Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo vitu vinavyomchukiza, viliumbwa na huyu anayasema maneno hayo, au na Mungu mwingine?Mwenyezi Mungu ameahidi kutoa kipigo heavy kwa wala nguruwe ,Tena hasa Hawa wamataifa ,
Isaya 65
1 Watu wasionitaka wanauliza habari zangu; nimeonekana na hao wasionitafuta; naliliambia taifa lisiloitwa kwa jina langu,
2 Nitazameni, nitazameni. Mchana kutwa nimewanyoshea mikono yangu watu walioasi, watu waendao katika njia isiyo njema, wakifuata mawazo yao wenyewe;
3 watu wanikasirishao mbele za uso wangu daima, wakitoa dhabihu katika bustani zao, na kufukiza uvumba juu ya matofali;
4 waketio kati ya makaburi, na kulala katika mahali pao pa siri; walao nyama ya nguruwe, na mchuzi wa vitu vinichukizavyo u katika vyombo vyao;
5 watu wasemao, Simama peke yako, usinikaribie mimi, kwa maana mimi ni mtakatifu kuliko wewe; watu hao ni moshi puani mwangu, moto uwakao mchana kutwa.
6 Tazama, neno hili limeandikwa mbele zangu. Sitanyamaza, lakini nitalipa, naam, mimi nitawalipa ujira wao vifuani mwao;
Si Kila mnyama, ndege au Samaki ni WA kuliwa!!Sokwe ana akili we mle sana
Huyo uliyemtaja ndio anawakilisha madokta wote?Kwamba DR Mambo Jambo anamla mdudu?
Ameshasema nguruwe ni hatari ktk ukuaji kiimani, kiafya nk nk
Sikiza ushauri wa kitabibu 🙏
DR Mambo Jambo ndiye daktari wetu JFHuyo uliyemtaja ndio anawakilisha madokta wote?
Anatibu nini mbona sijuiDR Mambo Jambo ndiye daktari wetu JF
Ndio daktari wa JF Badala ya yule Janabiui.Anatibu nini mbona sijui
Fanya tafiti kupinga tafiti.Naanza kudoubt hizi tafiti,
Yaaani paka azidiwe akili na nguruwe!!
Paka waeza mtia ndani ya kiroba ukampeleka na kumtupa hata km 20, atapotea hata mwezi, ila atarudi tu home.
Nguruwe haiwezi tokea hiyo kitu.
Mambo ya wakorinto,waefeso,wagalatia nk yanakuhusu nini pia!?..mbona unayafuata?Mambo ya Walawi yanatuhusu nini sisi wa Tanganyika wa Namtumbo?
Wapi nayafuata mambo ya hao miamba?Mambo ya wakorinto,waefeso,wagalatia nk yanakuhusu nini pia!?..mbona unayafuata?
Aliwa au haliwi huyu mbuniMbuni ni HAYAWANI/ kichaa,
Anaweza kuficha KICHWA chake ardhini akiamini haionekani na maadui zake,
Aweza pia kuwachenjia watoto wake baada ya kusahau kuwa ni wake nk nk
Kwahiyo wee ni nguruwe mtarajiwaWeeeeeeh ngoja nikuibie SIRI binadamu vibonge wote unaowaona wenye matumbo makubwa na mavichwa kama ng'ombe wakifa roho zao zinarudi kama nguruwe!
Inshort kadiri siku zinavyozidi kusonga na ndivyo navyozidi kuamini, kwamba yule mdudu ni binadamu!
🤔Damu ya binadamu
Figo ya binadamu
Ini la binadamu
Roho ya binadamu mlafi.
Wow mwenyewe hula watoto usipompatia chakula kwa wakati au akikosa chakula,hata nyau hufanya kazi kubwa kuwaficha wanae wasiliwe na nyau wengine,je vipi mafisi na wanyama wengine wa mwituni🫣Salaam, shalom!!
Utafiti mdogo niliofanya unasema, mnyama huyu nguruwe, akizaa watoto, ukichelewa kuwaondoa, aweza kuwala wote pasi huruma,
Kuna wanyama na ndege walioumbwa wakiwa na utindio, aina Fulani ya ukichaa, mbuni akiwa Mmoja wapo,
Ikiwa mnyama huyu KWELI anaangukia kundi la wanyama wasio timamu , ni sahihi kuwatumia Kwa chakula?
Na Kuna uadui Gani kati ya nguruwe na mapepo?
Maana (Luke 8:30-32) nguruwe akaona kuliko kukaliwa na mapepo, akaona Bora ajitose Baharini afe.kuliko kumilikiwa na mapepo.
NB: Si Kila kitu kinafaa kula, nyamafu/mzoga kwanini hatuli hata kama hatujazuiwa?
Akili itumike, maana mwanadamu ni kiumbe mwenye akili.
Swali: Nguruwe ni HAYAWANI WA NCHI?
Karibuni 🙏
Dr Mambo Jambo, dokta wa JF ameshawambia,Mtaandika kwa mabaya kuhusiana na mkuu wa meza hadi mtachoka wenyewe lakini ndio kwanzaaa anazidi kunenepa na sisi tunaendelea kujibweda kwa nyama yake adhimu mujarabu kabisa wala hatujali
Hakuna kisicholiwa,An
Aliwa au haliwi huyu mbuni
Paulo si ndiyo baba wa ukiristo na maandiko yake ni waraka kwa watu mbalimbaliWapi nayafuata mambo ya hao miamba?
Wagalatia wanajijua kwa ujinga wao,wakorinto miyeyusho wanapiga divai mpaka wanazima church,
Waefeso nawaweka kiporo!
Hata nyoka, konokono, minyoo waliwe tu?
Maandiko mnayasomaje ninyi?