Ngoma Inogile: Wapangaji sasa kulipa asilimia 10 ya kodi TRA

Mpangaji unatakiwa kuzuia 10% ya kodi unayolipa. Mfano kodi yako kwa mwaka ni 2m unapeleka tra 200,000/- mwneye nyumba unampa 1.8m na ushahidi kuwa umelipa 10% tra.
Atakachokifanya ataongeza kodi badala ya kuwa 2m itakuwa 2.25 ili hiyo itakayoongezeka ndo uipeleke TRA yeye atabaki na fedha yake.
 
Anakuongezea kodi tu. Mwisho wa siku maumivu ya mwisho ni mpangaji.
 
Hizi hela tunazokamuliwa hivi zinaenda wapi??? Double Tozo+double kodi + mikopo+ kupanda bei ya vitu hovyo hatar sana,,,,yani ikifika 2025 hakuna kilichofanyika sijui kama kuna raia ataelewa!
 
Mwenye nyumba atakuambia kaishi huko TRA pale hela yake isipotimia
 
Mpangaji unatakiwa kuzuia 10% ya kodi unayolipa. Mfano kodi yako kwa mwaka ni 2m unapeleka tra 200,000/- mwneye nyumba unampa 1.8m na ushahidi kuwa umelipa 10% tra.
Hiyo Kodi mwisho wa mwisho siku atakaebebeshwa ni Mpangaji.
 
Hii ni nzuri, mradi tu wajitahidi kodi hii ilipwe na wenye nyumba tena wangejitahidi kuweka system ambayo haikwepeki kabisa.
 
Naona mahomeless wakiongezeka dar,,,Maisha yalivyokua magumu hivi hakuna mwenye nyumba atakayekubali hela yake kukatwa HAKUNA!!!Hapo ataona bora aachiwe nyumba yake au kodi iongezeke!!!
 
Zinaenda huku
 
Anakuongezea kodi tu. Mwisho wa siku maumivu ya mwisho ni mpangaji.

Wenye fremu zinazokaguliwa mahesabu na TRA wanafanya withholding na bado haijaathiri bei za pango za fremu...
 
Hiyo 100 alipanga mwenye nyumba mwenyewe kwahiyo ukienda kulipa 10 TRA jiandae kulipa 100 ambayo jumla itakuwa 110
 

Kwa lugha nyingine, muda si mrefu TRA au serikali inaweza ikairasimisha biashara ya nyumba za kupanga, ikalazimu mtu awe na kibali na leseni ya biashara 😊
 
Msisahau kuwa hii kodi wameambiwa walipe wakaazi wa Bariadi pekee, so kama wewe huishi Bariadi hiyo kodi haikuhusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…