Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Station gani?Kesho saa 3 unusu usiku
Station gani?
24 Feb 2020
President Magufuli meets Scholar and Pan-Africanist from Kenya Professor PLO Lumumba at the State House in Dar es salaam February 24, 2020
Star Tv wanao uhuru huo wa kumrusha Lissu live?Au ni',Kila zama na kitabu chake?''Ingekuwa vizuri tufahamu pia kama watarusha pia You tube,in case kama chochote kitatokea!Star tv
LUMUMBA si ndio mfuasi wa nduli?
Umekoswakoswa vile kufa na marisasi yote Yale ungekimbilia kusikojuoikana na wala usingetaka kujulikana uko wapi hata ndugu zako usingetaka wajue.sawa tutamsikiliza lakini mwambieni arudikwao, bado analazimisha ukimbizi tu!!
Wakati upi mgumu?Shabiki mkubwa wa Magulification kesho atakuwa na wakati mgumu wa kusafisha mapungufu makubwa mwendazake.
Source : Ikulu Tanzania