Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

Damn mfanyakaz wangu wa ndani ndio ela ninayomlipa kwa siku hiyo

Watu wengi humu ukiuliza mishahara ya kada zao huwa hawataki kusema kwa kuhofia kauli kama hizi.

Mkuu unalipa mshahara mzuri sana kwa kweli, kama huyo ni mfanyakazi wa ndani tu itakuaje kwa mshauri wako wa mambo ya uchumi. Ningeomba kazi kwako sema mimi nalipwa hiyo kwa saa moja hahaahaha!
 
habari wanajamii

ningependa kuuliza mshahara anaopata mwalimu wa shule ya msingi pindi anapoanza kazi kila mwezi anapokea sh ngp
N:B:sijauliza kwa ubaya wapendwa mwenye kufahamu atuambie tafadhali

TGTS B1 Basic salary 370,000/=
Net amount (Take home) 319,567.54
 
Acha kudanganya watu, unajua kima cha chini cha mshahara cha serikali....???, nenda kaulize ndo uje na data kamili hapa sio kubwabwaja hapa.....

Hapa ndipo watu mnaposhangaza...

Unampinga mtu na kumwita muongo lakini ukweli unaoujua wewe, na kuutumia kama base ya kumuita mwingine muongo, huusemi
 

Huyo Money Stunna no mtu wa kujikweza na kutaka kukatisha watu tamaa,hana lolote
 
PGSS 6 Inaanzia 537000 hii ni kwa mashirika ya umma na hupanda kwa sh. 8000 kwa mwaka. Na hiki ni kiwango mwa mtu kuanzia diploma.


Mkuuu Stuna vipi kuhusu PGSS 11 inakua ni kama Shilingi ngapi mkuu???...na nadhani.ni kwa mtu wa kuanzia Degree
 
Mimi serikalini sitoki
Huku kutamu sana maana napata muda wa kufanya na kusimimamia miradi yng bila kuwa na stress while kimshahara changu cha mbuzi nakikuja safi
 
Mimi serikalini sitoki
Huku kutamu sana maana napata muda wa kufanya na kusimimamia miradi yng bila kuwa na stress while kimshahara changu cha mbuzi nakikuja safi

Ofisini yenu mnapiga sana hela za pembeni...!
 
Ofisini yenu mnapiga sana hela za pembeni...!

Kuna safari za kutosha maana kazi zetu siyo za kukaa ofisini mara nyingi hatupo dar 2po mikoani kwa ajiri ya ukaguzi na shughuli za kuhamasisha hiyo mishahara hatugusi kabsa
 
TGTS D1 ambayo kabla ya makato ni sh 450,000.00
makato yake kuna PSPF
Bima ya Afya
Chama cha walimu
Tax Pay as you Earn
mengine yatakuja ya mikopo kama utakopa

nadhani take home inaweza kua 320,000.00

Umedanganya man cjui unazungumzia nyakat zipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…