figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Mtoto wa Kova ameingia matatani baada ya kukumbwa na Kashfa ya sakata ya makontena.
Polisi walimtafuta wakampata lakini alitoroshwa usiku usiku akatokomea.
Habari hii imeandikwa na gazeti la Jamhuri.
Polisi walimtafuta wakampata lakini alitoroshwa usiku usiku akatokomea.
Habari hii imeandikwa na gazeti la Jamhuri.