Kichwa Ndio Mtu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 3,079
- 1,711
Damn mfanyakaz wangu wa ndani ndio ela ninayomlipa kwa siku hiyo
Watu wengi humu ukiuliza mishahara ya kada zao huwa hawataki kusema kwa kuhofia kauli kama hizi.
Mkuu unalipa mshahara mzuri sana kwa kweli, kama huyo ni mfanyakazi wa ndani tu itakuaje kwa mshauri wako wa mambo ya uchumi. Ningeomba kazi kwako sema mimi nalipwa hiyo kwa saa moja hahaahaha!