Ngorongoro - Loliondo: Askari Polisi amekufa baada ya kupigwa Mshale mmoja tu, RC Mongella amlilia

Ngorongoro - Loliondo: Askari Polisi amekufa baada ya kupigwa Mshale mmoja tu, RC Mongella amlilia

Tukiangalia kwa upana yanayoendelea je hayawezi kuathiri Tanzania Royal Tour ?
 
Tukiangalia kwa upana yanayoendelea je hayawezi kuathiri Tanzania Royal Tour ?

Redemption of Africa ,The Royal Tour will help sell Tanzania as a global success

Source : Make Afrika Great
 
Serikali ni taasisi ndani ya jamii hasa dola vyenye mamlaka ya kutawala na kufanya maazimio kwa wote katika eneo fulani
The decisions so taken by the govt ought to be for the governed.

It's absurd that our government has often looked/appeared to be on the side of foreign investors.

Miaka ya nyuma tuliambiwa kuna wananchi walifukiwa kwenye mashimo ya machimbo ya dhahabu kulazimisha wampishe mwekezaji mgeni. Uliwahi kuisikia habari hii?!
 
The decisions so taken by the govt ought to be for the governed.

It's absurd that our government has often looked/appeared to be on the side of foreign investors.

Miaka ya nyuma tuliambiwa kuna wananchi walifukiwa kwenye mashimo ya machimbo ya dhahabu kulazimisha wampishe mwekezaji mgeni. Uliwahi kuisikia habari hii?!
miaka ya nyuma ndio nn? leta hyo habari hapa na ushahidi wa tukio
 
Majliw sijui kwanini ni mtu mwongo mwongo, dahhh ingekuwa ni nchi za wenzetu waziri mkuu mwongo asingeweza kudumu ofsn
 
Askari Polisi mmoja ameuawa kwa kupigwa mshale wilayani Ngorongoro mkoani Arusha wakati wa zoezi la uwekaji mpaka katika eneo la pori tengefu kwenye Tarafa ya Loliondo.

Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella akisema kwamba kifo hicho kilitokea Juni 10 alasiri, na kusisitiza kwamba kama serikali wanatambua uzalendo wa askari huyo.

Ametumia nafasi hiyo kuwataka wananchi wa Tarafa ya Loliondo wilaya ya Ngorongoro kuwa watulivu na kusikiliza maelekezo ya serikali katika zoezi la uwekaji mipaka.

Wananchi wanatakiwa na Serikali kuhama katika eneo la Ngorongoro na kwenda kuishi Handeni, Tanga ambapo Serikali itawasaidia katika kuhama. Nia ikiwa ni kuhakikisha uhifadhi endelevu katika Hifadhi ya Ngorongoro.

Baadhi ya Wananchi wa Ngorongoro hawataki kuhama katika ardhi yao ya asili kwani Wanaishi hapo kisheria na Wanatambulika.
View attachment 2257198
Hicho kichwa cha habari eti kafa kwa kupigwa mshale mmoja tu. Mjomba ulitaka apigwe mishale mingapi ndio afe
 
Rais anapewa daily briefing ya nchi nzima, ujinga kama huu kaandike kwenye forum za mazezeta wenzako wa Lumumba street.
Kama ni hivyo then she is worse

Maana ukiacha kila taarifa alizonazo bado anafanya uamuzi wa kijinga.
 
Askari Polisi mmoja ameuawa kwa kupigwa mshale wilayani Ngorongoro mkoani Arusha wakati wa zoezi la uwekaji mpaka katika eneo la pori tengefu kwenye Tarafa ya Loliondo.

Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella akisema kwamba kifo hicho kilitokea Juni 10 alasiri, na kusisitiza kwamba kama serikali wanatambua uzalendo wa askari huyo.

Ametumia nafasi hiyo kuwataka wananchi wa Tarafa ya Loliondo wilaya ya Ngorongoro kuwa watulivu na kusikiliza maelekezo ya serikali katika zoezi la uwekaji mipaka.

Wananchi wanatakiwa na Serikali kuhama katika eneo la Ngorongoro na kwenda kuishi Handeni, Tanga ambapo Serikali itawasaidia katika kuhama. Nia ikiwa ni kuhakikisha uhifadhi endelevu katika Hifadhi ya Ngorongoro.

Baadhi ya Wananchi wa Ngorongoro hawataki kuhama katika ardhi yao ya asili kwani Wanaishi hapo kisheria na Wanatambulika.
View attachment 2257198

RC Mongella ni mtoto wa Mama Getrude Mongela?​

Baba yake John Mongela​

(RC Mongella)wa arusha ,​

anaitwa nani?​

Mume wa Getrude mongela anaitwa nani?​

mods usifute ujumbe huu tafadhali.​

 

RC Mongella ni mtoto wa Mama Getrude Mongela?​

Baba yake John Mongela​

(RC Mongella)wa arusha ,​

anaitwa nani?​

Mume wa Getrude mongela anaitwa nani?​

mods usifute ujumbe huu tafadhali.​

Kabla ya kuolewa aliitwa Gertrude Makanza. Mumewe ndiye anaitwa Mongela. Hayo maswali mengine kamuulize Mkuu wa Mkoa
 
Back
Top Bottom