RedPill Prophet
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 1,408
- 3,564
Mwenyezi Mungu aliumba binadamu kwa mfano wake
Sawa ila Yesu sio Lisu.Mwenyezi Mungu aliumba binadamu kwa mfano wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyezi Mungu aliumba binadamu kwa mfano wake
Sawa ila Yesu sio Lisu.Mwenyezi Mungu aliumba binadamu kwa mfano wake
Kwani mimi nimesema hivyo ?Sawa ila Yesu sio Lisu.
Nimeona kama Yesu.Kwani mimi nimesema hivyo ?
You're very Smart!!!Ukweli ni Kwamba , lengo la ziara ya Tundu Lissu na Chama chake , kupeleka Oparesheni 255 kwenye maeneo ya hifadhi ya Ngorongoro ilikuwa ni kuitangazia dunia unyama wanaofanyiwa Wamasai na serikali ya Tanzania , wa kuwahamisha kwenye maeneo yao mithili ya nguruwe ama mifugo mingine .
Lissu alifahamu Jinsi viongozi walivyohongwa pesa na kukubali kuwaswaga Wamasai na kuwapeleka Handeni , na alijua kwamba aking'ang'ania ziara ile angekamatwa , na kukamatwa kwake kungeiamsha dunia kuelewa zaidi kuhusu yanayotendwa Ngorongoro , Mtego huu umefanikiwa kirahisi sana !
Ikumbukwe kwamba Tundu Lissu ni MTU WA 3 KWA UMAARUFU NCHINI TANZANIA tangu kuumbwa kwa Taifa hili , Wa kwanza ni Julius Nyerere , sasa unapokamata mtu kama huyu kwa sababu za kijinga kama hizi zilizotolewa na Polisi wa Tanzania , unakuwa moja kwa moja umeiamsha dunia na kuifanya ianze kuitupia Jicho Jambo hili kwa nguvu zaidi .
Lissu alijua kila kitu ila aliamua kujitoa Muhanga ili kuokoa Wamasai , Yaani ni kama Vile Yesu Kristo alivyosulubiwa Msalabani ili kuwaokoa wanadamu , Kimsingi Lissu amefanikiwa Malengo yake kwa 100% , Hii ndio tofauti kati ya Akili ndogo na Akili kubwa .
View attachment 2745271
Hivi hivi kweli ndiyo tutaenda Ikulu.Yaani kwamba kila kitu chetu CHADEMA lazma tutafute pale wazungu wanachotaka kuona au wanachopinga! Kumbe sasa tumekubali kua vibaraka wa wazungu!?Hivi tukiingia Ikulu si tutaweka wazi kua ushoga ni halali maana wazungu wanapenda ilo.Ukweli ni Kwamba , lengo la ziara ya Tundu Lissu na Chama chake , kupeleka Oparesheni 255 kwenye maeneo ya hifadhi ya Ngorongoro ilikuwa ni kuitangazia dunia unyama wanaofanyiwa Wamasai na serikali ya Tanzania , wa kuwahamisha kwenye maeneo yao mithili ya nguruwe ama mifugo mingine .
Lissu alifahamu Jinsi viongozi walivyohongwa pesa na kukubali kuwaswaga Wamasai na kuwapeleka Handeni , na alijua kwamba aking'ang'ania ziara ile angekamatwa , na kukamatwa kwake kungeiamsha dunia kuelewa zaidi kuhusu yanayotendwa Ngorongoro , Mtego huu umefanikiwa kirahisi sana !
Ikumbukwe kwamba Tundu Lissu ni MTU WA 3 KWA UMAARUFU NCHINI TANZANIA tangu kuumbwa kwa Taifa hili , Wa kwanza ni Julius Nyerere , sasa unapokamata mtu kama huyu kwa sababu za kijinga kama hizi zilizotolewa na Polisi wa Tanzania , unakuwa moja kwa moja umeiamsha dunia na kuifanya ianze kuitupia Jicho Jambo hili kwa nguvu zaidi .
