Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
ππ πππ€£πMotivation speaker anakuambia ngombe anayekupa hzo lita unatumia only 2m kumtunza kwa mwaka, maajabu haya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππ πππ€£πMotivation speaker anakuambia ngombe anayekupa hzo lita unatumia only 2m kumtunza kwa mwaka, maajabu haya.
HATA ZAID MKUUanakula nusu pick up peke yake kwa mwezi anaweza kuwa anakula almost laki 4 huyu
Inabidi nianze kuzungukia maeneo ya msoga nipate hata ndama wa hyo breed kwa kuanzia aisee.Mkuu Nadhani Alinunua Binafsi Anafuga Msoga Huko
Tena Kuna Wengine Walitoka Namibia Kwa Malori MaalumInabidi nianze kuzungukia maeneo ya msoga nipate hata ndama wa hyo breed kwa kuanzia aisee.
Aliwaleta shambani kwake tuUzitowake si chini ya kilo 1,000 yaani tani moja.
Umenikumbusha Kikwete alikwenda Zimbabwe akashangaa kuona ng'ombe anauzito unaozidi tani moja, mpaka anaondoka madarakani hakuiwezesha nchi iwe na ngπ±mbe wa aina hiyo, hapo ndipo utaona ziara zao huwa kwa manufaa yao tu.
Ng'ombe hao mbona tunao, yeye alisema ni mfugaji labda alinunua kwa ajili ya shamba lakeUzitowake si chini ya kilo 1,000 yaani tani moja.
Umenikumbusha Kikwete alikwenda Zimbabwe akashangaa kuona ng'ombe anauzito unaozidi tani moja, mpaka anaondoka madarakani hakuiwezesha nchi iwe na ngπ±mbe wa aina hiyo, hapo ndipo utaona ziara zao huwa kwa manufaa yao tu.
Anaongea kama vile ni fremu ya duka unachukua kodi tuu.Ila nyie motivation speakers huwa mnaongea vitu kiurahisi rahisi sana
Nimeandika kutokana na wakati ule akiwa rais, huenda wakati ule hatukuwa nao.Ng'ombe hao mbona tunao, yeye alisema ni mfugaji labda alinunua kwa ajili ya shamba lake
Na hyo 2000 unakuta yameshachakachuliwaDuuh,lita 1500??
Dsm tunauziwa 2000
Huyo ng'ombe anakamuliwa mfululizo mwaka mzima bila kuachisha ndama wake na kipindi cha mimba?Kwahiyo lita 60kwa siku x 1,500=90,000 kwa siku. Kwa mwezi 90,000x30=2,700,000. Kwa mwaka 2,700,000x12=32,400,000
Hiyo ya kwako ni Dar! Mikoani maziwa 1000 hadi 1500Duuh,lita 1500??
Dsm tunauziwa 2000
uongozi mtamu sana mkuu, tausi wanasema eti haruhusiwe kumilikiwa na watu wa kawaida,Tena Kuna Wengine Walitoka Namibia Kwa Malori Maalum
Tanzania Uongozi Mtamu
uchukue Na Tausi