NIMO PRDCTZR
Senior Member
- Feb 10, 2016
- 146
- 83
Hapo kwenye posho nilijua ipo kwenye scale ya mishahara!!Mshahara wakawaida sana mf askari asiye na cheo anaanza na laki 4 na point hyo ni kwa wote wizara ya mambo ya ndani lkn Tpdf inaongezeka kdogo anayeanza anakura laki 5 point wanapopata hela hawa wizara ya mambo ya ndani na Tpdf ni maposho wanayopata ni nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani ulinganifu Na utofauti Ni kwa fani Na fani wakuu Kuna fani mishahara n kichef chef......lkn ukiajiriwa serikalini ujue umekwepa ushindani ktk kazi n ukicheza unalemaa,kujitolea kwingi,siasa kuliko logic,.....na ushamba mwing huku hutakiw kuwa tajir yaaan n balaaa
📌Nadhani ulinganifu Na utofauti Ni kwa fani Na fani wakuu Kuna fani mishahara n kichef chef......lkn ukiajiriwa serikalini ujue umekwepa ushindani ktk kazi n ukicheza unalemaa,kujitolea kwingi,siasa kuliko logic,.....na ushamba mwing huku hutakiw kuwa tajir yaaan n balaaa
Mkuu kuna taasisi zina lipa vizuri tu achana na ilo la degree sijui Diploma kuna mtu ana cheti tu na anamzidi hata degree holder emu research Tanapa au TBS afu nenda kafanye comparison na salaries za HalimashauriThere something ambacho wengi wetu tunachnganya hapa katika viwango vya mshahara let me try to make it clear...ni hivi Hizo TGOS huwa zina depend pia na kiwango cha elimu yako nikimaanisha kuna elimu ya form4 most of them wanacheza katika TGOS1 hiv kama 240,000 pak level fulan then kuna A-level chet cha form6 pia wako na level zao katika malipo then kuna certificate pia wako na level zao na kuna wa diploma pia wana level zao za mshahara serekalini and hata wa degree wako na level zao so in short katika level za mshahara haziwez kulingana et mtu wa degree akapokea same amount na mtu wa diploma unless otherwise ukute condition like zimetoka nafasi za kazi kitengo cha office attendant wanahitaji watu wa form 4..so wew upo home una diploma yako au degree bt huna ajira uka apply hiyo kazi lazima mshara utakua ni TGOS1 au kidgo but they will consider if you have another knowledge kama unakuta labda degree yako au diploma yako umesomea nin hapo lazima utapat ufaida fulan...so kuhusu mshahara it depend na elimu yako na pia ume apply kazi kulingana na elimu yako au wewe umeapply iliyo chini ya elimu yako so dont expect to gain more while ume apply katk kitengo ambacho umetumia chet chako cha chini kam 4m4 so kuna faida utaipat wenda badae utapata upgrade itakueka pazuri au ukaejiendeleza kimasomo and pia kuhusu serekalini mshahara wake ni uhakika sio kam private ukiwa unaumwa au dharura or uwe umeenda kusoma bado unapata mshahara so tusiangalie sana kupata kikubwa angalia pia na elimu yako inastahiki kupata kile kikubwa....nimejaribu kuelewesha mwenye hoja ya kupinga anaribishwa pia mwenye mnofu wa kuongeza ni ruhusa kunielimisha sehm nilipo kosea
Sent using Jamii Forums mobile app
fanya kaz kwa kuwahudumia watu, thawabu Mungu atakulipa maana ukisema ufikirie mshahara unaweza usiwe na moyo kabisa wa kazi kutokana na gaps zilizopomh! kianzia leo sifanyi kazi kwakieleele tena yani sijitumi ng'o hadi nifike TGS I ndo ntakua nakieleele....akhaaaa yani bado niko TGS C
Kada gani? Nafahamu Dip anakula 805k kwa hiyo scale PGSS ambayo ni 4.1 na sio hiyo 6 pia hiyo 6 haishuki 1.2m japo sina exactly amount figures, na kumbuka ni Gross sio Take home.Wakuu PGSS 6 kwa mwenye diploma ni sh ngapi
hAhaduh hivi wanaishije...! TGS D ni graduate huyo! Tunatarajia pia alipe deni lake la Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu!
Hii 1.2 wakikata yao unabakowa na Take omu ngapi??Kada gani? Nafahamu Dip anakula 805k kwa hiyo scale PGSS ambayo ni 4.1 na sio hiyo 6 pia hiyo 6 haishuki 1.2m japo sina exactly amount figures, na kumbuka ni Gross sio Take home.
Posho itategemeana uko taasisi gani, kama ni mwalim basi jiandae kisaikolojia hakuna posho yoyoteMfano umeitwa kazini na mshahara uliopangiwa ni TGS D , Hivi hapo kuna kuwa na posho , na inakuwa sh ngapi ?
Posho itategemeana uko taasisi gani, kama ni mwalim basi jiandae kisaikolojia hakuna posho yoyote