Lissu alijua kila kitu ila aliamua kujitoa Muhanga ili kuokoa Wamasai , Yaani ni kama Vile Yesu Kristo alivyosulubiwa Msalabani ili kuwaokoa wanadamu , Kimsingi Lissu amefanikiwa Malengo yake kwa 100% , Hii ndio tofauti kati ya Akili ndogo na Akili kubwa .
View attachment 2745271
Nyooo umesahau kilichomtoa MakambaJr Uwaziri wakati wa Jiwe!!!!Unafiki wa Tundu Lissu....
Ni yeye aliyesema ujenzi wa bwawa la kufua umeme Mwalimu Nyerere litaharibu MAZINGIRA....litaharibu turathi ya dunia(selous)....
Yaliyofanywa Ngorongoro ni kuyalinda hayo MAZINGIRA....kinyume chake anang'aka.....[emoji1787][emoji1787]
Kweli TL ni NDUMILAKUWILI wa siasa za matukio......
#SiempreJMT[emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Abduli anafaidika nalo Kwa kwenda kuuza Ummeme Kwa M7 kudanganya Ummeme wa solarHilo bwawa la umeme limesaidia nini zaidi ya kulingiza taifa hasara, umeme bado bei na bado umeme ni unakatikati hovyo. Sasa kulikuwa na tofauti gani baada ya hilo bwawa kukamilika. Umeme bado shida gharama bado zipo juu wanachafua mazingira tu na pesa zao za upigaji
Wewe wasemaNimeona kama Yesu.
Tatizo kubwa ni kwamba mfumo umejipanga kwa 2025-2030 na baada ya hapo.Ukweli ni Kwamba , lengo la ziara ya Tundu Lissu na Chama chake , kupeleka Oparesheni 255 kwenye maeneo ya hifadhi ya Ngorongoro ilikuwa ni kuitangazia dunia unyama wanaofanyiwa Wamasai na serikali ya Tanzania , wa kuwahamisha kwenye maeneo yao mithili ya nguruwe ama mifugo mingine .
Lissu alifahamu Jinsi viongozi walivyohongwa pesa na kukubali kuwaswaga Wamasai na kuwapeleka Handeni , na alijua kwamba aking'ang'ania ziara ile angekamatwa , na kukamatwa kwake kungeiamsha dunia kuelewa zaidi kuhusu yanayotendwa Ngorongoro , Mtego huu umefanikiwa kirahisi sana !
Ikumbukwe kwamba Tundu Lissu ni MTU WA 3 KWA UMAARUFU NCHINI TANZANIA tangu kuumbwa kwa Taifa hili , Wa kwanza ni Julius Nyerere , sasa unapokamata mtu kama huyu kwa sababu za kijinga kama hizi zilizotolewa na Polisi wa Tanzania , unakuwa moja kwa moja umeiamsha dunia na kuifanya ianze kuitupia Jicho Jambo hili kwa nguvu zaidi .
Lissu alijua kila kitu ila aliamua kujitoa Muhanga ili kuokoa Wamasai , Yaani ni kama Vile Yesu Kristo alivyosulubiwa Msalabani ili kuwaokoa wanadamu , Kimsingi Lissu amefanikiwa Malengo yake kwa 100% , Hii ndio tofauti kati ya Akili ndogo na Akili kubwa .
View attachment 2745271
Tanzania sasa hivi imebakia kuwa Tanwood ya matukio baada ya Hollywood na Bollywood au Nollywood.Kumbe ndio maana anaitwa kibaraka wa mabeberu 😳
na kumbe ndio maana watoto wa mjini waandamizi wenzie wa kitaifa wanajitenga nae???😳
kumbe yeye ana Malengo ya kimataifa na kidunia zaidi na sio ya Taifa lake 😳?
nimeamini katikati siasa akili kumkichwa 😜
Asant ndugu kuthibitishia hayo machache yalokua yakichanganya waTz kwamba huyu anafanya haya kwaajili ya waTz au kuna waliomtuma kutoka ng'ambo.
So umeeleweka vizuri sana kwamba ,akikwama kitaifa first destination ni abroad in adv.Robert Amsterdam voice.
