There something ambacho wengi wetu tunachnganya hapa katika viwango vya mshahara let me try to make it clear...ni hivi Hizo TGOS huwa zina depend pia na kiwango cha elimu yako nikimaanisha kuna elimu ya form4 most of them wanacheza katika TGOS1 hiv kama 240,000 pak level fulan then kuna A-level chet cha form6 pia wako na level zao katika malipo then kuna certificate pia wako na level zao na kuna wa diploma pia wana level zao za mshahara serekalini and hata wa degree wako na level zao so in short katika level za mshahara haziwez kulingana et mtu wa degree akapokea same amount na mtu wa diploma unless otherwise ukute condition like zimetoka nafasi za kazi kitengo cha office attendant wanahitaji watu wa form 4..so wew upo home una diploma yako au degree bt huna ajira uka apply hiyo kazi lazima mshara utakua ni TGOS1 au kidgo but they will consider if you have another knowledge kama unakuta labda degree yako au diploma yako umesomea nin hapo lazima utapat ufaida fulan...so kuhusu mshahara it depend na elimu yako na pia ume apply kazi kulingana na elimu yako au wewe umeapply iliyo chini ya elimu yako so dont expect to gain more while ume apply katk kitengo ambacho umetumia chet chako cha chini kam 4m4 so kuna faida utaipat wenda badae utapata upgrade itakueka pazuri au ukaejiendeleza kimasomo and pia kuhusu serekalini mshahara wake ni uhakika sio kam private ukiwa unaumwa au dharura or uwe umeenda kusoma bado unapata mshahara so tusiangalie sana kupata kikubwa angalia pia na elimu yako inastahiki kupata kile kikubwa....nimejaribu kuelewesha mwenye hoja ya kupinga anaribishwa pia mwenye mnofu wa kuongeza ni ruhusa kunielimisha sehm nilipo kosea
Sent using
Jamii Forums mobile app