Ngorongoro: Tundu Lissu atimiza malengo yake

Ngorongoro: Tundu Lissu atimiza malengo yake

Wako huru
IMG-20230910-WA0048.jpg
 
Upepo wa siasa za dunia UNABADILIKA...

Mataifa yanaanza kuwa na akili zaidi.....

Kiitwacho siasa za ulimwengu ni KIINI MACHO cha makuwadi wa mabeberu(TL et al)....

Siasa bora ni NATIONALISM ambazo makuwadi wa mabeberu na mabosi wao wanaziita KANDAMIZI......

Akina Lissu wanawekeza katika "international rhetorics" ambazo hazina tija "locally"....

Akina Lissu ndio maadui wa miungano kama BRICS....

TUWAOGOPE KAMA KIPINDUPINDU

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Namkubali sana huyu mwamba. Yaani hayumbishwi na kitu chochote, mtetezi wetu wa rasilimali zetu huyu ni nyerere wapilj anayepambana na mafisadi, utawala mbovu, uwizi wa mali za umma.
 
Poyoto tu yule taahira.

Kwa wajinga wenzake lazima mumuone ana akili. Si mnajulikana kondoo mliokosa wachungaji.
Hivi viongozi wa kiislam mashehe wanKuwa na elimu ya Theolojia au Falsafa?

Hapo Rwanda bila kuwa na degree au Diploma ya dini huruhusiwi kuwa kiongozi wa dini

Misikiti mingi na makanisa yamejifunga automatic kwa kukosa mashehe na wachungaji wenye elimu ya theolojia au falsafa

Hapa Tanzania naona kama mashehe wana kalili tu kuruani na kuwa viongozi wa misikiti
 
Ni Lissu "aliyelobby" wabunge wa CDU cha ujerumani bungeni BUNDESTAG waupinge mradi wa ujenzi wa bwawa la ufuaji umeme wa megawati 2215 kwa kisingizio cha uharibifu wa TURATHI YA DUNIA SELOUS....hapa hakuwa anawapambania WAZARAMO NA WANDENGEREKO bali ajenda za MABOSI wake wa BRUSSELS....leo eti anawapambania WAMASAI ilihali serikali inalinda uharibifu wa mazingira.....

Kwa TL 2+2=22 [emoji1787][emoji1787]

#SiempreJMT[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Namkubali sana huyu mwamba. Yaani hayumbishwi na kitu chochote, mtetezi wetu wa rasilimali zetu huyu ni nyerere wapilj anayepambana na mafisadi, utawala mbovu, uwizi wa mali za umma.
Nyerere gani huyu alipinga ujenzi wa bwawa la "Nyerere" wa Kwanza kwa kigezo tu cha uharibifu wa mazingira.....

Nyerere hakusimamia siasa za kibeberu....

Nyerere alikuwa ni mjamaa....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ukweli ni Kwamba , lengo la ziara ya Tundu Lissu na Chama chake , kupeleka Oparesheni 255 kwenye maeneo ya hifadhi ya Ngorongoro ilikuwa ni kuitangazia dunia unyama wanaofanyiwa Wamasai na serikali ya Tanzania , wa kuwahamisha kwenye maeneo yao mithili ya nguruwe ama mifugo mingine .

Lissu alifahamu Jinsi viongozi walivyohongwa pesa na kukubali kuwaswaga Wamasai na kuwapeleka Handeni , na alijua kwamba aking'ang'ania ziara ile angekamatwa , na kukamatwa kwake kungeiamsha dunia kuelewa zaidi kuhusu yanayotendwa Ngorongoro , Mtego huu umefanikiwa kirahisi sana !
Ikumbukwe kwamba Tundu Lissu ni MTU WA 3 KWA UMAARUFU NCHINI TANZANIA tangu kuumbwa kwa Taifa hili , Wa kwanza ni Julius Nyerere , sasa unapokamata mtu kama huyu kwa sababu za kijinga kama hizi zilizotolewa na Polisi wa Tanzania , unakuwa moja kwa moja umeiamsha dunia na kuifanya ianze kuitupia Jicho Jambo hili kwa nguvu zaidi .

Lissu alijua kila kitu ila aliamua kujitoa Muhanga ili kuokoa Wamasai , Yaani ni kama Vile Yesu Kristo alivyosulubiwa Msalabani ili kuwaokoa wanadamu , Kimsingi Lissu amefanikiwa Malengo yake kwa 100% , Hii ndio tofauti kati ya Akili ndogo na Akili kubwa .

View attachment 2745271
Hatimaye wahafidhina wa CCM wamefanikiwa kumlipua mamie Abdul. Tundu Lissu ametumika kama kilipuzi kwenye hili kombora.
 
