New couple in town
Simba akizidiwa hata majani hulaa...[emoji1][emoji1]ingawa Zuchu yupo yupo tu!ila kibongobongo yule anaweza akamla ,fisi yulee[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]!!

Unajua mpk wamegombana na yule binti mtangazaji ingekua Kik wasingegombana na gari kapokwa!
Subiri utaona mwisho wao
 
Nyakati kama hizi huwa namkumbuka sana WARUMI

Hawa wapendanao tuwaache wapendane tuu ikiwapendeza wataoana, na wakiamua kumshika Mungu kwenye hili jambo kwa umoja wao na nguvu zao za maombi watadumu, vinginevyo wakichoka wataachana

Tunaweza kumsema sana Nasib kwamba anawachezea mabinti lakini tusiache kusema ukweli pia kwamba mabinti nao wanamchezea. Sababu hakuna wasichokijua na bado wanajiweka kwake
 
[emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]na yeye azae kama wengine!
Hapa Kama ni kweli Chibu hachomoi kosa amzalishe halafu amuache ndio mtajua huyu anayeitwa bi mkubwa timbwili lake la Hamisa litakuwa cha mtoto, nadhani kwa Chibu ndio itakuwa mwisho wa kafungua zipu hovyo hovyo, mama na mtoto wapo ki maslahi zaidi pale
 
Hapa Kama ni kweli Chibu hachomoi kosa amzalishe halafu amuache ndio mtajua huyu anayeitwa bi mkubwa timbwili lake la Hamisa litakuwa cha mtoto, nadhani kwa Chibu ndio itakuwa mwisho wa kafungua zipu hovyo hovyo, mama na mtoto wapo ki maslahi zaidi pale

Wapendane tuu ili waishi kwa amani na furaha
Ndoa ya kulazimishana ni mateso ndio maana hata mama zao walizishindwa wakaolewa na kuolewa tena
 
"achia ngazi bibi mchuma unaondoka huo, achia ngazi bibi mchuma unaondoka huo" [emoji443][emoji445]

Umbea ukiwa unawahusisha watu wa zamani kitu code zinajifungua zenyewe, ukikutana na umbea unahusisha watoto wa miaka hii, naishia kufunga uzi tu, maana mambo hayashuki kabisa.
Sanamu la Michelin bi mkubwa aliumia sana alipousikia [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wapendane tuu ili waishi kwa amani na furaha
Ndoa ya kulazimishana ni mateso ndio maana hata mama zao walizishindwa wakaolewa na kuolewa tena
Chibu wake mama T hawa wengine tamaa tu ndio maana akikinai anakwenda South kusalimia familia
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Yes anafikiria diamond kalogwa, na adai kujikinga maana Khadija alimuuaga eti mwimba taratibu mweziwe kisa ushindani Sasa mama dangote anaogopa mno
Alimuua khamisa kidogooo? Yule mmama aliyeimba wadudu wadogo wadogo wananyenvua?
 
Uzi umeusoma ama? Hii habari haijaanzia jf iko insta hata na mleta mada kaitoa insta.
Kuna wakati nyinyi wenyewe mnawasingizia wasanii kusema wanatengeneza kiki hii habari nimeiyona kwa Mangekimambi yeye ndio source ya hii habari na nyinyi wafuata mkumbo nashangaa unaposema maanii ndio katengeneza hii kiki hakuna sehemu yoyote wahusika wamesema wanamahusiano ya kimapenzi ndio yaleyale unakuta msanii kapost picha lambda ya bidada bila kuweka caption yoyote wadau utakuta washaleta tafsiri yao baadae wakiona huyo dada ni video queen wanaanza kusema msanii anatafuta kiki
 
"achia ngazi bibi mchuma unaondoka huo, achia ngazi bibi mchuma unaondoka huo" [emoji443][emoji445]

Umbea ukiwa unawahusisha watu wa zamani kitu code zinajifungua zenyewe, ukikutana na umbea unahusisha watoto wa miaka hii, naishia kufunga uzi tu, maana mambo hayashuki kabisa.
[emoji23][emoji2][emoji2][emoji2] [emoji11]makaveli uko vzr sana,baasi alikua na wapinzani wawili huyo wa achia ngazi,na mwingine mule ndani ya bendi yao wenyewe aliimbaga Kijeba
 
Nasma khamis kidogo, layla sina uhakika saana, ila khabar za mjini ni alimpiga juu bimkubwa, ile sanamu la michelin ilimgonga mnooo..
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji11]ile Sanamu la Michelin acha kabisaa!bonge la ngoma yaani alimpiga na kitu kizito kichwani mpk akakiskia
 
Kuna wakati nyinyi wenyewe mnawasingizia wasanii kusema wanatengeneza kiki hii habari nimeiyona kwa Mangekimambi yeye ndio source ya hii habari na nyinyi wafuata mkumbo nashangaa unaposema maanii ndio katengeneza hii kiki hakuna sehemu yoyote wahusika wamesema wanamahusiano ya kimapenzi ndio yaleyale unakuta msanii kapost picha lambda ya bidada bila kuweka caption yoyote wadau utakuta washaleta tafsiri yao baadae wakiona huyo dada ni video queen wanaanza kusema msanii anatafuta kiki
Hii habari mbona ilisambaa Instagram ya zuchu na diamond two months ago mange ndio kaipost juzi Ili ku boost application yake ila ig watu walisha I discus na haikuwa breaking news
 
Hapa Kama ni kweli Chibu hachomoi kosa amzalishe halafu amuache ndio mtajua huyu anayeitwa bi mkubwa timbwili lake la Hamisa litakuwa cha mtoto, nadhani kwa Chibu ndio itakuwa mwisho wa kafungua zipu hovyo hovyo, mama na mtoto wapo ki maslahi zaidi pale
Yaani mji utachafuka ,mama ataingia studio,mtoto studio,watagongana kwenye nyungu hukoo!!maana bidangote na mama zuchura wote wangaaa
 
Back
Top Bottom