Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

kiwango cha chini kabisa yaani TGTS B1 ni sh. 344000 na kiwango cha juu inafika hadi 944000 inategemea na TGTS yako
 
mkuu binafsi nashukuru sana kwakutudadavulia Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)
lakini kwa bahati mbaya sijaona PHTS,PGSS na PTSS. Naomba msaada kiongozi.
 
Hii mishahara serikalini haina afya kabisa

Mfanyakazi mwenye Diploma TRA anamuacha mbali sana kama mara mbili hivi mfanyakazi wa serikalini mwenye degree.....hapo bado na marupurupu
 
duuuuuuuuuuuh jamani habari zenu humu ndani?mi nauliza PGSS 6 Ni sawa na sh ngapi?msaada kwa anaefahamu tafadhali nimetafuta hapo juu cjaona.......................Ahsanteni
 
Heshima mbele wakuu.

Nimerudi home na nisingependa kurudi tena ughaibuni kuhangaika na box, nimebahatika kuishi huko kwa miaka 9, ambapo nilipata degree yangu ya Business administration Marketing + Sales na kufanya kazi kwenye baadhi ya corporation za banking na Telecom kwa kipindi cha miaka mitano.

Ningependa kujua viwango nya mishahara ya hapa nyumbani, hasa hasa kwenye sekta za finance kama banking na kampuni zakutoa mikopo na vile vile kwenye sekta ya Telecommunication/communication.

Asanteni kwa hayo.

Kunta

Ulipata kibarua ama bado unapiga schedule Ya box?
 
Wanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje...

==============
July 2014 UPDATE:

[/LEFT]
[/CENTER]

Mkuu hizi ni viwango vya 2013/14 sio 2014/15 hata wangu huko ulishatoka
 
wakuu naomba kujua Kati ya hizi scale mbili ipi ni nzuri..nahitaji kujua kiasi kwa hiyo PHTS 1
 
Mambo ya Kamlete haya leo nimeambiwa nichague kati ya National Auditing Office, TRA, NSSF, na BIMA

Nina Degree ya Kwanza Katika Accounting and Finance (BAF)

Please naombeni ushauri na Salary figures kwa kima cha chini kwa mimi ninayeanza kazi

Karibu!
 
Mambo ya Kamlete haya leo nimeambiwa nichague kati ya National Auditing Office, TRA, NSSF, na BIMA

Please naombeni ushauri na Salary figures kwa kima cha chini.

Karibu!

Mbna amesahau kukwambia Ofisi za bunge na Ikulu,TPA,Primefuel na BP
 
Back
Top Bottom