maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,311
- 15,640
Sidhani kama ni kusahau..nadhani ni kiburi tu na jeuriWanasema anasahau haraka sana kupita wanyama wote huenda aliwasahau kuwa Hawa wote ni waganga njaa tu hakuna msaada wowote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama ni kusahau..nadhani ni kiburi tu na jeuriWanasema anasahau haraka sana kupita wanyama wote huenda aliwasahau kuwa Hawa wote ni waganga njaa tu hakuna msaada wowote
Hakika maana hajawahi ogopa kitu hata amuone Simba. Ipo clip alikuwa kazingirwa na kundi la mbwa mwitu aliangalia wapo wengi akapita nao wote akakimbia halafu akasimama na kuwageukia Tena akaanza kurudi Kwa kutembea hata ajari nikajiuliza huyu alikuwa anakimbia kujiokoa ama kupasha tu😹😹Sidhani kama ni kusahau..nadhani ni kiburi tu na jeuri
Sio kwamba ni mwana harakati jeshi la mtu mmoja?Huyu ndio mfano halisi wa Zero brain.
Warthog fala kabisa, alikua na nafasi ya kukimbia pindi simba na chui wanapigana. Sasa sijui ni ujinga ama hasira akaamua kurudi kumtandika chui vichwa sasa sijui alikua analipiza au bangi tu.Waw! Sio kwamba warthog naye alikuwa anajilipizia kisasi kwa chui? Simba naye hovyo sana. Simba alitakiwa amwache warthog kwani alimtia shime kwenye pambano. Ila ndo hivo tena. Simba angelimwacha warthog, isingekuwa vyema kwani huenda siku hiyo simba angelishinda njaa na ukizingatia Riziki haiji mara mbili. Simba alifanya maamuzi sahihi japo magumu.
Yaah nimeiona pia hiyo clip. Jamaa anasifa sana hasa akiona anaogopwa ndio sifa zinazidi. Nilishangaa kundi la mbwa mwitu imekuaje wanamuogopa wakati hata simba wanapita nae. Kweli huenda warthog ndio mfalme mwenyewe hahahaaHakika maana hajawahi ogopa kitu hata amuone Simba. Ipo clip alikuwa kazingirwa na kundi la mbwa mwitu aliangalia wapo wengi akapita nao wote akakimbia halafu akasimama na kuwageukia Tena akaanza kurudi Kwa kutembea hata ajari nikajiuliza huyu alikuwa anakimbia kujiokoa ama kupasha tu😹😹
Nyumbu ndio zero brain, hata akiona wenzake kumi wamekufa maji naye ataingia na kufa.Huyu ndio mfano halisi wa Zero brain.
Uko sahihi kabisa.Ukweli ni kuwa ngiri (Warthog) sio nguruwe pori. Na Boar (nguruwe pori) sio ngiri. Boar ukigoogle picha zake, utaona ni nguruwe kabisa
Nazidi kuelewa zaidi na zaidi kuhusu huyu jamaa!! Ahsanteen sanai aseeUko sahihi kabisa.
Warthog na Boar ni tofauti lakini ni jamii ile ile ya nguruwe tu.
Classification yao ya kibayolojia ni ile ile, isipokuwa wanatofautiana kidogo sana baadhi ya features.
Lakini yote ni MANGURUWE PORI tu.
Ngiri wapo Afrika zaidi, wakati hao BOAR nawaona zaidi Asia.
Tofauti yao ni kama LEOPARD na JAGUAR. Ni jamii ile ile tu.
Wale Sasa ndo kabisa Yani mamba kamkamata mwenzao wanaingia palepaleNyumbu ndio zero brain, hata akiona wenzake kumi wamekufa maji naye ataingia na kufa.
War thog ni sawa na Kim jong un mzee wa kidukuSidhani kama ni kusahau..nadhani ni kiburi tu na jeuri
Nadhani comment no4 jamaa kaweka video za kutosha pale ukiangalia hiyo clip utaiona🤣🤣Kuna siku nilicheka hadi machozi. Chui alimfukuza huyu ngiri mwisho ngiri akaona huu ujinga akageuka akaanza kumrudia chui, chui alipishana na ngiri kama sio yeye aliekuwa anamfukuza.
Kuna vituko vingine anafanyaga akiona kaboreka anatafuta walipo pundamilia au nyumbu halafu anaanza kuwarushia mchanga. Siku akaona haitoshi akaenda mtoni kabisa kakuta mamba kalala zake akaanza kumrushia mchanga afu akatimua mbioHuyu mdudu niahamuangalia sana video zake. Yaani mnavyotoa comments hapa nabaki kucheka tu. Anaweza akakurupuka tu anakimbia halafu anasahau alikuwa anakimbia nini anaanza kutembea kawaida.
Anaitwa nani nimsake?Sawa mi naona sana TikTok. Ahsantee sana
Hapana mkuuMkuu sikujua kama anaitwa hivyo. Nilijua umemuignore mtoa mada
Anaitwa king of savannah ndo nimeona kwakwe.Anaitwa nani nimsake?
Maisha hayo nayapeda sana. 😂😂Kipindi flani nilikuwa Saadani National Park. Watu wa kule nyumba zao wakii gia wanakutana na ngiri. Kule ngiri na binadamu kitu kimoja,utadhani wanawafuga wao . Muda wote wapo mtaani.