Mkuu ptss 6 ni sh ngapi basic na baada ya makato sh ngapiLaki 9 na elfu 75
OkMedical lab nilimaanisha mwenye degree
TBC not TBSAnayefahamu mshahara wa Parastal Government Salary Scale 5 (PGSS 5)kwenye shirika la Utangazaji Tanzania TBS ni kiasi gani??
Nawasilisha
Ambaye anafanya kazi wapi?Jamani eti mshahara wa graduate mwenye degree ya mipango miji ni shilingi ngapi?
Msaada tafadhali
TGS Dhivi mtu wenye diploma ya IT atakuwa kwenye TGS ngapi hapo?
Anayefanya kazi halimashauri!Ambaye anafanya kazi wapi?
Funguka ili usaidiwe
TGS Chivi mtu wenye diploma ya IT atakuwa kwenye TGS ngapi hapo?
PUSS 6 ni kiasi gani ?
Google hakuna
TRA chief..Kamishna nahisiJamani mbona makubwa, wanaolipwa 15,000,000 ndio wapi