Ngorongoro: Tundu Lissu atimiza malengo yake

Ngorongoro: Tundu Lissu atimiza malengo yake

Uzuri Dunia ilishajua yanayoendelea Ngorongoro na Loliondo, ukizingatia Dunia ni ile, wenye akili finyu wanaofikiri ipo Ulaya, Ukizingatia hao watu wa Ulaya walinyimwa kibali cha kuingia huko na mpaka kumpeleka Mzee Bwana Laigwanan Tundu Ole Lissu kutamka na kuitangazia Dunia hiyo hiyo inayodaiwa hapa, Hii ina maana , Tundu Lissu hajafikisha ujumbe huu huko Duniani, ina maana hajalikuza suala hili huko Duniani, ila Ina maana, tena kama kawaida ya CHADEMA kuteka nguvu na juhudi za Wananchi na wanaharakati wengine waliokuwa mstari wa mbele kuishutumu Serikali yetu, Unawezaje Kudai ametimiza lengo lake la kuitaarifu Dunia yanayojiri huko? Ni kipi cha ajabu alichokifanya huko?

Tundu Lissu anatumia mwanya huu kujiongezea Umaarufu, He is seeking cheap political score na hana lelote lile analilifanya kuwasaidia Wamasai zaidi ya Kuisaidia Serikali ya CCM kama walivyohaidiana kwenye Maridhiano, kwamba, watagawana madaraka baada ya 2025 kwa kutumia hizi mbwembwe na hadaa kututoa kwenye reli la Kupambana na Ufisadi wa Bandari yetu Salama.

Tundu Lissu, Kamwe hawezi kuwa katika ligi moja na Rais J.K Nyerere. Tuwichanganye mambo.

Tukirudi kwa Huyu bwana Erythrocyte, Likija suala lenye kugusa mioyo ya Watu wote na makabila yote ya Watanzania, huwezi kuanza kwa kuwatenga watu hao. Suala hili lahitaji Umoja wa Watanzania, na sio utenganishi wa Watanzania. Hakika kwa hayo machache uliyoanza nayo, ni dhahiri lengo lako ni kuona Tanzania iliyomegeka vipande vipande, kwa hilo, kwa lengo la kumpachika Tundu Lissu kama kibaraka wenu(wewe ni mamluki wa mabeberu) ushutumiwe na Ulaaniwe

Niseme tu, sawa, Tundu Lissu ametimiza lengo lake la kutaka aonewe huruma na Watanzania,hata hivyo hayo yataamuliwa kwenye kura ya 2025. Ambalo hajatimiza ni, Kuwasaidia Wamasai. Na wewe Erythrocyte, ulichotimiza ni kuwagawanya Watanzania tena kama juhudi zako siku zote za kufanya hivyo hapa JF..
 
Ukweli ni Kwamba, lengo la ziara ya Tundu Lissu na Chama chake, kupeleka Oparesheni 255 kwenye maeneo ya hifadhi ya Ngorongoro ilikuwa ni kuitangazia dunia unyama wanaofanyiwa Wamasai na Serikali ya Tanzania, wa kuwahamisha kwenye maeneo yao mithili ya nguruwe ama mifugo mingine.

Lissu alifahamu Jinsi viongozi walivyohongwa pesa na kukubali kuwaswaga Wamasai na kuwapeleka Handeni, na alijua kwamba aking'ang'ania ziara ile angekamatwa, na kukamatwa kwake kungeiamsha dunia kuelewa zaidi kuhusu yanayotendwa Ngorongoro , Mtego huu umefanikiwa kirahisi sana!

Ikumbukwe kwamba Tundu Lissu ni MTU WA 3 KWA UMAARUFU NCHINI TANZANIA tangu kuumbwa kwa Taifa hili , Wa kwanza ni Julius Nyerere , sasa unapokamata mtu kama huyu kwa sababu za kijinga kama hizi zilizotolewa na Polisi wa Tanzania , unakuwa moja kwa moja umeiamsha dunia na kuifanya ianze kuitupia Jicho Jambo hili kwa nguvu zaidi.

Lissu alijua kila kitu ila aliamua kujitoa Muhanga ili kuokoa Wamasai , Yaani ni kama Vile Yesu Kristo alivyosulubiwa Msalabani ili kuwaokoa wanadamu , Kimsingi Lissu amefanikiwa Malengo yake kwa 100% , Hii ndio tofauti kati ya Akili ndogo na Akili kubwa.

View attachment 2745271
Mtu wa pili kwa umaarufu nchi hii ni hayati Magufuli,acha roho ya kishenzi,unatoka moja unarukia tatu?
 
Kwa Ngorongoro mimi nakubaliana na wazo la Serikali.
Maana Watu walikuwa wanazidi kuongezeka kwa kuzaliana na mwisho kupoteza hifadhi muhimu sana kwa Taifa.
Ila hawakutumia njia nzuri ya kuwaondoa Wamasai.

