mifumo ya kudhibiti makombora?
 
Ujinga umekujaa huyo Israel hajafika hata nusu ya Ujerumani.

Kijitaifa kinachoishi ndani ya ngao ya ulimwengu wa magharibi hakina uwezo wa kutisha mashariki ya kati yote.

Iran iliporusha makombora Israel na yalifika [ hivi unajua hicho kitendo ni kuhararisha vita ya moja kwa moja ] kwa nini Israel hakuivamia Iran kivita kama yeye anaweza kuua mashariki ya kati yote ?

Una kichwa kitumie kufikiri sio kujaza ujinga.
Kama hichi ndo shekhe kawafundisha kwenye mawaidha,,,Hama msikiti. Shekhe bado mkavu😂😂😂
 
Zamani hakukuwa na Uadui huu wa Muisraeli na Mwarabu tena walikuwa wakiishi pamoja Mwarabu alikuwa akiabudu Masanamu yake na Muisraeli alikuwa akiabudu Uyahudi wake lakini ilipofika karne ya saba mambo yakabadilika baada Mwarabu kukopi Dini za Kikristo na Kiyahudi kisha kusema Dini yake mpya ndio "Orijinoo" na Wayahudi na Wakristo ni "Makafiri".

Amani ilipotelea hapo.
 
Back
Top Bottom