Netanyahu aipiga mkwara mzito Iran na nchi zote za mashariki ya kati

Netanyahu aipiga mkwara mzito Iran na nchi zote za mashariki ya kati

Ujinga umekujaa huyo Israel hajafika hata nusu ya Ujerumani.

Kijitaifa kinachoishi ndani ya ngao ya ulimwengu wa magharibi hakina uwezo wa kutisha mashariki ya kati yote.

Iran iliporusha makombora Israel na yalifika [ hivi unajua hicho kitendo ni kuhararisha vita ya moja kwa moja ] kwa nini Israel hakuivamia Iran kivita kama yeye anaweza kuua mashariki ya kati yote ?

Una kichwa kitumie kufikiri sio kujaza ujinga.
God Bless Israel
 
Ujinga umekujaa huyo Israel hajafika hata nusu ya Ujerumani.

Kijitaifa kinachoishi ndani ya ngao ya ulimwengu wa magharibi hakina uwezo wa kutisha mashariki ya kati yote.

Iran iliporusha makombora Israel na yalifika [ hivi unajua hicho kitendo ni kuhararisha vita ya moja kwa moja ] kwa nini Israel hakuivamia Iran kivita kama yeye anaweza kuua mashariki ya kati yote ?

Una kichwa kitumie kufikiri sio kujaza ujinga.
Maalim mbina jamaa hajakutukana?Punguza mastrees ustaadh
 
Ujinga umekujaa huyo Israel hajafika hata nusu ya Ujerumani.

Kijitaifa kinachoishi ndani ya ngao ya ulimwengu wa magharibi hakina uwezo wa kutisha mashariki ya kati yote.

Iran iliporusha makombora Israel na yalifika [ hivi unajua hicho kitendo ni kuhararisha vita ya moja kwa moja ] kwa nini Israel hakuivamia Iran kivita kama yeye anaweza kuua mashariki ya kati yote ?

Una kichwa kitumie kufikiri sio kujaza ujinga.
Endeleeni kumjaza kichwa huyo Iran zamu yake ikifika msijifiche.
Hata Hizbulla mlisema hivi hivi, sahivi moto unatembea sio mchezo
 
Hakuna shambulio la dharau na la kumuonyesha Iran tuko chumban kwako kama lile la kuuwawa Haniye. Ilimuonyesha jamaa walivyo ndani yao
Kuna dharau inayopita ya adui yako kusema ana kushambulia na akashambulia usalama wa taifa lako ?

Unazungumzia nini viripuzi vya wiziwizi vya kutega ndio shambulizi tumia kichwa chako vizuri basi
 
Kuna dharau inayopita ya adui yako kusema ana kushambulia na akashambulia usalama wa taifa lako ?

Unazungumzia nini viripuzi vya wiziwizi vya kutega ndio shambulizi tumia kichwa chako vizuri basi
Kurusha kombora hilo mbona kawaida. Wangekuwa wanaume wangerusha makombora bila kuongea. We unarusha kombora kwa adui halafu unawataarifu maadui zako sasa hayo si maigizo. Ndio maana yalitunguliwa. Nachosema kama mtu anaweza kuua mtu chumban kwako una uhakika gan wa system yako ya usalama sasa. Inatofauti gan na zile pages za hezbollah zilizoingiliwa.
 
Kurusha kombora hilo mbona kawaida. Wangekuwa wanaume wangerusha makombora bila kuongea. We unarusha kombora kwa adui halafu unawataarifu maadui zako sasa hayo si maigizo. Ndio maana yalitunguliwa. Nachosema kama mtu anaweza kuua mtu chumban kwako una uhakika gan wa system yako ya usalama sasa. Inatofauti gan na zile pages za hezbollah zilizoingiliwa.
Ndio nakutaarifu nakuchukulia mke wako na na nina mchukua huku ukijua hakuna dharau kubwa kuliko hii na yeye Israel aseme naitumia makombora Iran kama anavyo fanya Gaza ama Lebanon na afanye kama anaweza
 
Rais wa Poland 2010 alianguka ndege Smolensk Russia akiwa na mkewe na wengine 94 wakafariki.

Ajali zinatokea na hakuna uthibitisho Israel ilihusika na hio ajali.
Vijana wa sasa utawaweza?
Sometimes unawaacha waruke ruke na ujinga wao matukio ya mbeleni yatakuja kuwaonyesha kama ni wajinga zaidi au werevu.
 
Ujinga umekujaa huyo Israel hajafika hata nusu ya Ujerumani.

Kijitaifa kinachoishi ndani ya ngao ya ulimwengu wa magharibi hakina uwezo wa kutisha mashariki ya kati yote.

Iran iliporusha makombora Israel na yalifika [ hivi unajua hicho kitendo ni kuhararisha vita ya moja kwa moja ] kwa nini Israel hakuivamia Iran kivita kama yeye anaweza kuua mashariki ya kati yote ?