Na actually I hope last night alikesha kusend daily report kwaa picha na video nyingi sana ili kuongezewa financial aids zaidi lakini kuwaonyesha mabeberu kua anafanya kazi walizo mtuma kwa bidii licha ya kutengwa na wenzie na kudhalilika.🤔
Kumbe kumbe nyingi zinamaanisha haujui hata unawaza nini.Wewe endelea kunywa uji ushibe uanze uongouongo.Kumbe ndio maana anaitwa kibaraka wa mabeberu 😳
na kumbe ndio maana watoto wa mjini waandamizi wenzie wa kitaifa wanajitenga nae???😳
kumbe yeye ana Malengo ya kimataifa na kidunia zaidi na sio ya Taifa lake 😳?
nimeamini katikati siasa akili kumkichwa 😜
Asant ndugu kuthibitishia hayo machache yalokua yakichanganya waTz kwamba huyu anafanya haya kwaajili ya waTz au kuna waliomtuma kutoka ng'ambo.
So umeeleweka vizuri sana kwamba ,akikwama kitaifa first destination ni abroad in adv.Robert Amsterdam voice.
Na actually I hope last night alikesha kusend daily report kwaa picha na video nyingi sana ili kuongezewa financial aids zaidi lakini kuwaonyesha mabeberu kua anafanya kazi walizo mtuma kwa bidii licha ya kutengwa na wenzie na kudhalilika.🤔
Mkuu sisi watu wa Chadema tuko hivyoYou're very Smart!!!
Hakuna mfumo unaoweza kumshinda MunguTatizo kubwa ni kwamba mfumo umejipanga kwa 2025-2030 na baada ya hapo.
Ni vigumu sana kulikabili hilo.
Hapo TL kazuiwa kufanya mkutano Karatu maana wamasai wote wangeenda Karatu pangechimbika.
Umaarufu hauji kwa kuteka WatuWa pili kwa umaarufu ni nani! Mbona jibu rahisi hata kwa mtoto mdogo? JPM RIP.
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Hii picha leo nimeiona Aljazeera wamasai wakiwa wamekusanyika.Ukweli ni Kwamba , lengo la ziara ya Tundu Lissu na Chama chake , kupeleka Oparesheni 255 kwenye maeneo ya hifadhi ya Ngorongoro ilikuwa ni kuitangazia dunia unyama wanaofanyiwa Wamasai na serikali ya Tanzania , wa kuwahamisha kwenye maeneo yao mithili ya nguruwe ama mifugo mingine .
Lissu alifahamu Jinsi viongozi walivyohongwa pesa na kukubali kuwaswaga Wamasai na kuwapeleka Handeni , na alijua kwamba aking'ang'ania ziara ile angekamatwa , na kukamatwa kwake kungeiamsha dunia kuelewa zaidi kuhusu yanayotendwa Ngorongoro , Mtego huu umefanikiwa kirahisi sana !
Ikumbukwe kwamba Tundu Lissu ni MTU WA 3 KWA UMAARUFU NCHINI TANZANIA tangu kuumbwa kwa Taifa hili , Wa kwanza ni Julius Nyerere , sasa unapokamata mtu kama huyu kwa sababu za kijinga kama hizi zilizotolewa na Polisi wa Tanzania , unakuwa moja kwa moja umeiamsha dunia na kuifanya ianze kuitupia Jicho Jambo hili kwa nguvu zaidi .
Lissu alijua kila kitu ila aliamua kujitoa Muhanga ili kuokoa Wamasai , Yaani ni kama Vile Yesu Kristo alivyosulubiwa Msalabani ili kuwaokoa wanadamu , Kimsingi Lissu amefanikiwa Malengo yake kwa 100% , Hii ndio tofauti kati ya Akili ndogo na Akili kubwa .
View attachment 2745271
Usitulazimishe kaa tu ukiijua yule marehemu wenu hawezi kuwa daraja moja na watu wema kama julius nyerereMtaje huyo wa pili
Huyo shetani hapo katikati hawezi kuwa karibu na nyerere hata kule mbinguni hayupo atakuwa anawaka moto balaaa kama jehanamu kupo.Kwa mujibu wa mtoa mada, wafuatao ni watu watatu maarufu zaidi hapa nchini Tanzania
1: Julias Nyerere
2: John Magufuli
3: Tundu Lisu