Wanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje...
==============
July 2014 UPDATE:
[/LEFT]
[/CENTER]
ni million tano tu grossnaomba kujua kuhusu phts?? Viwango vipoje mathalani phts 2
OSHA-scale 6.1 ni shilingi ngapi?
OSHA-scale 6.1 ni shilingi ngapi?
Not possibleni million tano tu gross
PGSS 6 Inaanzia 537000 hii ni kwa mashirika ya umma na hupanda kwa sh. 8000 kwa mwaka. Na hiki ni kiwango mwa mtu kuanzia diploma.