and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Nomamishahara ya gavamenti ni midogo hivi?
sasa ukiwa dar utaishije?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nomamishahara ya gavamenti ni midogo hivi?
sasa ukiwa dar utaishije?
Mentality yako inawaza uovu na ujinga tu.Ukiwa na mipango unaishi na kusonga mbele ili ujipatie zaidiMbombo jilipo ukilipwa lakimbili labda ukae shamba ulime mjini utaolewa aisee
Samahani tungependa kujua na virefu vyake tusofahamuThe great thinker,.a sharp shooter
TANZANIA RAILWAY COMMISSION(TRC)Samahani tungependa kujua na virefu vyake tusofahamu
Vya ngazi za mishahara eg TGS etc..TANZANIA RAILWAY COMMISSION(TRC)
Wakuu, NHC 4 ni Sawa na shilingi ngapi
7kWakuu, NHC 4 ni Sawa na shilingi ngapi?
Mbona apa sioni mshaara wa tpsw 1?? Na je Io ni shiingapi? Niliiona Io uamiajiWanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje...
==============
July 2014 UPDATE:
na PGSS 6 Ni ngapi?Wanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje...
==============
July 2014 UPDATE:
Mishahara ni midogo sana halafu unakuta wananchi wanawachukia watumishi,wangejua mishahata wanayopata ilibidi wawaonee huruma tu,ni bora hata mkulima wa mbogamboga ana uhakika wa maishaAisee kumbe ndio maana rushwa haitaisha. Najiuliza mpaka upande ufikie million si mtu ameshastaafu jamani
MTU mwenye stress anawakawakaFala wewe unayeamini katika kuajiriwa kwa laki nne kwa mwezi , kwa taarifa yako nimeajiri vilaza kama wewe na nawalipa mshahara mzuri sio hizo laki nne zako na bado unaishi hujafa, hii inaomnyesha ni jinsi gani uwezo wako wa kufikiri ni mdogo, simu yeyewe unatumia huawei , nilishasema hapa uwezo wenu ni mdogo kwakua hamna elimu ya kujua ukweli mtu mwenye njaa hawezi kufikiri properly bel;ieve me
Lkn watumish weng wez sana wanaibia sana SerikaliMishahara ni midogo sana halafu unakuta wananchi wanawachukia watumishi,wangejua mishahata wanayopata ilibidi wawaonee huruma tu,ni bora hata mkulima wa mbogamboga ana uhakika wa maisha
Kama mishahara ni midogo na hawaridhiki nayo waache kazi wote. Waliyopo mtaani nao wakapate hicho kidogoLkn watumish weng wez sana wanaibia sana Serikali
Utaachaje kuiibia kama unacholipwa hakikidhi mahitaji?Lkn watumish weng wez sana wanaibia sana Serikali
Hata wanaolipwa nying ndo wez wakubwaUtaachaje kuiibia kama unacholipwa hakikidhi mahitaji?
SureKama mishahara ni midogo na hawaridhiki nayo waache kazi wote. Waliyopo mtaani nao wakapate hicho kidogo
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app