BIG DOGG
JF-Expert Member
- Sep 15, 2024
- 1,869
- 2,707
pye Chang shen weweee acha kunitembezea dislike hovyo
All thw best 🇮🇱💥
All thw best 🇮🇱💥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We choko mvaa kobazi mbona unaleta hasira za maisha Yako magumu humu angalia tutakutoboa spikaAaaahhii mnatia kinyaa wapumbavu mmejaa humu majukwaa mengine ya wajinga wenzenu hamuyaoni ?
Mnanipa uvivu hata kuandika.
Pagers hawakukataa.Hata pagers wamekataa sio wao
Wairan na Hezbollah wasipomla kichwa huyu netanyau nitaona wanazingua maana sasa wana sababu zoteAnasema hakuna sehemu Iran na middle east yote ambapo mkono wa jeshi la Israel hauwezi kufika.
My take
Kuna haja ya Iran na wadau wake waweke tofauti zao na Israel pembeni. Maana Israel kwa sasa anaweza hata kuua nusu ya raia wa middle east na watu wote wakabaki wanamchekea. Hakuna mtu wa kumchukulia hatua wala kumzuia chochote qtakachoamua kufanya kwa yoyote duniani.
Watafute kazi nyingine za kufanya. Sasa kama wanamfumuq hadi kiongozi mkuu wa Hesbullah wao wanashindwaje kituma hypersonic moja tu kumfumua Neta wakati anarudi kutoka UN.Wairan na Hezbollah wasipomla kichwa huyu netanyau nitaona wanazingua maana sasa wana sababu zote
Ugomvi wa israel na palestina, wewe unatukana na kukashifu waislamu,Kashfa zepi..?
Ila israel inqchofanya inqjitahidi ipate taarifa zao in advance. Wanajua wanaweza ilq qmbacho huwa anawafanyia waarabu huwa ni kuwawahi. Hata hawa Hesbullah sio kwamba hawana uwezo wa kuletq mashambulio hatarishi zaidi ya drones. Jana usiku wamewahiwa tu na kiongozi wao kaliwa kichwa. Wamebaki bila uwezo wa kulipq kisasi.Wairan na Hezbollah wasipomla kichwa huyu netanyau nitaona wanazingua maana sasa wana sababu zote
Mungu yupi?Unaongea ujinga wewe, Israel kaua rais wa Iran na hajafanywa kitu na Iran. Wamejifanya kutoa statement ya uongo kwamba hali ya hewa ndiyo iliangusha helicopta ya rais Raisi ili kuondoa aibu
Israel taifa la Mungu
Kijana we nilisha ku ignore maana huna point kabisa.Dogo Haniye ilibidi watangaze kwasababu ni hadi. Sasa unatangazaje kumuua Rais wa Nchi tena aliye madarakani? Wewe wa wapi? Jinga kabisa!!
Basi kaeni kwa kutulia muendelee kuona jinsi vitukuu vya Mohammad vinavyoshughulikiwa na taifa teule.Mungu yupi?
Umeandika ujinga sana Mataifa yote ya Mungu hao Isarael sio wale wa zaman tena.
Ila waziri wao mkuu mstaafu ameonya wasithubutu kuingia lebanon kitawakuta kama kilichowakuta 2006Anasema hakuna sehemu Iran na middle east yote ambapo mkono wa jeshi la Israel hauwezi kufika.
My take
Kuna haja ya Iran na wadau wake waweke tofauti zao na Israel pembeni. Maana Israel kwa sasa anaweza hata kuua nusu ya raia wa middle east na watu wote wakabaki wanamchekea. Hakuna mtu wa kumchukulia hatua wala kumzuia chochote qtakachoamua kufanya kwa yoyote duniani.
Nimetukana mtu wapi..?Ugomvi wa israel na palestina, wewe unatukana na kukashifu waislamu,
Kwani unadhani hakuna waarabu makafiri?
God Bless IsraelMi mwenyewe nashindwa kuelewa hawa wadau wanaongea kitu gani ..
Netanyahu mwenyewe anaonekana mjinga tu, kwenye hotuba baraza la usalama umoja wa mataifa wawakilishi wengi tu walitoka nje kushiria anaongea pumba tupu, najua ilimtesa kisaikolojia sana.
Kwa hasira akaanza kutoa mikwara ataipiga Iran, Netanyahu amekuwa kama mwehu, anazidi kutengeneza jina baya kwa Israel, Ajifunze kwa Ehud Olmert, Israel itamgeuka Hezbollah wakianza mashambulizi....
Nina uhakika hii ni nafasi Hezbollah walikua wakiitafuta Israel aingie kwenye 18 na kweli ameingia...
Unatakiwa ujue ni ndoto ya Iran, Syria, Hamas, na Hezbollah kuifuta Israeli kwenye ramani...unapoona hawafanyi hvyo ni kwasababu hawana uwezo au wanaogopa kujaribu maana itawagarimu ziadi....Ujinga umekujaa huyo Israel hajafika hata nusu ya Ujerumani.
Kijitaifa kinachoishi ndani ya ngao ya ulimwengu wa magharibi hakina uwezo wa kutisha mashariki ya kati yote.
Iran iliporusha makombora Israel na yalifika [ hivi unajua hicho kitendo ni kuhararisha vita ya moja kwa moja ] kwa nini Israel hakuivamia Iran kivita kama yeye anaweza kuua mashariki ya kati yote ?
Una kichwa kitumie kufikiri sio kujaza ujinga.