Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 2257210
Mkuu wa Mkoa wa Arusha JOHN MONGELLA akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu kuuawa kwa Askari wa Jeshi la Polisi katika eneo la Loliondo jana Juni 10, 2022.
Kitu chenye ncha kali.Sijafungua hiyo vedeo maana mb's hazitoshi.
Chanzo cha kifo cha huyo afende ni nini tena?.
Pole kwa familia yake.
Juni 10 si ndio jana ambapo tuliambiwa na Yule Bwana kwamba hali ni tulivu?
Comrade vipi tena, hawa wapinzani walituchelewesha sana.Recklessness.
Ndio kwanza hata Rais wetu hana habari ya kinachoendelea.
Anajiandaa kwenda zake huko Oman.
Wapewe fidia wahame!
Hiyo handeni ni kubwa balaa...I love the place
Amepigwa Mshale wa Matako na Wamasai wenye hasira kali mkuuSijafungua hiyo vedeo maana mb's hazitoshi.
Chanzo cha kifo cha huyo afende ni nini tena?.
Pole kwa familia yake.
Yule alisemaga Maghufuli anabarizi ikulu kumbe hola!!Juni 10 si ndio jana ambapo tuliambiwa na Yule Bwana kwamba hali ni tulivu?
Yule jamaa tangu atangazie umma kwamba mzee anachapa kazi wakati mzee amelala yaani imani yangu...Juni 10 si ndio jana ambapo tuliambiwa na Yule Bwana kwamba hali ni tulivu?
Wamejengewa nyumba huko,maji na huduma za afya,Kuna watu wapo nyuma yaoWapewe fidia wahame!
Hiyo handeni ni kubwa balaa...I love the place
Mwe
Mwekezaji yoyote kitu Cha kwanza nikua na mausiano mazuri na wananchi wanaomzunguka, unawekezaje katika sehem ya mgogoro?
Hapewe hifadhi ya bugiri period,
Kwanini Waziri mkuu anakuwa na siasa za kitoto kiasi hiki?Hakuna bahati mbaya, hiyo ndio dawa na tutawaua polisi wengi