Hesabu za kilimo cha tikiti hizi.Sasa kama anakupa Lita 20 Tu x 2000= 40,000 Kwa siku x 30= 1,200,000 x mwaka= 14,000,000 toa 2,000,000 za kumtunza unarejesha pesa yote ...hapo ndama na mbolea sijaweka.Kuanzia mwaka wa 2 ni faida tu
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app