TUNDU LISSU ATOA HISTORIA YA MAENEO TENGEFU NA HIFADHI ZA TAIFA LOLIONDO, BUNGE LATIKISIKA DODOMA
Tundu Lissu anaelezea historia ndefu na kunukuu andiko la Prof. Issa Shivji na Dr. W.B Kapinga juu ya Haki za wa Masai pamoja na wenyeji wa Maswa, Bunda n.k ambapo hidhafi za wanyama / maeneo tengefu yapo kupitia utafiti wao wa kina na andiko hilo kuchapishwa na kunukuliwa katika vyuo vikuu mbalimbali vya dunia kuhusu haki za wenyeji
https://pubs.iied.org › ...
Maasai Rights in Ngorongoro, Tanzania | Publications Library
by I Shivji · Cited by 86 — Issa Shivji · W B Kapinga ... This book is a pioneering examination of the rights of the Maasai inhabitants and other ...
Serikali juzi ilisema kule Kagera kuwa waTanzania wanazaana sana na ardhi inaendelea kuwa chache,
Mh. Rais akizungumza kuhusu idadi ya watu akuwa ziarani Kagera, Tanzania 10 Juni 2022
je ni kweli unaweza kuhamisha mamia ya watu toka sehemu moja ya Tanzania na mifugo yao ya kienyeji kwenda sehemu nyingine ya Tanzania bila madhara ya mapigano ya kugombania rasilimali ardhi ?
Nini kifanyike kwa muda mrefu ili kuweza kufanikisha serikali ifikie malengo yake bila kuleta athari za wananchi pamoja na watekelezaji kama askari kuumizwa au hata kupoteza maisha ?
Hiki kinachoendelea Ngorongoro, Loliondo, Geita, Kagera, Morogoro, Handeni, Mtwara, Lindi, Kigoma n.k kwa wananchi kuona hakuna ardhi ya kutosha serikali ichukue hatua gani ?
Kampeni za social re-engineering: yaani uzazi wa mpango, kilimo cha kisasa, ufugaji wa kisasa, uvuvi wa kisasa, mfumo wa maisha za jamii zote za Tanzania zinabidi kuanza sasa kwa serikali kuanzisha mpango mkakati na fedha ili kukabiliana na hali hii ya kugombania ardhi.
Kwa serikali kuwa na mpango wa muda mrefu wa social re- engineering yaani kiibadilisha jamii yote ya kiTanzania kupitia mambo hayo hapo juu itafanikiwa kwa kiasi kikubwa kupunguza ukuaji mkubwa wa idadi ya watu, wananchi watabadilisha mifumo yao ya maisha, watazalisha kwa wingi mazao ya kilimo, mifugo, uvuvi na kushiriki katika ajira nyingi zaidi za viwandani pia katika sekta za huduma n.k
Hatua hizi zitaondoa makundi makubwa ya wamachinga, wafugaji wa kienyeji, wakulima wa kijima (jembe la mkono), wavuvi wanaovua samaki kizamani ktk kina kidogo cha maji , wazurulaji waliozagaa mijini (panya road) n.k ambao katika ujumla wao ni "bomu la kijamii" linalotaka kulipuka muda siyo mrefu na dalili zake tayari tunaziona.
Mfano wa umuhimu wa social reengineering Soma zaidi :
SOCIAL REENGINEERING: A CONCEPTUAL MODEL FOR
LIFELONG LEARNING CULTURE DEVELOPMENT IN COLOMBIA
Mónica L. Chaparro1, Clara I. Peña2, Adriana M. Cadena2
1Universidad Industrial de Santander, Facultad de Ingenierías Fisicomecánicas (COLOMBIA)
2Universidad Autónoma de Bucaramanga, Facultad de Educación (COLOMBIA)
Currently, the world population overcomes the seven thousand million people [1] and projections
indicate that 70% of this population will live in urban areas toward the year 2050 [2]. This faster growth
of population will generate important challenges for city's infrastructure administration. It will demand a
sustainable world and it will require therefore better governance (Smart Governance - civic
participation in the city government). The Electronic Government web sites have been one of the
means to encourage this participation; nevertheless, it has not much advanced in that sense at least in
Colombia, due to the absence of methodologies and public policies that address the process with the
required stringency using really inclusive and assisted environments based on experience. In a similar
way, there is not clarity about how the gathered information by the user's interaction through these
portals is transformed into knowledge or it is used to increase the innovative and competitive
proficiency of the government institutions.
In front of the negative effects which can unchain