Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana kwa waliofikwa na majanga hayo...
Kwani vipima mwendokasi vimeondolewa kwenye mabasi,,
na yule Police wa Dodoma aliyesema atasindikiza mabasi aliishia wapi?
Nilikutana nalo pale waterfront nssf linaondoka zakeTumeitoa bandarini juzi tu zhongtong new model
Eti damu ya mwendazake..Su-vaginer gang bhana.
Damu ikishamwagika mahali bila kuomba itadai damu nyingine....Sasa hapo Tanangozi dereva unapataje ajali kwa uzembe wa overtaking???
Mwacheni mwendazake apumzikeBila kutubu, damu ya mwendazake haitotuacha salama.
Siyo mpya hiyo..ina usajili wa DPK 717Tumeitoa bandarini juzi tu zhongtong new model
Utawala wa Mwenda zake uliua wengi zaidi, sasa sijui nani atubu!Bila kutubu, damu ya mwendazake haitotuacha salama.
Brother unachumaBila kutubu, damu ya mwendazake haitotuacha salama.
Damu ikishamwagika mahali bila kuomba itadai damu nyingine....
Mwezi uliopita pametokea ajali km 3 hapo na,watu wamekufa sana tu hapo..
Ni kweli kabisa safari inachosha ukimaliza kitonga hadi uikute mbeya dah huwa nachukia sana na ndyo napita mara kwa maraMwendokasi unaua ila Mbeya-Dar mbali nyie dereva asiponyosha goti mnafika keshokutwa. Pole yao
Mbona mimi ndo zangu hizo.Ni kweli kabisa safari inachosha ukimaliza kitonga hadi uikute mbeya dah huwa nachukia sana na ndyo napita mara kwa mara
Sahihi kabisa ukiwa unakunja goti mwenyewe inakua poa shida ukiwa unaendeshwa dah naifikiriaga sana nishapanga nihame mbeya na siku nikihama mbeya nitafanya shereheMbona mimi ndo zangu hizo.
Pengine kama unaendeshwa.
Dar-Mbeya ni endurance test ya dereva yeyote, lakini mimi huwa naenjoy sana.
Kuna sehemu za spidi, Chalinze -Mikese, Moro-Doma, Ilula -Iringa, Tanangozi-Mafinga, Sao Hill, Makambako Igawa. Mwisho wa spidi
Sehemu nyingine zote mwendo kasi utakuondoa barabarani.
Kama ngapi labda, anyway, tuishie hapa.Brother unachuma
Dhambi nyingi sana unnecessarily
Mzilankende MnyagoBila kutubu, damu ya mwendazake haitotuacha salama.
Kwani ilimwagika?Bila kutubu, damu ya mwendazake haitotuacha salama.
Yeye ndiye alikuwa kiongozi wa madereva?Tumia akili.Bila kutubu, damu ya mwendazake haitotuacha salama.
Gari la mbele likifunga brek ghafla ukaligonga mwenye makosa ni wewe uliyenyumaPole kwa wahanga,hayo ndio mambo ya barabarani,inawezekana kweli alikuwa speed lakini uzembe unaweza kuwa ni wa lorry,limefunga brake ya ghafla na kwa dereva huo ni mtihani...