Wangeongea nao kwa staha tu.
Kuhamisha watu sehemu moja na kuwapeleka sehemu Nyingine ni jambo la kawaida kabisa.

Nchi ina maeneo kibao yasio na umuhimu sana kwa Taifa kuna ubaya gani kuwahanishia watu huko.

Na nyumba wamejengewa.

Ngorongoro ni hifadhi ya Kimataifa ile lazima ilindwe.
Kambi ni Popote.
Wahamishwe wanaharibu hifadhi yetu pendwa hakuna kulea ujinga.
 
Ukweli ni Kwamba, lengo la ziara ya Tundu Lissu na Chama chake, kupeleka Oparesheni 255 kwenye maeneo ya hifadhi ya Ngorongoro ilikuwa ni kuitangazia dunia unyama wanaofanyiwa Wamasai na Serikali ya Tanzania, wa kuwahamisha kwenye maeneo yao mithili ya nguruwe ama mifugo mingine.

Lissu alifahamu Jinsi viongozi walivyohongwa pesa na kukubali kuwaswaga Wamasai na kuwapeleka Handeni, na alijua kwamba aking'ang'ania ziara ile angekamatwa, na kukamatwa kwake kungeiamsha dunia kuelewa zaidi kuhusu yanayotendwa Ngorongoro , Mtego huu umefanikiwa kirahisi sana!

Ikumbukwe kwamba Tundu Lissu ni MTU WA 3 KWA UMAARUFU NCHINI TANZANIA tangu kuumbwa kwa Taifa hili , Wa kwanza ni Julius Nyerere , sasa unapokamata mtu kama huyu kwa sababu za kijinga kama hizi zilizotolewa na Polisi wa Tanzania , unakuwa moja kwa moja umeiamsha dunia na kuifanya ianze kuitupia Jicho Jambo hili kwa nguvu zaidi.

Lissu alijua kila kitu ila aliamua kujitoa Muhanga ili kuokoa Wamasai , Yaani ni kama Vile Yesu Kristo alivyosulubiwa Msalabani ili kuwaokoa wanadamu , Kimsingi Lissu amefanikiwa Malengo yake kwa 100% , Hii ndio tofauti kati ya Akili ndogo na Akili kubwa.

View attachment 2745271
Polisi wameona hata wakitoa Penati au wakifungisha potelea mbali.
 
Akili za Lissu ni nyingi sana mwaka 2020 alichokifanya kwa walinzi wake hasa wale binafsi walichukia mda kidogo baadae akaja kuwaambia kwa nini alifanya vile watu walibaki hoi,

ila Lissu ana marafiki pale kanisani waliobobea kwenye kulinda mageti [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]🫡🫡🫡🫡🫡
Wewe ni mmojawapo wa hao waliokuwa walinzi binafsi.
Kwa nini hutupi kile kilichotokea!!??
 
Kumbe ndio maana anaitwa kibaraka wa mabeberu 😳

na kumbe ndio maana watoto wa mjini waandamizi wenzie wa kitaifa wanajitenga nae???😳

kumbe yeye ana Malengo ya kimataifa na kidunia zaidi na sio ya Taifa lake 😳?

nimeamini katikati siasa akili kumkichwa 😜

Asant ndugu kuthibitishia hayo machache yalokua yakichanganya waTz kwamba huyu anafanya haya kwaajili ya waTz au kuna waliomtuma kutoka ng'ambo.

So umeeleweka vizuri sana kwamba ,akikwama kitaifa first destination ni abroad in adv.Robert Amsterdam voice.
Na actually I hope last night alikesha kusend daily report kwaa picha na video nyingi sana ili kuongezewa financial aids zaidi lakini kuwaonyesha mabeberu kua anafanya kazi walizo mtuma kwa bidii licha ya kutengwa na wenzie na kudhalilika.🤔
emoj nyiiingi, dude yu gay or what ?
 
Kumbe ndio maana anaitwa kibaraka wa mabeberu [emoji15]

na kumbe ndio maana watoto wa mjini waandamizi wenzie wa kitaifa wanajitenga nae???[emoji15]

kumbe yeye ana Malengo ya kimataifa na kidunia zaidi na sio ya Taifa lake [emoji15]?

nimeamini katikati siasa akili kumkichwa [emoji12]

Asant ndugu kuthibitishia hayo machache yalokua yakichanganya waTz kwamba huyu anafanya haya kwaajili ya waTz au kuna waliomtuma kutoka ng'ambo.

So umeeleweka vizuri sana kwamba ,akikwama kitaifa first destination ni abroad in adv.Robert Amsterdam voice.
Na actually I hope last night alikesha kusend daily report kwaa picha na video nyingi sana ili kuongezewa financial aids zaidi lakini kuwaonyesha mabeberu kua anafanya kazi walizo mtuma kwa bidii licha ya kutengwa na wenzie na kudhalilika.[emoji848]
Walionunua bandari sio mabeberu
 
Back
Top Bottom