Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Star Television
Jiandaeni TCRA Iko Macho
Yawezekana Kukatizwa Mawasiliano Ama Vinginevyo
kwa sababu kishaenda zake basi watarushaStar tv
Star Tv wanao uhuru huo wa kumrusha Lissu live?Au ni',Kila zama na kitabu chake?''Ingekuwa vizuri tufahamu pia kama watarusha pia You tube,in case kama chochote kitatokea!
Warushe You tube ZOOM CALL sisi tutajipanga na VPN in case TCRA wakifanya THROATING!TCRA washaanza kujipanga!!
Kama ilivyokuwa 2015 kwa JPM ,sasa hivi tena Chadema wako bize kumsifia, kumfundisha na kumpa maelekezo mbalimbali Rais Samia bila kujua kuwa huyo ni rais anayetokana na ccm na anatekeleza ilani ya ccm.
Mangula huyu huyu aliyepewa sumu na uchunguzi ukazimwa ndio anakinadi chama ?Kama ilivyokuwa 2015 kwa JPM ,sasa hivi tena Chadema wako bize kumsifia, kumfundisha na kumpa maelekezo mbalimbali Rais Samia bila kujua kuwa huyo ni rais anayetokana na ccm na anatekeleza ilani ya ccm.
Godbless Lema ,Tundu Lisu hawazungumzii kabisa maendeleo ya chadema wao ni bize kumpangia cha kufanya rais Samia. !
Tundu Lisu ni kaimu mwenyekiti wa chadema lakini hutakaa usikie akiiongelea wala kuitangaza chadema popote. Kwani haoni kaimu mwenyekiti wa ccm Philip Mangula anavyokinadi chama chake?
Tundu Lissu ni mtanzania lakini hutakaa usikie popote akizungumzia mazuri ya nchi yake ,yeye ni kuchafua tu nchi yake.
Kila wakati tutakuwa tunakata matangazo wakati Lissu anaongea ili kumpa nafasi zaidi Lumumba.Star Tv wanao uhuru huo wa kumrusha Lissu live?Au ni',Kila zama na kitabu chake?''Ingekuwa vizuri tufahamu pia kama watarusha pia You tube,in case kama chochote kitatokea!
Wakati upi mgumu?
Subili hapo hakuna wakupiga makofi wala kuzomea. Hoja to hoja.
Kama ilivyokuwa 2015 kwa JPM ,sasa hivi tena Chadema wako bize kumsifia, kumfundisha na kumpa maelekezo mbalimbali Rais Samia bila kujua kuwa huyo ni rais anayetokana na ccm na anatekeleza ilani ya ccm.
Godbless Lema ,Tundu Lisu hawazungumzii kabisa maendeleo ya chadema wao ni bize kumpangia cha kufanya rais Samia. !
Tundu Lisu ni kaimu mwenyekiti wa chadema lakini hutakaa usikie akiiongelea wala kuitangaza chadema popote. Kwani haoni kaimu mwenyekiti wa ccm Philip Mangula anavyokinadi chama chake?
Tundu Lissu ni mtanzania lakini hutakaa usikie popote akizungumzia mazuri ya nchi yake ,yeye ni kuchafua tu nchi yake.
Hata mkikata matangazo ni kazi bure maana hata lugha mavilaza ya CCM hayajui lakini ulimwengu wa wasomi utamsikiliza na kushangaa Msukuma ameondoka vilaza wenzake wasiojua Kingereza bado wamebaki Serikalini. Wala haijulikani wataongea nini kuhusu nchi gani ya Afrika lakini kama ni kuhusu Tanzania basi inaeleweka watakuwa wamekosa mtu toka humu ndani wakaalika toka Nchi jirani.Kila wakati tutakuwa tunakata matangazo wakati Lissu anaongea ili kumpa nafasi zaidi Lumumba.
Huwa "anakashifu" nchi au mtu? Kama kweli anakashifu!Aibu kubwa sana hii yani mkenya anaenda kutetea mazuri yaliyofanywa katika nchi yako lakini wewe na akili zako timamu unaanda maneno ya kwenda kukashifu nchi yako uliyozaliwa.
Huyu jamaa TL naamini hata familia yake binafsi itakuwa inampuuza kinamna namna.
sawa tutamsikiliza lakini mwambieni arudi kwao, bado analazimisha ukimbizi tu!!