Cienfuegos
Member
- Jun 29, 2016
- 56
- 57
Wakuu naomba niulize. Nimeona Mzumbe University wanatumia salary scale ya PGMSS. Je, mishahara yao inakuwaje, tafadhali? Mathalani, mshahara wa PGMSS 7.1 unaweza kuwa kiasi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiipata na nijuze tafadhali.Wakuu naomba niulize. Nimeona Mzumbe University wanatumia salary scale ya PGMSS. Je, mishahara yao inakuwaje, tafadhali? Mathalani, mshahara wa PGMSS 7.1 unaweza kuwa kiasi gani?
kama hauna deni bodi ya mkopo ni 749,500 take home585,000
Tgs B 390,000wadau ivi mtendaji wa kijiji na kata wenye elimu ya certificate na diploma respectively wanapokea shilingi ngapi
Ukijibiwa nishtue hiiTPGS 6 ??????
Hivi wenye shamba ndio wamekuja kugawa mpaka wa shamba sasa?Usichane resume yako. Badala ya kuomba hiyo kazi, sasa omba ukurugenzi, ukatibu mkuu, ukuu wa wilaya/mkoa. Ukishindwa omba basi hata ubunge manake utaweza kupata na uwaziri halafu mshahara wako pamoja na marupurupu yanaanzia mil 3 hadi karibia 20 kwa mwezi. Sio unaona kunavyolipa serikalini?
Ukishindwa vyote hivyo, hata ukatibu wa ccm wa wilaya? manake nako unaanzia na zaidi ya milioni! Hii nchi si inawenyewe? kama hutaki kuwa miongoni mwao, basi utaishia na hivyo vilaki 2 au 3 vile!
Hii post yako imenikumbusha mbali kweli. "Mtoto wa nyani alipomuuliza mama yake, mpaka wa shamba lao ili asijekula mahindi yasiyokuwa ya kwao. Mama alimjibu, kula tu mwanangu wenyewe watakuja kugawa". Tanzania, wanaendelea kula tu, hadi wenyewe watakapokuja kugawa! maybe in 50 or 100 years to come! who knows/cares? Don't you see them keeping a distance?
Na vipi kwa TRS 5??hii ni kwa wale Technicians wa Tanroads, ina range kati ya laki 7 hadi 9 mkuu