Kumbe ndio maana anaitwa kibaraka wa mabeberu 😳

na kumbe ndio maana watoto wa mjini waandamizi wenzie wa kitaifa wanajitenga nae???😳

kumbe yeye ana Malengo ya kimataifa na kidunia zaidi na sio ya Taifa lake 😳?

nimeamini katikati siasa akili kumkichwa 😜

Asant ndugu kuthibitishia hayo machache yalokua yakichanganya waTz kwamba huyu anafanya haya kwaajili ya waTz au kuna waliomtuma kutoka ng'ambo.

So umeeleweka vizuri sana kwamba ,akikwama kitaifa first destination ni abroad in adv.Robert Amsterdam voice.
Na actually I hope last night alikesha kusend daily report kwaa picha na video nyingi sana ili kuongezewa financial aids zaidi lakini kuwaonyesha mabeberu kua anafanya kazi walizo mtuma kwa bidii licha ya kutengwa na wenzie na kudhalilika.🤔
Porojo
 
Ukweli ni Kwamba , lengo la ziara ya Tundu Lissu na Chama chake , kupeleka Oparesheni 255 kwenye maeneo ya hifadhi ya Ngorongoro ilikuwa ni kuitangazia dunia unyama wanaofanyiwa Wamasai na serikali ya Tanzania , wa kuwahamisha kwenye maeneo yao mithili ya nguruwe ama mifugo mingine .

Lissu alifahamu Jinsi viongozi walivyohongwa pesa na kukubali kuwaswaga Wamasai na kuwapeleka Handeni , na alijua kwamba aking'ang'ania ziara ile angekamatwa , na kukamatwa kwake kungeiamsha dunia kuelewa zaidi kuhusu yanayotendwa Ngorongoro , Mtego huu umefanikiwa kirahisi sana !
Ikumbukwe kwamba Tundu Lissu ni MTU WA 3 KWA UMAARUFU NCHINI TANZANIA tangu kuumbwa kwa Taifa hili , Wa kwanza ni Julius Nyerere , sasa unapokamata mtu kama huyu kwa sababu za kijinga kama hizi zilizotolewa na Polisi wa Tanzania , unakuwa moja kwa moja umeiamsha dunia na kuifanya ianze kuitupia Jicho Jambo hili kwa nguvu zaidi .

Lissu alijua kila kitu ila aliamua kujitoa Muhanga ili kuokoa Wamasai , Yaani ni kama Vile Yesu Kristo alivyosulubiwa Msalabani ili kuwaokoa wanadamu , Kimsingi Lissu amefanikiwa Malengo yake kwa 100% , Hii ndio tofauti kati ya Akili ndogo na Akili kubwa .

View attachment 2745271
Akili kubwa imetumika kuiingiza chaka akili ndogo
 
Nyerere gani huyu alipinga ujenzi wa bwawa la "Nyerere" wa Kwanza kwa kigezo tu cha uharibifu wa mazingira.....

Nyerere hakusimamia siasa za kibeberu....

Nyerere alikuwa ni mjamaa....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hilo bwawa la umeme limesaidia nini zaidi ya kulingiza taifa hasara, umeme bado bei na bado umeme ni unakatikati hovyo. Sasa kulikuwa na tofauti gani baada ya hilo bwawa kukamilika. Umeme bado shida gharama bado zipo juu wanachafua mazingira tu na pesa zao za upigaji
 
Napenda kuchukua fursa hii adhimu kuwashukuru Watanganyika kwa bandari zenu zote, nawashukuru kwa kunipa misitu yenu yote, nawashukuru kwa kunipa Ngorongoro, nawashukuru kwa kunipa KIA nawashukuru kwa kunipa shirika la posta.

Mimi ntahakikisha nawaletea tende za madina kwa bei nafuu sana.
Bonge la mwanaharakati
 
Wewe Tusekelege hebu uone aibu....

Unachekesha walionuna....

Yaani taifa hili lenye watu maarufu wengi unamtaja TL kweli ?!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

Kweli nimeamini CHADEMA ni chama kisicho na malengo ya ujumuishi wa maslahi msingi wa taifa hili zaidi ya UMIMI.....

Duuuh unajitia aibu wewe chawa wa komredi Mbowe [emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ntajie mtu maarufu kuliko lisu mmoja
 
Unajitekenya mwenyewe unacheka mwenyewe.

Wamasai norongoro crater siyo kwao, wahamishwe tu.

Luseu na yeye anyee debe kwa uhujumu uchumi.
Bibi mbona una jazba.

Norongoro ni wapi?

Leseu ni nani?
Poyoto tu yule taahira.

Kwa wajinga wenzake lazima mumuone ana akili. Si mnajulikana kondoo mliokosa wachungaji.
Poyoto ni nini?

Kwani shule ulienda kusomea ujinga?
 
Back
Top Bottom