Una kichwa kitumie kufikiri sio kujaza ujinga.
Pia mbona hujiuliza kwanini Iran asiendelee kurusha hayo makombora moja kwa moja ili aifute Israel? Au kuna mahali imeandikwa ni lazima ajibu ili vita ianze?

Maana Israel huwa anatungua makamanda hapo Iran karibu kila anapojisikia na hujiulizi kwanini Iran haanzishi vita. Mtu anaua kamanda wako ndani ya ardhi yako, hilo sio Tangazo la vita?

Anyway IRAN imejijenga sana na haiwezi kuingia kwenye vita kamili wakati huu, itaendelea kuwaingiza mkenge wakina Hamas na Hezbollah hadi akili ziwakae vizuri.
 
Pia mbona hujiuliza kwanini Iran asiendelee kurusha hayo makombora moja kwa moja ili aifute Israel? Au kuna mahali imeandikwa ni lazima ajibu ili vita ianze?

Maana Israel huwa anatungua makamanda hapo Iran karibu kila anapojisikia na hujiulizi kwanini Iran haanzishi vita. Mtu anaua kamanda wako ndani ya ardhi yako, hilo sio Tangazo la vita?

Anyway IRAN imejijenga sana na haiwezi kuingia kwenye vita kamili wakati huu, itaendelea kuwaingiza mkenge wakina Hamas na Hezbollah hadi akili ziwakae vizuri.
Kama hawezi kujibu shambulizi la Iran lililo hatarisha usalama wa taifa lake na kumuweka uchi akaae kimya middle east ni kubwa sio Tel aviv au Gaza aendelee na vi mission vya wiziwizi
 
Ujinga umekujaa huyo Israel hajafika hata nusu ya Ujerumani.

Kijitaifa kinachoishi ndani ya ngao ya ulimwengu wa magharibi hakina uwezo wa kutisha mashariki ya kati yote.

Iran iliporusha makombora Israel na yalifika [ hivi unajua hicho kitendo ni kuhararisha vita ya moja kwa moja ] kwa nini Israel hakuivamia Iran kivita kama yeye anaweza kuua mashariki ya kati yote ?

Una kichwa kitumie kufikiri sio kujaza ujinga.
Rais aliyeamuru mashambulizi kwenda Israel yuko wapi?

Kati ya maboom 300 yaloingia Israel ni mangapi?

Gaidi wa Hamasi alifia nchi gani na mhisika ni nani?

Utakataaje kwamba IDF haiwezi kuingia popote middle?
 
Hii inafahamika Israel ni kambi ya kijeshi ya nchi za magharibi hapo mashariki ya kati.

Na ndiyo maana kila Israel inapokuja na azimio la kuishambulia Iran kijeshi kwanza anaenda kwenye bunge la US kuelezea mpango kazi wake.

Wakiridhishwa nao wataingia na wasiporidhishwa nao wanamwambia tulia kwanza.
 
Unafikiri Bw. and 100 others

Mara ya kwanza walipiga kelele mno kuwa Russia sasa kayatimba kwa kuivamia Ukraine. Kisa wamagharibi weungana kwenye vikwazo na kumsaidia Bw. Zelensky kwa vifaa jeshi, wanajeshi, satellite za kijeshi kumuonyesha wapi pa kupiga n.k dhidi ya Russia.

Muda unaenda unadhihirisha wao ni werevu zaidi au ni wajinga mnoo!
 
Endeleeni kumjaza kichwa huyo Iran zamu yake ikifika msijifiche.
Hata Hizbulla mlisema hivi hivi, sahivi moto unatembea sio mchezo
Israel safari hii amepwaya, hafanyi mashambulizi kama alivyofanya 2006.. 2006 hakuna mahala Israel hakupiga, alipiga hadi shule, barabara urefu km 640 waliharibu , piga HQ za Hezbollah na nyumba zao za viongozi... Tv station ya Hezbollah, madaraja, vituo vya fuel n.k

Kwa sisi tuliofuatilia battle la 2006, tunana Israel kashuka kiwango. Bado sana kuivunja Hezbollah nguvu... Bado sana ..
 
Anasema hakuna sehemu Iran na middle east yote ambapo mkono wa jeshi la Israel hauwezi kufika.

My take
Kuna haja ya Iran na wadau wake waweke tofauti zao na Israel pembeni. Maana Israel kwa sasa anaweza hata kuua nusu ya raia wa middle east na watu wote wakabaki wanamchekea. Hakuna mtu wa kumchukulia hatua wala kumzuia chochote qtakachoamua kufanya kwa yoyote duniani.
Wakiristo wa jf thread zao zinachekesha sana utadhani wamemaliza std 7
 
Back
Top Bottom