Munamuge
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 810
- 795
Medical lab nilimaanisha mwenye degree
Ok, ni TGHS C (720 K)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Medical lab nilimaanisha mwenye degree
TPDCS 13 ni sh ngapi wakuu
Medical lab nilimaanisha mwenye degree
Mishahari yenye ngazi maalumu za Taasisi husika kama hii ya TPDC inafahamika zaidi na waliomo ndani ya taasisi husika, kama kuna mtumishi wa taasisi hiyo humu ndani atakusaidia
Chaka. Huo ushafutwahivi hii mishahara ni ya kweli? Nisije nikamuingiza mtu chaka hapa[emoji1]
Mi mwenyewe nimeshangaa🤣mishahara ya gavamenti ni midogo hivi?
sasa ukiwa dar utaishije?
We kizibo kweli.....unachangia post ya mwaka 2010 kwa mazingira ya 2016!!
Ni graduate gan analipwa hyo pesa?? m n graduate mbon silipwi hizo pesa??? acheni kupotosha umma,hata certificate hawalipwi hizo pesa!!!!khaaaaaaaaa laki mbili!!!!???????
Unakuta mtu ana tgs d alafu ana gari,kajenga na watoto wako inter school.!!!!!!!!!!!!!
Katazame jedwali post ya kwanza mbona kila kitu kipo hapo? Acha uvivu wa kusoma!Kuna kipindi TBC walitangaza ajira na mshahara ilikuwa PGSS 6.1
Tafadhali hy scale n shilingi ngapi
Sio uvivu wa kusoma mkuu, nmekuta PSS G ndo hy hy PGSS au n tofauti.?Katazame jedwali post ya kwanza mbona kila kitu kipo hapo? Acha uvivu wa kusoma!