Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeanza kuwakana wenzako!Recklessness.
Ndio kwanza hata Rais wetu hana habari ya kinachoendelea.
Anajiandaa kwenda zake huko Oman.
Mabalaa gani wakati Ngorongoro ni shwari bwashee?Mungu atuepushe na mabalaa
Chokoza mwingine lakini sio msonjo. Hajui kurudi nyumaWasonjo wanatuangalia tu.....
Wamasai kutoka ng'ambo ya piliMabalaa gani wakati Ngorongoro ni shwari bwashee?
Kwanini marais waislamu huwa wanatutesa na Waarabu wao?.Haya hapa yanapewa na kuzawadiwa mbuga zetu mali asili za wa masai wakristo baada ya kujenga msikiti.
Yule ni mwongoJuni 10 si ndio jana ambapo tuliambiwa na Yule Bwana kwamba hali ni tulivu?
ccm damu zenu zimejaa laana ndio maana Waziri mkuu bila haya anaiambia uwongo duniaWamasai kutoka ng'ambo ya pili
Wa juu na wa chini ni kama nyumba moja ila imetazamwa kutokea angle tofauti tofautiKikwete Ngorongoro
Samia Ngorongoro..Loliondo..
Hakuna mwanasiasakweli duniani koteccm damu zenu zimejaa laana ndio maana Waziri mkuu bila haya anaiambia uwongo dunia
Uko njiani nini,unaenda huko kujiungaWamasai komaeni tupo nyuma yenu!
Si walisema wamewajengea nyumbaMura tatah! Maneno imekuwa mbaya.
Sasa huko mnako wahamishia gharama ya kuwabebea mifugo yao iko Kwa nani?
Je ujenzi wa makazi yao ukoje!
Au ndio wanaenda kutupwa hapo na hakuna pa kulishia mifugo yao. Matokeo yake ni vita ingine na waliopo jirani!
Serikali ifanye kwaanza taratibu za makazi halali kabla ya kuwahamisha. Kinyume cha hapo ni kuwaua wananchi wako.
Hakuna kitu ngumu kama kuhama ulikozoea miaka kwenda kuanza makazi.
Serikali iache ubabe.
Ukikamatwa kwa upuuzi wako uanze lia waonewaHakuna bahati mbaya, hiyo ndio dawa na tutawaua polisi wengi
Hata kama tunakwazana Watanzania tusifike huko mkuu kuombeana vifo,Natamani wawauwe askari wote mpaka na mkuu wa mkoa
Sawa mamaUkikamatwa kwa upuuzi wako uanze lia waonewa
Rais anapewa daily briefing ya nchi nzima, ujinga kama huu kaandike kwenye forum za mazezeta wenzako wa Lumumba street.Recklessness.
Ndio kwanza hata Rais wetu hana habari ya kinachoendelea.
Anajiandaa kwenda zake huko Oman.
Hapana aisee watuache kidogo, Mtu muongo vile kwa vinavyoonekana, visivyoonekana je?Kuna mataga wanasema huyu ndiye atakayefuata ofisi namba 1!