Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyemwambia kwenda kudanganya msikitini wakati mwendazake alikuwa ameshakufa kitambo leo anaenda kudanganya Bungeni wakati uhalisia unaendelea.Waziri mkuu anahabarishwa tu kinachoendelea. Hawezi danganya tu wakati anajua tuko kwenye dunia ya kidigitali, ukweli haufichiki sasa, sio mirahisi kihivyo. .
Siyo tuwatandike nyinyi maccm mnaopenda kula hela za Waarab, Wachina na Mabeberu wenu wa Ulaya na Marekani kwa masharti ya kuuza maliasili za nchi yetu?Hawa masai wamedekezwa sana. Ni wakutandika bakora tu.
Ni wapi umeona serikali inasema itawalipa fidia?Ni nini kinawafanya masai wakaidi kutoka ngorongoro? hawajaliowa fidia au ni kiburi?
Kwani kati ya Wamasai (wenyeji wa hilo eneo), wanyama na Waarab! Nani wenye haki ya kuishi hilo eneo?Ni nini kinawafanya masai wakaidi kutoka ngorongoro? hawajaliowa fidia au ni kiburi?
Namuomba Yule Bettina aje hapa atwambie vizuriSi tumeambiwa huko ni salama tupu na Mhe Waziri mkuu? imekuwaje tena
Yapni mshale au kitu chenye ncha kali
Masai hatibiwi hospital[emoji23][emoji23]MONGELLA: ASKARI AMEUAWA KWA MSHALE LOLIONDO
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amethibitisha kutokea mapigano Wilayani Ngorongoro katika eneo la Loliondo ambapo askari polisi mmoja aliuawa jana Juni 10, 2022
“Alasiri ya jana (Juni 10) askari mmoja aliuawa kwa kupigwa mshale na kundi la watu lililotokea likitaka kuathiri zoezi la kuweka alama,” - Mongella
Aidha, RC Mongela amesema hakuna kituo chochote cha Afya ama hospitali yenye majeruhi na ameomba kama wapo wajitokeze.
Kama ni mshale hao sio wamasai, lazima watakuwa ni Wasonjo. Na hii inaonyesha kwamba Wasonjo na Wamasai wanakula sahani moja, meza moja, kiko kimoja kwenue hili sakataMONGELLA: ASKARI AMEUAWA KWA MSHALE LOLIONDO
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amethibitisha kutokea mapigano Wilayani Ngorongoro katika eneo la Loliondo ambapo askari polisi mmoja aliuawa jana Juni 10, 2022
“Alasiri ya jana (Juni 10) askari mmoja aliuawa kwa kupigwa mshale na kundi la watu lililotokea likitaka kuathiri zoezi la kuweka alama,” - Mongella
Aidha, RC Mongela amesema hakuna kituo chochote cha Afya ama hospitali yenye majeruhi na ameomba kama wapo wajitokeze.
Haya mambo hayaWamaasai walijaribu kumzuia wakati askari wanafanya kazi yao
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Usicheze na mshale weweMmasai Putin kasawazisha katika dimba la Loliondo
Hawaeleweki yani kila kiongozi anapanua mdomo. Unaweza Dhani haya mambo yanafanywa na chokola aliyevuta ngada kumbe ni kiongozi mkubwa ila akili yake haitaki unafiki inajionyesha waziwaziHawa jamaa wanaleta siasa kwenye mambo yenye madhara makubwa kwa Taifa! Mara hao Wamasai wanatoka nchi jirani! Mara hakuna aliyejeruhuwa! Mara picha ni za miaka 3 iliyopita!
Yaani siasa na propaganda kila sehemu!