Ngorongoro - Loliondo: Askari Polisi amekufa baada ya kupigwa Mshale mmoja tu, RC Mongella amlilia

Ngorongoro - Loliondo: Askari Polisi amekufa baada ya kupigwa Mshale mmoja tu, RC Mongella amlilia

Amekufaje wakati Kassim alisema bungeni hakuna mapigano?
Hii taarifa ni ya kichonganishi na ya kichochezi. Jana mzee baba mr.Prime Minister majaliwa alisema hali ni shwari na mama tulia akasema mijeledi iende kwa wazushi sasa huyu askari amekufaje au alikamatwa na simba wkt analinda simba wasiingie kwenye makazi ya watu
 
Aridhi yote Tanzania ni mali ya serikali inauwezo wa kuipangia matumizi yoyote kwa mda wowote, labda mbadili katiba iondowe hicho kipengere
WAPI pameandikwa ardhi ni mali ya serikali we mjomba ?
 
Hii taarifa ni ya kichonganishi na ya kichochezi. Jana mzee baba mr.Prime Minister majaliwa alisema hali ni shwari na mama tulia akasema mijeledi iende kwa wazushi sasa huyu askari amekufaje au alikamatwa na simba wkt analinda simba wasiingie kwenye makazi ya watu
PM na Tulia hawa wote ni Masalia ya JPM waongo na waficha ukweli
 
Kuna watu wanamchafua majaaliwa mchana kweupe akose sifa za kugombea uraisi 2025, nishastuka. .
 
Askari Polisi mmoja ameuawa kwa kupigwa mshale wilayani Ngorongoro mkoani Arusha wakati wa zoezi la uwekaji mpaka katika eneo la pori tengefu kwenye Tarafa ya Loliondo.

Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella akisema kwamba kifo hicho kilitokea Juni 10 alasiri, na kusisitiza kwamba kama serikali wanatambua uzalendo wa askari huyo.

Ametumia nafasi hiyo kuwataka wananchi wa Tarafa ya Loliondo wilaya ya Ngorongoro kuwa watulivu na kusikiliza maelekezo ya serikali katika zoezi la uwekaji mipaka.

Wananchi wanatakiwa na Serikali kuhama katika eneo la Ngorongoro na kwenda kuishi Handeni, Tanga ambapo Serikali itawasaidia katika kuhama. Nia ikiwa ni kuhakikisha uhifadhi endelevu katika Hifadhi ya Ngorongoro.

Baadhi ya Wananchi wa Ngorongoro hawataki kuhama katika ardhi yao ya asili kwani Wanaishi hapo kisheria na Wanatambulika.
View attachment 2257198
Huyu Mongela hajui kuwa issue ya Ngorongoro ndo inaondoka na Ukuu wa Mkoa wake Serikali itakapojikosha!!!
 
Hii taarifa ni ya kichonganishi na ya kichochezi. Jana mzee baba mr.Prime Minister majaliwa alisema hali ni shwari na mama tulia akasema mijeledi iende kwa wazushi sasa huyu askari amekufaje au alikamatwa na simba wkt analinda simba wasiingie kwenye makazi ya watu
Wamaasai walijaribu kumzuia wakati askari wanafanya kazi yao
 
TUNDU LISSU ATOA HISTORIA YA MAENEO TENGEFU NA HIFADHI ZA TAIFA LOLIONDO, BUNGE LATIKISIKA DODOMA


Tundu Lissu anaelezea historia ndefu na kunukuu andiko la Prof. Issa Shivji na Dr. W.B Kapinga juu ya Haki za wa Masai pamoja na wenyeji wa Maswa, Bunda n.k ambapo hidhafi za wanyama / maeneo tengefu yapo kupitia utafiti wao wa kina na andiko hilo kuchapishwa na kunukuliwa katika vyuo vikuu mbalimbali vya dunia kuhusu haki za wenyeji

https://pubs.iied.org › ...
Maasai Rights in Ngorongoro, Tanzania | Publications Library

by I Shivji · Cited by 86 — Issa Shivji · W B Kapinga ... This book is a pioneering examination of the rights of the Maasai inhabitants and other ...


