Atakachokifanya ataongeza kodi badala ya kuwa 2m itakuwa 2.25 ili hiyo itakayoongezeka ndo uipeleke TRA yeye atabaki na fedha yake.Mpangaji unatakiwa kuzuia 10% ya kodi unayolipa. Mfano kodi yako kwa mwaka ni 2m unapeleka tra 200,000/- mwneye nyumba unampa 1.8m na ushahidi kuwa umelipa 10% tra.
Anakuongezea kodi tu. Mwisho wa siku maumivu ya mwisho ni mpangaji.Nyumba za kupanga sio biashara rasmi sana ndio maana wengi hatujui...
Lakini kwa watu wenye fremu, apartments zenye leseni ya biashara huwa wanafanya withholding tax kwa niaba ya wapangaji...
Hivyo wewe mpangaji utaona umetoa kodi yako kama kawaida, lakini mwenye nyumba anarejesha 10% ya serikali huko 'tiaraei'...
Hiyo Kodi mwisho wa mwisho siku atakaebebeshwa ni Mpangaji.Mpangaji unatakiwa kuzuia 10% ya kodi unayolipa. Mfano kodi yako kwa mwaka ni 2m unapeleka tra 200,000/- mwneye nyumba unampa 1.8m na ushahidi kuwa umelipa 10% tra.
Mtalalamika tu, na hakuna mtakacho wafanya.
Tunakumbushana tu, Hakuna mtu muoga kama Mtanzania, hata mimi ni muoga sana. [emoji1787][emoji1787]
Zinaenda hukuHapo mwenye nyumba lazima apandishe kodi ili kuziba pengo matokeo yake ni maumimivu kwa sisi tusio na nyumba. Ila kwa jicho lenye kuona mbaaali, gharama za maisha zinaenda kupaa tena maana mpangaji nae atapandisha bei ya bidhaa au huduma atoaye kwa wengine ili kufidia ongezeko la pango.
Sauti ya akina nape iliyonaswa na Magufuli ndio inafaa kutumika awamu hii kuwa nchi inatawaliwa na ....
Kwenye biblia wameandika mwenye nacho huongezewaHivi itakuaje huko tuendako?
Anakuongezea kodi tu. Mwisho wa siku maumivu ya mwisho ni mpangaji.
Hiyo 100 alipanga mwenye nyumba mwenyewe kwahiyo ukienda kulipa 10 TRA jiandae kulipa 100 ambayo jumla itakuwa 110Kwa uelewa wangu ni kuwa kodi hiyo anayelipa ni mpangishaji
Kama unalipa pango 100,000 maana yake sh 10,000 inabidi iende TRA na sh 90000 atachukua mwenye nyumba
Waandishi wa habari uandishi wao ni wa kuokoteza sana, maana hii kodi ipo tu sema utekelezaji ndiyo changamoto
Najua hlo kwa upande wa biashara na kinachofanya huko iwe na wepesi ni kwasababu mfanyabiashara anahitaj idhini ya TRA na hatua hyo ya kulpa hyo 10% ni kigezo kimoja wapo
Ila sasa kwa hizi nyumba za makazi naonelea ni vizur mwenye nyumba ndio angehusika.
Sawa mwiguluKwenye biblia wameandika mwenye nacho huongezewa