Serikali juzi ilisema kule Kagera kuwa waTanzania wanazaana sana na ardhi inaendelea kuwa chache,
Mh. Rais akizungumza kuhusu idadi ya watu akuwa ziarani Kagera, Tanzania 10 Juni 2022


je ni kweli unaweza kuhamisha mamia ya watu toka sehemu moja ya Tanzania na mifugo yao ya kienyeji kwenda sehemu nyingine ya Tanzania bila madhara ya mapigano ya kugombania rasilimali ardhi ?

Nini kifanyike kwa muda mrefu ili kuweza kufanikisha serikali ifikie malengo yake bila kuleta athari za wananchi pamoja na watekelezaji kama askari kuumizwa au hata kupoteza maisha ?

Hiki kinachoendelea Ngorongoro, Loliondo, Geita, Kagera, Morogoro, Handeni, Mtwara, Lindi, Kigoma n.k kwa wananchi kuona hakuna ardhi ya kutosha serikali ichukue hatua gani ?

Kampeni za social re-engineering: yaani uzazi wa mpango, kilimo cha kisasa, ufugaji wa kisasa, uvuvi wa kisasa, mfumo wa maisha za jamii zote za Tanzania zinabidi kuanza sasa kwa serikali kuanzisha mpango mkakati na fedha ili kukabiliana na hali hii ya kugombania ardhi.

Kwa serikali kuwa na mpango wa muda mrefu wa social re- engineering yaani kiibadilisha jamii yote ya kiTanzania kupitia mambo hayo hapo juu itafanikiwa kwa kiasi kikubwa kupunguza ukuaji mkubwa wa idadi ya watu, wananchi watabadilisha mifumo yao ya maisha, watazalisha kwa wingi mazao ya kilimo, mifugo, uvuvi na kushiriki katika ajira nyingi zaidi za viwandani pia katika sekta za huduma n.k

Hatua hizi zitaondoa makundi makubwa ya wamachinga, wafugaji wa kienyeji, wakulima wa kijima (jembe la mkono), wavuvi wanaovua samaki kizamani ktk kina kidogo cha maji , wazurulaji waliozagaa mijini (panya road) n.k ambao katika ujumla wao ni "bomu la kijamii" linalotaka kulipuka muda siyo mrefu na dalili zake tayari tunaziona.

Mfano wa umuhimu wa social reengineering Soma zaidi :

SOCIAL REENGINEERING: A CONCEPTUAL MODEL FOR
LIFELONG LEARNING CULTURE DEVELOPMENT IN COLOMBIA
Mónica L. Chaparro1, Clara I. Peña2, Adriana M. Cadena2
1Universidad Industrial de Santander, Facultad de Ingenierías Fisicomecánicas (COLOMBIA)
2Universidad Autónoma de Bucaramanga, Facultad de Educación (COLOMBIA)
Currently, the world population overcomes the seven thousand million people [1] and projections
indicate that 70% of this population will live in urban areas toward the year 2050 [2]. This faster growth
of population will generate important challenges for city's infrastructure administration. It will demand a
sustainable world and it will require therefore better governance (Smart Governance - civic
participation in the city government). The Electronic Government web sites have been one of the
means to encourage this participation; nevertheless, it has not much advanced in that sense at least in
Colombia, due to the absence of methodologies and public policies that address the process with the
required stringency using really inclusive and assisted environments based on experience. In a similar
way, there is not clarity about how the gathered information by the user's interaction through these
portals is transformed into knowledge or it is used to increase the innovative and competitive
proficiency of the government institutions.
In front of the negative effects which can unchain
 
Ni Africa tu ndipo ambapo unaweza kukuta migogoro ya ardhi,hili bara lina laana
 
Mara nyingi nikissikia idadi ya Askari wa marekani walio uliwa huko arabuni hata mmoja tuu waga napata hofu sana kuhusu idadi ya waarabu waliouliwa
 
Wamasai wanafikiri wanaweza shindana na serikali!???
 
Back
Top Bottom